Tetesi: Mabadiliko Baraza la Mawaziri; J. Makamba, Mhagama, Ummy Mwalimu nje; Adadi Rajabu, Bashe watajwa

Tetesi: Mabadiliko Baraza la Mawaziri; J. Makamba, Mhagama, Ummy Mwalimu nje; Adadi Rajabu, Bashe watajwa

Anafaa kwa vipi , substantiate your statement , it is not mere anafaa
Kama umeshamwangalia huyu mtu akichangia bungeni utakubaliana na mimi kwamba huyu jamaa ana kitu kichwani.watu kama hawa ndio inatakiwa wakae na JPM ambaye ameonyesha nia njema ya kubadilisha nchi hii.Huyu sio mtu wa kukubali kila jambo linalowekwa mezani,na anatetea kwa hoja.Binafsi namkubali sana
 
Muda wowote mabadiliko makubwa yanategemea kutokea katika baraza la mawaziri ambapo mawaziri kadhaa watatemwa kutokana na sababu kadhaa.

1. Jenister Muhagama - Anatuhumiwa kwa kuzunguka mamlaka za teuzi (Rais na Waziri Mkuu) katika sakata la kumteuwa kaimu mkurugenzi wa NSSF... Mhagama alitenda kosa hilo akishirikiana na Balozi Ombeni Sefue ambaye kwa sasa kashatumbuliwa.

2. January Makamba - Maranyingi amesikika na kurekodiwa akimsema vibaya Rais, akimsengenya Rais pamoja na kuratibu mipango mbalimbali ya kumdhoofisha Rais Magufuli. haya anayatenda katika Hotel ya Protea Dar es Salaa., na Dodoma ambapo amekuwa akifanya vikao vya siri usiku wa manane na baadhi ya wabunge wa upinzani, pamoja na wafanyabiashara wakubwa wakiwemo wa sukari

3. Ummy Mwalimu - Inasemekana kasi na uwezo wake mdogo haumrithishi Rais kwa sasa..

Katika mabadiliko hayo Adadi Rajabu, Mbunge wa Muheza inasemekana anaweza kuingia kuchukua nafasi ya Kitwanga, wengine wanaotajwa ni Bashe, mbunge wa Nzega ambaye anaweza kupewa docket ya Mazingira au Maliasili na pia Serukamba amekuwa akitajwa.

Mytake: wananchi kwa umoja wetu tumuunge mkono Rais Magufuli ana dhamira njema kabisa la kuwatumikia watanzania.
 
There is no excuse on this, the office is too big for this guy.

Leo ndio mnakuja kusema yeye sio mungu anafanya makosa ila alipokua anafanya uteuzi hadi nafasi nyingine akawa anasema hajaona bado mtu anaestahili kuziongoza mlikua mnapiga makofi kua yeye ndie sahihi.

Jiandaeni na excuses za kutosha maana matokeo ya uborongaji ndio kwanza hayajaanza.

Wewe ulitaka iwaje kwa mfano? Kama kweli una akili timamu ya kuweza kuvalia nguo umeshindwa kabisa kufahamu kuwa tabia ya binadamu inaweza kubadilika? Wangapi wamebadilika pasipo wewe kutarajia na ukawa huna uwezo wa kuwafanya chochote? Mechanism za kiutawala kwa kulifahamu hili ndio maana wakaweka uwezekano wa utenguzi. Ndio maana katika moja ya udhaifu mkubwa wa katiba yetu ni wananchi kushindwa kuwawajibisha wabunge wao pindi wanapowachagua. Wabunge wengi waliochaguliwa wamebadilika na wananchi waliwaamini lakini hakuna cha kufanya. Kutengua ni moja ya dalili kuwa mtu anawajibika na anatekeleza kwa vitendo ya falsafa kuwa cheo ni dhamana. Kwani wewe unataka mtu akiteuliwa ndio afe nacho?

Kama the office is too big for this guy then, there is no any other person who fits there among the rest of us, at least he has reasonable muscles to wear it than the rest of us!
 
January Makamba hivi ni waziri wa nini?maana sisikikii kabisa kazi zake
Sasa hivi yupo busy na vibali vya sukari si unamjua Yule asili yake ni Dili Huku kwenye siasa huwa yupo tu na hasa Wizara yake ya muungano haipo busy sana baada ya kufanikisha kumsimika Dr shein sasa yupo anatumia fursa za Magufuli kujipatia chochote .
 
Lizabon ni Fisadi mkubwa kupitia pesa za utetezi wa wezi yupo gheto Kwa Lugumi anaumwa pressure maana alikula pesa za kitwanga anahofia kudaiwa .
Hahahaaa madai yake shariti....guu apasue msamba.
 
IMGL0007.JPG
Mr January na Mrs Ramona Makamba wakiwasili Bukoba kutafuta wazamini.
Wapi mkuu muhuni tu
 
Mbona wote wanaotajwa kung'olewa ni waliojipambanua kuwa mahasimu wa Lowasa na wanaotajwa kuingia barazani ni purely Pro Lowasa?
 
Mbona wote wanaotajwa kung'olewa ni waliojipambanua kuwa mahasimu wa Lowasa na wanaotajwa kuingia barazani ni purely Pro Lowasa?
Hilo ndo swali la msingi la kujiuliza. Hata hivyo, nimemwambia mleta mada kuwa asahau Bashe na Serukamba kuwemo kwenye baraza la Mawaziri
 
Muda wowote mabadiliko makubwa yanategemea kutokea katika baraza la mawaziri ambapo mawaziri kadhaa watatemwa kutokana na sababu kadhaa.

1. Jenister Muhagama - Anatuhumiwa kwa kuzunguka mamlaka za teuzi (Rais na Waziri Mkuu) katika sakata la kumteuwa kaimu mkurugenzi wa NSSF... Mhagama alitenda kosa hilo akishirikiana na Balozi Ombeni Sefue ambaye kwa sasa kashatumbuliwa.

2. January Makamba - Maranyingi amesikika na kurekodiwa akimsema vibaya Rais, akimsengenya Rais pamoja na kuratibu mipango mbalimbali ya kumdhoofisha Rais Magufuli. haya anayatenda katika Hotel ya Protea Dar es Salaa., na Dodoma ambapo amekuwa akifanya vikao vya siri usiku wa manane na baadhi ya wabunge wa upinzani, pamoja na wafanyabiashara wakubwa wakiwemo wa sukari

3. Ummy Mwalimu - Inasemekana kasi na uwezo wake mdogo haumrithishi Rais kwa sasa..

Katika mabadiliko hayo Adadi Rajabu, Mbunge wa Muheza inasemekana anaweza kuingia kuchukua nafasi ya Kitwanga, wengine wanaotajwa ni Bashe, mbunge wa Nzega ambaye anaweza kupewa docket ya Mazingira au Maliasili na pia Serukamba amekuwa akitajwa.

Mytake: wananchi kwa umoja wetu tumuunge mkono Rais Magufuli ana dhamira njema kabisa la kuwatumikia watanzania.
Sasa hao ndio mawaziri ambao rais aliwachuja kwa miezi 3 halafu hawajamaliza hata robo mwaka lakini wanaonekana hawafai. Sasa nani wa kulaumiwa hapo. Aliyewateua au walioteuliwa?
 
Back
Top Bottom