Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama unachanganya aggressiveness na mpiga keleleHata Naibu waziri wa mambo ya Ndani sio mtendaji.. ni mzigo..!! Masauni sio kabisa..!!
Hii wizara inataka watu AGGRESSIVE and Competent..!!
Masauni yuko slow sana...
Wizara ya mambo ya NDANI INGEFAA MTU KAMA AGGREY MWANRI..MKUU WA MKOA WA TABORA.
Huyo funza usimsikilize hata siku moja. Si mkweliHaya madai yenu mnapokamatwa na vyombo husika kwenda kuthibitisha wengine wanatokwa povu,
Tusiongee kwa hisia zaidi kuliko uhalisia, lowassa asingemshinda magufuli kwa hali yyte Ile,
Hivi February ameoa?
umeongea mambo mazito sana ikiwa ni kweli basi wapinzani ni ccm wenyewe kwa wenyewe na hii ni vita kubwa sana kuliko tunvyofikiri maana mtu wa ccm ni rahisi hata kumdhuru kiranja mkuu kwa kuwa ni vigumu kumjua. hebu dokeza kidogo source ya haya uliyoandika japo kwa mafumbo.Muda wowote mabadiliko makubwa yanategemea kutokea katika baraza la mawaziri ambapo mawaziri kadhaa watatemwa kutokana na sababu kadhaa.
1. Jenister Muhagama - Anatuhumiwa kwa kuzunguka mamlaka za teuzi (Rais na Waziri Mkuu) katika sakata la kumteuwa kaimu mkurugenzi wa NSSF... Mhagama alitenda kosa hilo akishirikiana na Balozi Ombeni Sefue ambaye kwa sasa kashatumbuliwa.
2. January Makamba - Maranyingi amesikika na kurekodiwa akimsema vibaya Rais, akimsengenya Rais pamoja na kuratibu mipango mbalimbali ya kumdhoofisha Rais Magufuli. haya anayatenda katika Hotel ya Protea Dar es Salaa., na Dodoma ambapo amekuwa akifanya vikao vya siri usiku wa manane na baadhi ya wabunge wa upinzani, pamoja na wafanyabiashara wakubwa wakiwemo wa sukari
3. Ummy Mwalimu - Inasemekana kasi na uwezo wake mdogo haumrithishi Rais kwa sasa..
Katika mabadiliko hayo Adadi Rajabu, Mbunge wa Muheza inasemekana anaweza kuingia kuchukua nafasi ya Kitwanga, wengine wanaotajwa ni Bashe, mbunge wa Nzega ambaye anaweza kupewa docket ya Mazingira au Maliasili na pia Serukamba amekuwa akitajwa.
Mytake: wananchi kwa umoja wetu tumuunge mkono Rais Magufuli ana dhamira njema kabisa la kuwatumikia watanzania.
Yes na ana watoto wawili.... Pia anamla Fina Mango, Egler Mwamoto, Diana mtoto wa Zenji. Na pale CCM makao makuu kapachafua vibaya sana...
Usiishi kwa kukariri. Watu wanabadilika kulingana na situation. Nani alijua kuwa Samwel Sitta atavurunda kiasi kile kwenye bunge la katiba
Aliyafanya kikwete haya, alibadilisha mawaziri kila uchao lakini hakupata mavuno yaliyo bora, ccm ni ileile hakuna anae faa huko ndani. Bora angebaki mwenyewe na waziri mkuu makini zaidi. Tena kwenye listi angeongezwa Mwakyembe aliekuwa anacheka kama juha wakati waziri mlevi akitoa majibu ni aibu kubwa kama waziri wa sheria apishe tu na yeye.
Bashe anafaa mkuu,Labda wewe ni kati ya wale waliokunywa rangi ya bendera ya chama(CCM).maana nyie hamna nia njema na nchi hiiKwa weledi gani walio nao hao kwenye red!
Bashe???Kaajiriwa na Rostam apewe uwaziri?Acha utani na magufuliMuda wowote mabadiliko makubwa yanategemea kutokea katika baraza la mawaziri ambapo mawaziri kadhaa watatemwa kutokana na sababu kadhaa.
