Pagan Amum
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 1,932
- 4,403
- Thread starter
- #141
Mkuu, tuhuma nambaa 2 ni serious sana. Ni ya kweli hiyo?
Yap very true!.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, tuhuma nambaa 2 ni serious sana. Ni ya kweli hiyo?
Ni Mtanzania halisi, ndio maana ameweza kuwa Mbunge. Unachokitafuta ni KUWEKEZA mzizi wa kinafiki. AU unataka kujua babu zake walikotika? Ni Somaliland.
Wamasai na wamburu (wairaq) PIA WANA ASILIMIA ZA KISOMALI KWA MBALI, WALIAHAMIA AFRIKA MAGHARIBI WAKITOKEA HUKO.
kaunganisha storyMtoa mada nakupa Phd ya heshima ya utunzi
Usiishi kwa kukariri. Watu wanabadilika kulingana na situation. Nani alijua kuwa Samwel Sitta atavurunda kiasi kile kwenye bunge la katiba.Indeed for people to suggest even Serukamba to be considered for a cabinet post; it will be suicidal for JPM!!! Adadi hawezi kuwa effectictive kwenye docket ya mambo ya ndani kwani vita dhidi ya madawa ya kulevya ilimshinda wakati akiwa DCI; Kagasheki ana rekodi ya ujasiri aliyoionesha akiwa Maliasili, anaweza kupambana na hawa wauza madawa!!!
Ebo!! mimi nikidhani nia ni kuwa tumikia Watanzania kwa ufanisi na uadilifu mkubwa zaidi kumbe ajenda ni kudhoofisha Upinzani???!!Serukamba mda mwingi hutuma msg Kwa Magufuli kumchongea January Makamba na mawaziri wengine anajulikana Kwa Unafiki lakini habari za chini ya kapeti na Kwa mujibu wa Sangoma mkuu wa January Makamba ni kwamba Adad Rajab atakuwa naibu Waziri lakini Waziri kamili wa mambo ya ndani atapewa January au Mwakyembe Magufuli anataka kuweka watu wenye roho ngumu za kuwadhoofisha upinzani , hataki wanafiki Kama serukamba hao watapewa wizara zenye bajeti ndogo zisizo na heka heka kubwa .
Acha kutuandikia majina yanayoweza kutuvurugia weeken Moody ambayo ipo on tayari.Usiishi kwa kukariri. Watu wanabadilika kulingana na situation. Nani alijua kuwa Samwel Sitta atavurunda kiasi kile kwenye bunge la katiba.
Usiishi kwa kukariri. Watu wanabadilika kulingana na situation. Nani alijua kuwa Samwel Sitta atavurunda kiasi kile kwenye bunge la katiba.
Muda wowote mabadiliko makubwa yanategemea kutokea katika baraza la mawaziri ambapo mawaziri kadhaa watatemwa kutokana na sababu kadhaa.
1. Jenister Muhagama - Anatuhumiwa kwa kuzunguka mamlaka za teuzi (Rais na Waziri Mkuu) katika sakata la kumteuwa kaimu mkurugenzi wa NSSF... Mhagama alitenda kosa hilo akishirikiana na Balozi Ombeni Sefue ambaye kwa sasa kashatumbuliwa.
2. January Makamba - Maranyingi amesikika na kurekodiwa akimsema vibaya Rais, akimsengenya Rais pamoja na kuratibu mipango mbalimbali ya kumdhoofisha Rais Magufuli. haya anayatenda katika Hotel ya Protea Dar es Salaa., na Dodoma ambapo amekuwa akifanya vikao vya siri usiku wa manane na baadhi ya wabunge wa upinzani, pamoja na wafanyabiashara wakubwa wakiwemo wa sukari
3. Ummy Mwalimu - Inasemekana kasi na uwezo wake mdogo haumrithishi Rais kwa sasa..
Katika mabadiliko hayo Adadi Rajabu, Mbunge wa Muheza inasemekana anaweza kuingia kuchukua nafasi ya Kitwanga, wengine wanaotajwa ni Bashe, mbunge wa Nzega ambaye anaweza kupewa docket ya Mazingira au Maliasili na pia Serukamba amekuwa akitajwa.
Mytake: wananchi kwa umoja wetu tumuunge mkono Rais Magufuli ana dhamira njema kabisa la kuwatumikia watanzania.
January Makamba baada ya kupiga Zile bilion 1.7 katikati ya kampeni Magufuli alipagawa na kuapa kutomchagua kuwa Waziri pindi akiapishwa lakini alipewa shinikizo na Kinana na Kikwete kuwa January ndiyo alileta Utitiri wa wachakachuaji wa matokeo na kamati za Ufundi toka Gambia na kwingineko Duniani wakafanikisha ushindi wa goli za Mikono na kuingia ikulu hivyo hapaswi kuachwa nje ya safu , na sasa kaambiwa ampatie Wizara ya mambo ya ndani ili wautumie Vizuri kuwadhoofisha wapinzani , Magufuli atacheza na mawaziri wote lakini akisikia jina la January Makamba mwili humsisimka kabsa.Kigwangala kamfunika ummy, JM hakustahili kuwepo kabisa kwenye serikali ya magufuli, Makamba na Nape ni watu ambao mara zote huwa nasema hawakustahili nafasi zao walitakiwa wabaki kwenye Chama Chao tu, Bashe sina shaka nae mbunge wangu wa nzega mjini namkubali sana tu,
Tatizo la hawa ccm bado wamekariri kuwa kazi yao ni kutetea Chama na kuteteana wao kwa wao, wanasahau huyu jamaa anaitazama Tanzania kama nchi bila kuangalia vyama,
Kwa hili nitamuunga mkono Rais Magufuli.... Mhagama na Ummy uwezo wao mdogo.... January kabaki kuuza sura na kutongoza mademu tu....
Nami nimeshashuhudia pale Protea akiwa na wafanyabiashara Haroon na Gonzaga wakipanga mipango ya kumhujumu Rais... Ni jumamosi iliyopita baada ya kutoka kwenye mkutano wa Bona Kaluwa
Mkuu Rais tumempata lakini atakwama tu mana hana msaada,CCM karibu wote naona hawana nia njema na nchi hii ....Hata teua toka wapi maana CCM yote mbovu! na akimtoa makamba ndio majungu yatazidi na hapo ndio patakua patamu sasa
Team Lowasa wanahangaika sana. Wanadhani Magufuli ni mjinga kiasi aweze kuwateua kwenye Baraza la MawaziriKwa weledi gani walio nao hao kwenye red!
Haya madai yenu mnapokamatwa na vyombo husika kwenda kuthibitisha wengine wanatokwa povu,January Makamba baada ya kupiga Zile bilion 1.7 katikati ya kampeni Magufuli alipagawa na kuapa kutomchagua kuwa Waziri pindi akiapishwa lakini alipewa shinikizo na Kinana na Kikwete kuwa January ndiyo alileta Utitiri wa wachakachuaji wa matokeo na kamati za Ufundi toka Gambia na kwingineko Duniani wakafanikisha ushindi wa goli za Mikono na kuingia ikulu hivyo hapaswi kuachwa nje ya safu , na sasa kaambiwa ampatie Wizara ya mambo ya ndani ili wautumie Vizuri kuwadhoofisha wapinzani , Magufuli atacheza na mawaziri wote lakini akisikia jina la January Makamba mwili humsisimka kabsa.
Pole sana Team Mafisadi. Mtaendelea kuwa wasindikizaji tuWote ni wale wale tu atabadilisha kila siku.