Tetesi: Mabadiliko Baraza la Mawaziri; J. Makamba, Mhagama, Ummy Mwalimu nje; Adadi Rajabu, Bashe watajwa

Tetesi: Mabadiliko Baraza la Mawaziri; J. Makamba, Mhagama, Ummy Mwalimu nje; Adadi Rajabu, Bashe watajwa

Hao unaowataja Bashe na Serukamba hawawezi kuwemo kwenye baraza la Mawaziri la Magufuli. Take my point
Mkuu nakumbuka juzi juzi ulisema kitwanga lazima atatumbuliwa Lizaboni akabisha na kusema nisikuamini. haya sasa leo yametokea ataficha wapi uso wake huyu
umena Ukweli mkuu hafai Huyo .
Mkuu nakumbuka juzi juzi ulisema kitwanga lazima atatumbuliwa Lizaboni akabisha na kusema nisikuamini. haya sasa leo yametokea ataficha wapi uso wake huyu
Hao unaowataja Bashe na Serukamba hawawezi kuwemo kwenye baraza la Mawaziri la Magufuli. Take my point
Mkuu nakumbuka juzi juzi ulisema kitwanga lazima atatumbuliwa Lizaboni akabisha na kusema nisikuamini. haya sasa leo yametokea ataficha wapi uso wake huyu
umena Ukweli mkuu hafai Huyo .
Mkuu nakumbuka juzi juzi ulisema kitwanga lazima atatumbuliwa Lizaboni akabisha na kusema nisikuamini. haya sasa leo yametokea ataficha wapi uso wake huyu
 
Bashe anafaa mkuu,Labda wewe ni kati ya wale waliokunywa rangi ya bendera ya chama(CCM).maana nyie hamna nia njema na nchi hii
Wewe njaa inakusumbuwa, ni nani anaweza kukupa uwaziri Somalia? Kama hujui kitu kaa kimya hii siyo serikali ya Msoga, Bashe ni msomali na ni mkurugenzi wa Habari corporation inayomilikiwa na Rostam Aziz Tycoon wa Panama paper, hivi Watanzania wenye nia njema wamekwisha mpaka serikali yetu tuwakabidhi mamluki?

Nyinyi kwa njaa zenu huko majimboni endeleeni kuwapa ubunge ila msahau mamluki hawa kuingizwa serikalini. Never.
 
Mkuu nakumbuka juzi juzi ulisema kitwanga lazima atatumbuliwa Lizaboni akabisha na kusema nisikuamini. haya sasa leo yametokea ataficha wapi uso wake huyu

Mkuu nakumbuka juzi juzi ulisema kitwanga lazima atatumbuliwa Lizaboni akabisha na kusema nisikuamini. haya sasa leo yametokea ataficha wapi uso wake huyu

Mkuu nakumbuka juzi juzi ulisema kitwanga lazima atatumbuliwa Lizaboni akabisha na kusema nisikuamini. haya sasa leo yametokea ataficha wapi uso wake huyu

Mkuu nakumbuka juzi juzi ulisema kitwanga lazima atatumbuliwa Lizaboni akabisha na kusema nisikuamini. haya sasa leo yametokea ataficha wapi uso wake huyu
Lizabon ni Fisadi mkubwa kupitia pesa za utetezi wa wezi yupo gheto Kwa Lugumi anaumwa pressure maana alikula pesa za kitwanga anahofia kudaiwa .
 
Muda wowote mabadiliko makubwa yanategemea kutokea katika baraza la mawaziri ambapo mawaziri kadhaa watatemwa kutokana na sababu kadhaa.

1. Jenister Muhagama - Anatuhumiwa kwa kuzunguka mamlaka za teuzi (Rais na Waziri Mkuu) katika sakata la kumteuwa kaimu mkurugenzi wa NSSF... Mhagama alitenda kosa hilo akishirikiana na Balozi Ombeni Sefue ambaye kwa sasa kashatumbuliwa.

2. January Makamba - Maranyingi amesikika na kurekodiwa akimsema vibaya Rais, akimsengenya Rais pamoja na kuratibu mipango mbalimbali ya kumdhoofisha Rais Magufuli. haya anayatenda katika Hotel ya Protea Dar es Salaa., na Dodoma ambapo amekuwa akifanya vikao vya siri usiku wa manane na baadhi ya wabunge wa upinzani, pamoja na wafanyabiashara wakubwa wakiwemo wa sukari

3. Ummy Mwalimu - Inasemekana kasi na uwezo wake mdogo haumrithishi Rais kwa sasa..

Katika mabadiliko hayo Adadi Rajabu, Mbunge wa Muheza inasemekana anaweza kuingia kuchukua nafasi ya Kitwanga, wengine wanaotajwa ni Bashe, mbunge wa Nzega ambaye anaweza kupewa docket ya Mazingira au Maliasili na pia Serukamba amekuwa akitajwa.