1. Jenister Muhagama - Anatuhumiwa kwa kuzunguka mamlaka za teuzi (Rais na Waziri Mkuu) katika sakata la kumteuwa kaimu mkurugenzi wa NSSF... Mhagama alitenda kosa hilo akishirikiana na Balozi Ombeni Sefue ambaye kwa sasa kashatumbuliwa.
2. January Makamba - Maranyingi amesikika na kurekodiwa akimsema vibaya Rais, akimsengenya Rais pamoja na kuratibu mipango mbalimbali ya kumdhoofisha Rais Magufuli. haya anayatenda katika Hotel ya Protea Dar es Salaa., na Dodoma ambapo amekuwa akifanya vikao vya siri usiku wa manane na baadhi ya wabunge wa upinzani, pamoja na wafanyabiashara wakubwa wakiwemo wa sukari
3. Ummy Mwalimu - Inasemekana kasi na uwezo wake mdogo haumrithishi Rais kwa sasa..
Katika mabadiliko hayo Adadi Rajabu, Mbunge wa Muheza inasemekana anaweza kuingia kuchukua nafasi ya Kitwanga, wengine wanaotajwa ni Bashe, mbunge wa Nzega ambaye anaweza kupewa docket ya Mazingira au Maliasili na pia Serukamba amekuwa akitajwa.
Mytake: wananchi kwa umoja wetu tumuunge mkono Rais Magufuli ana dhamira njema kabisa la kuwatumikia watanzania.
Mengine kayasababisha yeye mwenyewe kisha anajikosha , mfano kafuta vibali vya sukari pasipo kuitathimini wala kushauriana na bodi ya sukari matokeo yake Kawapa Dili majaliwa na January Makamba wanatoa vibali Kwa magendo ( kufa kufaana) Magufuli anabana kumbe wenzake wanashiba kupitia humo humo , siku zote wajanja hutumia fursa zote , mfano sasa wajanja wamejipenyeza Kwa wabunge wanakula pesa zao Kwa kisingizio cha kuwafanyia mipango wapewe Uwaziri .Hizi tetesi zaweza kuwa kweli
Wengine tulishasema toka mwanzo kuwa Rais Magufuli alichoanza nacho wala sio KASI bali ni MIZUKA tu ya kuwa Rais. Nchi haiongozwi kwa mizuka na watakaomuangusha wala sio wapinzani bali ni hao hao wenzake ndani ya serikali na chama chake wengi wakijifanya washauri wake!!
Na staili yake ya uongozi hii ya kuamua bila kufikiria....ndiyo anguko lake. Wakati mwingine huyu mtu si hata wa kumuombea bali apaswa atumie akili na busara zake mwenyewe huku akiomba yeye mwenyewe!!
Huyu anafuata nyayo zilezile za Mkwere, hana jipya. Yaani wanambadilisha mwelekeo kabisa, badala ya ku deal na matatizo ya nchi, anaanza ku deal na migogoro ndani ya serikali yake!!
Anafaa kwa vipi , substantiate your statement , it is not mere anafaaBashe anafaa mkuu,Labda wewe ni kati ya wale waliokunywa rangi ya bendera ya chama(CCM).maana nyie hamna nia njema na nchi hii
Kweli jf ni kiboko, nakumbuka kuna member alikuja humu akasema aliyekuwa naibu katibu mkuu wa UN ,MIGIRO wakati wowote anatangazwa kuwa balozi uingereza,na kweli mda mfupo ikatangazawa hivyo. Yani huko ikulu hakuna sirijf ni kiboko kwa tetesi zinazoo zaa matunda...ngoja tusubiri
There is no excuse on this, the office is too big for this guy.Yes its too big than his ego which is reasonable......I personally understand him
Kwakua ni raisi unataka akikosea amezee tu ili msimuone kachemka, yeye pia ni binadamu kukosea kupo, vizuri akitambua kosa kuinuka na kurekebisha
Bashe kaja kipindi tofauti na Chao, na Bashe siasa zake alizoingia nazo bungeni sio zile za ndioooo hiyo Ndio sababu wale waliolewa maji ya kijani kuona nayeye sio mwenzaoBashe anafaa mkuu,Labda wewe ni kati ya wale waliokunywa rangi ya bendera ya chama(CCM).maana nyie hamna nia njema na nchi hii