Tetesi: Mabadiliko Baraza la Mawaziri: Nani kuondoka, nani kubaki na nani kuingia?

Tetesi: Mabadiliko Baraza la Mawaziri: Nani kuondoka, nani kubaki na nani kuingia?

chuwaalbert

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2010
Posts
3,598
Reaction score
2,118
Kutokana na Baraza la Mawaziri kuwa na Mapengo kufuatia Mawaziri wengi tu kutoka na kutolewa Uwaziri, Baraza "Jipya" litatangazwa hivi karibuni. Zoezi hili lilipisha kidogo, shughuli za Vikao vya Bunge lililokwisha hivi karibuni. Habari za NDANI ni kuwa, Mawaziri kadhaa, wakiwamo Mwigulu Nchemba na Januari Makamba, wata TUPWA NJE!
 
Kutokana na Maraza la Mawaziri kuwa na Mapengo kufuatia Mawaziri wengi tu kutoka na kutolewa Uwaziri, Baraza "Jipya" litatangazwa hivi karibuni. Zoezi hili lilipisha kidogo, shughuli za Vikao vya Bunge lililokwisha hivi karibuni. Habari za NDANI ni kuwa, Mawaziri kadhaa, wakiwamo Mwigulu Nchemba na Januari Makamba, wata TUPWA NJE!
Dua la kuku hilo mkuu!!!
 
Kutokana na Maraza la Mawaziri kuwa na Mapengo kufuatia Mawaziri wengi tu kutoka na kutolewa Uwaziri, Baraza "Jipya" litatangazwa hivi karibuni. Zoezi hili lilipisha kidogo, shughuli za Vikao vya Bunge lililokwisha hivi karibuni. Habari za NDANI ni kuwa, Mawaziri kadhaa, wakiwamo Mwigulu Nchemba na Januari Makamba, wata TUPWA NJE!
Pia kuna mabadiliko makubwa yanakuja ndani ya Chadema ambapo Mbowe na Lowasa wataachia ngazi. Ole Sosopi atatangazwa kuchukua hatamu za Mbowe. Stay tuned!
 
Huyu bwana hana vyanzo vya ndani. Vingekuwepo tungeishaju kamati ya kujadili makinikia
 
Pia kuna mabadiliko makubwa yanakuja ndani ya Chadema ambapo Mbowe na Lowasa wataachia ngazi. Ole Sosopi atatangazwa kuchukua hatamu za Mbowe. Stay tuned!
Nyie kila mtu mnamuogopa na mnageuza kuwa anaogopwa na wenzake wa CHADEMA. kwani mbadiliko ya Baraza la Mawaziri ni kitu ambacho hakijfanyika chini ya Rais Magufuli?
 
...Na kwa kuwa Mkoa wa Singida uatakuwa hauna tena Waziri, basi Allan Kiula itabidi aingie, hata ikibidi kama Naibu Waziri..
 
Back
Top Bottom