Mytake: wananchi kwa umoja wetu tumuunge mkono Rais Magufuli ana dhamira njema kabisa la kuwatumikia watanzania.
Duuu nina mashaka sana na adadi kama amebadilika vingevyo uhalifu utarudi pa'lepale
 
Hivi February ameoa?
IMGL0007.JPG
Mr January na Mrs Ramona Makamba wakiwasili Bukoba kutafuta wazamini.
 
Haya madai yenu mnapokamatwa na vyombo husika kwenda kuthibitisha wengine wanatokwa povu,
Tusiongee kwa hisia zaidi kuliko uhalisia, lowassa asingemshinda magufuli kwa hali yyte Ile,
ndiyo maana mlitumia pesa nyingi hususani Wewe January umevuna sana kwenye kampeni iliyopita na sasa upo na kamati yako ya Ufundi mnapiga kazi Usiku na mchana upewe Wizara ya mambo ya ndani .
 
ndiyo maana mlitumia pesa nyingi hususani Wewe January umevuna sana kwenye kampeni iliyopita na sasa upo na kamati yako ya Ufundi mnapiga kazi Usiku na mchana upewe Wizara ya mambo ya ndani .
Wewe kweli funza, mimi makamba toka lini?
 
Muda wowote mabadiliko makubwa yanategemea kutokea katika baraza la mawaziri ambapo mawaziri kadhaa watatemwa kutokana na sababu kadhaa.

1. Jenister Muhagama - Anatuhumiwa kwa kuzunguka mamlaka za teuzi (Rais na Waziri Mkuu) katika sakata la kumteuwa kaimu mkurugenzi wa NSSF... Mhagama alitenda kosa hilo akishirikiana na Balozi Ombeni Sefue ambaye kwa sasa kashatumbuliwa.

2. January Makamba - Maranyingi amesikika na kurekodiwa akimsema vibaya Rais, akimsengenya Rais pamoja na kuratibu mipango mbalimbali ya kumdhoofisha Rais Magufuli. haya anayatenda katika Hotel ya Protea Dar es Salaa., na Dodoma ambapo amekuwa akifanya vikao vya siri usiku wa manane na baadhi ya wabunge wa upinzani, pamoja na wafanyabiashara wakubwa wakiwemo wa sukari

3. Ummy Mwalimu - Inasemekana kasi na uwezo wake mdogo haumrithishi Rais kwa sasa..

Katika mabadiliko hayo Adadi Rajabu, Mbunge wa Muheza inasemekana anaweza kuingia kuchukua nafasi ya Kitwanga, wengine wanaotajwa ni Bashe, mbunge wa Nzega ambaye anaweza kupewa docket ya Mazingira au Maliasili na pia Serukamba amekuwa akitajwa.

Mytake: wananchi kwa umoja wetu tumuunge mkono Rais Magufuli ana dhamira njema kabisa la kuwatumikia watanzania.

Mbona wote wanaotajwa kung'olewa na waliokuwa wakimpinga Lowasa na ambao aliapa kuwang'oa na wanaotajwa ni purely Pro Lowasa?

Raisi be careful !!
 
Muda wowote mabadiliko makubwa yanategemea kutokea katika baraza la mawaziri ambapo mawaziri kadhaa watatemwa kutokana na sababu kadhaa.

1. Jenister Muhagama - Anatuhumiwa kwa kuzunguka mamlaka za teuzi (Rais na Waziri Mkuu) katika sakata la kumteuwa kaimu mkurugenzi wa NSSF... Mhagama alitenda kosa hilo akishirikiana na Balozi Ombeni Sefue ambaye kwa sasa kashatumbuliwa.

2. January Makamba - Maranyingi amesikika na kurekodiwa akimsema vibaya Rais, akimsengenya Rais pamoja na kuratibu mipango mbalimbali ya kumdhoofisha Rais Magufuli. haya anayatenda katika Hotel ya Protea Dar es Salaa., na Dodoma ambapo amekuwa akifanya vikao vya siri usiku wa manane na baadhi ya wabunge wa upinzani, pamoja na wafanyabiashara wakubwa wakiwemo wa sukari

3. Ummy Mwalimu - Inasemekana kasi na uwezo wake mdogo haumrithishi Rais kwa sasa..

Katika mabadiliko hayo Adadi Rajabu, Mbunge wa Muheza inasemekana anaweza kuingia kuchukua nafasi ya Kitwanga, wengine wanaotajwa ni Bashe, mbunge wa Nzega ambaye anaweza kupewa docket ya Mazingira au Maliasili na pia Serukamba amekuwa akitajwa.

Mytake: wananchi kwa umoja wetu tumuunge mkono Rais Magufuli ana dhamira njema kabisa la kuwatumikia watanzania.

Mbona wote wanaotajwa kung'olewa na waliokuwa wakimpinga Lowasa na ambao aliapa kuwang'oa na wanaotajwa ni purely Pro Lowasa?

Raisi be careful !!
 
Back
Top Bottom