Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
waje tu kwa wingi waungane na kina mtama tufue lile li ccj letu bhana!!!!!!Kutokana na Baraza la Mawaziri kuwa na Mapengo kufuatia Mawaziri wengi tu kutoka na kutolewa Uwaziri, Baraza "Jipya" litatangazwa hivi karibuni. Zoezi hili lilipisha kidogo, shughuli za Vikao vya Bunge lililokwisha hivi karibuni. Habari za NDANI ni kuwa, Mawaziri kadhaa, wakiwamo Mwigulu Nchemba na Januari Makamba, wata TUPWA NJE!
Una bifu na Makamba, hivi ni kwa nini hawa mawaziri vijana wanawanyima usingizi??Kutokana na Baraza la Mawaziri kuwa na Mapengo kufuatia Mawaziri wengi tu kutoka na kutolewa Uwaziri, Baraza "Jipya" litatangazwa hivi karibuni. Zoezi hili lilipisha kidogo, shughuli za Vikao vya Bunge lililokwisha hivi karibuni. Habari za NDANI ni kuwa, Mawaziri kadhaa, wakiwamo Mwigulu Nchemba na Januari Makamba, wata TUPWA NJE!
Amekaa chumbani na bwana wake wakaanza kuunda baraza lao!!Nini chanzo cha huo utabiri wako
Kutokana na Baraza la Mawaziri kuwa na Mapengo kufuatia Mawaziri wengi tu kutoka na kutolewa Uwaziri, Baraza "Jipya" litatangazwa hivi karibuni. Zoezi hili lilipisha kidogo, shughuli za Vikao vya Bunge lililokwisha hivi karibuni. Habari za NDANI ni kuwa, Mawaziri kadhaa, wakiwamo Mwigulu Nchemba na Januari Makamba, wata TUPWA NJE!
LazimaBashite kuula uwaziriiiiiii
Labda kwa kuvunja katiba kama kawaida yenu lkn hiyo nafasi tena hakuna kwa sababu mlishamaliza nafasi za ute uzi lbd muu we mmoja halafu ndo mmteue huyo kipenzi chenuMakonda basi anafanyia mazoezi uwaziri wa Upolisi maana anawaza upolisi ndio wazir wa ndanj tu
Neno la watoto wa kike hili!!Makubwa!
Subiri uone maajabuMwigulu hawezi tolewa ,labda kuhamishwa wizara. huyo ni kiraka
Kabisa...
Mwigulu kwakweli hayupo kabisa awamu hii..
HahahaaBashite anavizia cheo cha Nchemba ila basi tu
Leo hajapewa kweli?Bashite anavizia cheo cha Nchemba ila basi tu