Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Kwani mabadiliko ya uongozi wa Chadema ni mwiko?Nyie kila mtu mnamuogopa na mnageuza kuwa anaogopwa na wenzake wa CHADEMA. kwani mbadiliko ya Baraza la Mawaziri ni kitu ambacho hakijfanyika chini ya Rais Magufuli?