Tetesi: Mabadiliko Baraza la Mawaziri; J. Makamba, Mhagama, Ummy Mwalimu nje; Adadi Rajabu, Bashe watajwa

Tetesi: Mabadiliko Baraza la Mawaziri; J. Makamba, Mhagama, Ummy Mwalimu nje; Adadi Rajabu, Bashe watajwa

Muda wowote mabadiliko makubwa yanategemea kutokea katika baraza la mawaziri. ambapo mawaziri kadhaa watatemwa kutokana na sababu kadhaa...

1. Jenister Muhagama..... Anatuhumiwa kwa kuzunguka mamlaka za teuzi (Rais na Waziri Mkuu) katika sakata la kumteuwa kaimu mkurugenzi wa NSSF... Mhagama alitenda kosa hilo akishirikiana na Balozi Ombeni Sefue ambaye kwa sasa kashatumbuliwa....

2. January Makamba...... Maranyingi amesikika na kurekodiwa akimsema vibaya Rais, akimsengenya Rais pamoja na kuratibu mipango mbalimbali ya kumdhoofisha Rais Magufuli. haya anayatenda katika Hotel ya Protea Dar es Salaa., na Dodoma ambapo amekuwa akifanya vikao vya siri usiku wa manane na baadhi ya wabunge wa upinzani, pamoja na wafanyabiashara wakubwa wakiwemo wa sukari

3. Ummy Mwalimu...... Inasemekana kasi na uwezo wake mdogo haumrithishi Rais kwa sasa..

Katika mabadiliko hayo Adadi Rajabu, Mbunge wa Muheza inasemekana anaweza kuingia kuchukua nafasi ya Kitwanga.... wengine wanaotajwa ni Bashe, mbunge wa Nzega ambaye anaweza kupewa docket ya Mazingira au Maliasili... na pia Serukamba amekuwa akitajwa.....

mytake: wananchi kwa umoja wetu tumuunge mkono Rais Magufuli.... ana dhamira njema kabisa la kuwatumikia watanzania....
Naona unaota ndoto za usiku bado hujaamka
Unafikili fikra zako ni sawa na za rais acha kubwabwaja ovyo fanya kazi
 
Muda wowote mabadiliko makubwa yanategemea kutokea katika baraza la mawaziri. ambapo mawaziri kadhaa watatemwa kutokana na sababu kadhaa...

1. Jenister Muhagama..... Anatuhumiwa kwa kuzunguka mamlaka za teuzi (Rais na Waziri Mkuu) katika sakata la kumteuwa kaimu mkurugenzi wa NSSF... Mhagama alitenda kosa hilo akishirikiana na Balozi Ombeni Sefue ambaye kwa sasa kashatumbuliwa....

2. January Makamba...... Maranyingi amesikika na kurekodiwa akimsema vibaya Rais, akimsengenya Rais pamoja na kuratibu mipango mbalimbali ya kumdhoofisha Rais Magufuli. haya anayatenda katika Hotel ya Protea Dar es Salaa., na Dodoma ambapo amekuwa akifanya vikao vya siri usiku wa manane na baadhi ya wabunge wa upinzani, pamoja na wafanyabiashara wakubwa wakiwemo wa sukari

3. Ummy Mwalimu...... Inasemekana kasi na uwezo wake mdogo haumrithishi Rais kwa sasa..

Katika mabadiliko hayo Adadi Rajabu, Mbunge wa Muheza inasemekana anaweza kuingia kuchukua nafasi ya Kitwanga.... wengine wanaotajwa ni Bashe, mbunge wa Nzega ambaye anaweza kupewa docket ya Mazingira au Maliasili... na pia Serukamba amekuwa akitajwa.....

mytake: wananchi kwa umoja wetu tumuunge mkono Rais Magufuli.... ana dhamira njema kabisa la kuwatumikia watanzania....
Asiweke mtu ambaye alishawahi kuwa kwenye system mambo ya ndani. Migongano ya kimaslahi inaweza kutokea.

Hivyo Kigwangala ni more effective kuliko Ummy? Ummy anajituma kama ana mapungufu aelekezwe. Mwigulu naona kapwaya kwenye wizara yake. Jenister naunga mkono lakini kwa sababu tofauti. Makamba sina maneno ila siyo vizuri sana kumuweka mshindani wako karibu (I know it has been done before, lakini...). Wa viwanda naona kama haendi vizuri. Acha tusubiri.

Ningependa, however, asiishie kwa mawaziri peke yao. Kuna wakuu wa mikoa ambao wameonyesha mapungufu sana.

