Tetesi: Mabadiliko Baraza la Mawaziri; J. Makamba, Mhagama, Ummy Mwalimu nje; Adadi Rajabu, Bashe watajwa

Mhagama atolewe tu, ila UMMY Mwalimu Aelekezwe kwanza kwamba "Utendaji wake hauridhishi" ila sasa UMMY Mwalimu udhaifu wake ni kutofanya ziara kwenye hospitali za Rufaa, Mikoani na wilayani na kutoa maelekezo, maana kuna Malalamiko mengi sana ya wananchi huku, kuna yale Maduka ya MSD yaliyofunguliwa ndani ya hosp. za Serikali za Rufaa nk. nayo siku hizi hayana dawa kabisa...

UMMY anakosa Ubunifu kabisa.

January huyo Atolewe maana yeye anawaza Urais muda wote, hivyo anajipanga kimya kimya, ndo maana utendaji wake ni mdogo sana.
 
Kigwangala kamfunika ummy, JM hakustahili kuwepo kabisa kwenye serikali ya magufuli, Makamba na Nape ni watu ambao mara zote huwa nasema hawakustahili nafasi zao walitakiwa wabaki kwenye Chama Chao tu, Bashe sina shaka nae mbunge wangu wa nzega mjini namkubali sana tu,
Tatizo la hawa ccm bado wamekariri kuwa kazi yao ni kutetea Chama na kuteteana wao kwa wao, wanasahau huyu jamaa anaitazama Tanzania kama nchi bila kuangalia vyama,
 
AdadI Rajab asipewe kabisa Uwaziri, Labda yule Dr. Norman Sigala, huyu Adadi Rajabu hana Ubunifu, hata alipokuwa DCI alikosa ubunifu kabisa na anao mtandao mkubwa wa watoa Rushwa, maana alinufaika sana na Rushwa.

Waziri wa Mambo ndani apewe Dr. Norman Sigala au Kangi Lugola (Ila huyu Kangi nadhani ana kesi ya rushwa je ikithibitika?) aachwe kwanza ashughulikie kesi yake.
 
Hivi Bashe ana asili ya wapi? Nipeni Cv yake wajameni
Ni Mtanzania halisi, ndio maana ameweza kuwa Mbunge. Unachokitafuta ni KUWEKEZA mzizi wa kinafiki. AU unataka kujua babu zake walikotika? Ni Somaliland.

Wamasai na wamburu (wairaq) PIA WANA ASILIMIA ZA KISOMALI KWA MBALI, WALIAHAMIA AFRIKA MAGHARIBI WAKITOKEA HUKO.
 
Adad Rajab atabolonga akipewa Wizara hiyo ni bora wampandishe yule naibu Waziri kuliko Adad ambaye ni mpenda Dili hakuna mfano.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…