Kama kuna wabunge wakuteuliwa inakuwaje akimtoa uwaziri? Ina maana Rais amepoteza nafasi zake bure?
 
Kwa hili nitamuunga mkono Rais Magufuli.... Mhagama na Ummy uwezo wao mdogo.... January kabaki kuuza sura na kutongoza mademu tu....

Nami nimeshashuhudia pale Protea akiwa na wafanyabiashara Haroon na Gonzaga wakipanga mipango ya kumhujumu Rais... Ni jumamosi iliyopita baada ya kutoka kwenye mkutano wa Bona Kaluwa
....hao ma mama wawili waliteuliwa kwa kigezo cha ukada wao na uvuvuzela kwa chama chao na si merit kiutendaji...maana huko kwenye chama chao ndiko husikika wakipiga kelele mara nyingine zisizo na msingi... Hawa hawakuwa chaguo la JPM toka mwanzo...hivyo sitoshangaa wakitemwa...ni suala la muda...Huwezi ku forge uwezo kiutendaji...kuna siku utachemka tu...kama alivyofanya mhagama kwenye ile teuzi ya kishoga...ngoja tusuburi...maana tetesi huanzia humu jf always..
 
Unajua maji ya kijani yakishakolea unaona mfumo ni ule ule waenga walisema kunguru afugiki kubadilisha mentality au mindset sio kazi rahisi.
 
Tukimtoa chz February Na mzee Wa goli la mkono ndi viongozi wanaongozwa kuchukiwa Na wengi sasa wakitumbuliwa jf uzi wake kutakuwa Mara ishirini maana ndio waliojifanya ma master mind Wa kampeni za magamba Na kutukana watu Na Yule aliyepewa ukuu Wa Bandar salama
 
Mm napendekeza Mambo ya ndani Dr. JMP ampe KANGI LUGOLA, ni mzr ila kwa sababu huwa anapambana na rushwa, mafisadi huwa wanajitahidi mchafua. Tuachane na mambo ya Kambi (Team EL), tuangalie uwezo wa mtu.

Bashe ni mzr kwa hoja na ushauri, hana kashifa za kijinga. Yuko Serikalini na Upinzani (Ana uma kote kwa kusema ukweli). Japo ni team EL, tuachane na mambo ya team tujenge nchi kwa pamoja.

Huwa nasema kuna watu Hawamuelewi Rais JMP na dhana yake ya kutumbua, ila muda unavyoenda either Hutaki kumuelewa au unataka, utamuelewa hata kwa lazima!!

Fumua hii nchi iunde upya! Kila la kheri Rais.
 
Safiiiiiiiiiii....

Mhagama, Ummy uwezo wao mdogo sana sanaaaa...!!!

January tatizo lake SIO MWAMINIFU... kumzunguka Rais hilo anaweza fanya... He cannot be trusted... ampige chini tu...!!!

BASHE ni kichwa, mbunifu, mtendaji, ni mtu wa HAPA KAZI TU...!!!

Adadi Rajabu sio mtendaji kivile, aluvyokuwa DCI rushwa ilishamiri sana... labda Magufuli amdhibiti sana, sbb hii SERIKALI HAKUNA MCHEZO... Rajabu analijua JESHI LA POLISI VEMA, anatakiwa Rais am FINE TUNE aende na HAPA KAZI TU.... NO RUSHWA, NO UZEMBE... NA JESHI LA POLISI Adad Rajab ataliweza... but Rais lazima awe macho nae....

Nice move so far...!!!

Magufuli with the BALL, master of masters....!!

We love you Rais Wetu...!!
Tatizo la huyo sijui mwezi gani vile ah! ni kama mirathi ni waropokaji,wasengenyaji kisha midomo midomo sana tu.
 
Mm napendekeza Mambo ya ndani Dr. JMP ampe KANGI LUGOLA, ni mzr ila kwa sababu huwa anapambana na rushwa, mafisadi huwa wanajitahidi mchafua. Tuachane na mambo ya Kambi (Team EL), tuangalie uwezo wa mtu.

Bashe ni mzr kwa hoja na ushauri, hana kashifa za kijinga. Yuko Serikalini na Upinzani (Ana uma kote kwa kusema ukweli). Japo ni team EL, tuachane na mambo ya team tujenge nchi kwa pamoja.

Huwa nasema kuna watu Hawamuelewi Rais JMP na dhana yake ya kutumbua, ila muda unavyoenda either Hutaki kumuelewa au unataka, utamuelewa hata kwa lazima!!

Fumua hii nchi iunde upya! Kila la kheri Rais.
Lugola huyu sio yuleee, huyu kesha anza vibaya
 
Back
Top Bottom