Tetesi: Mabadiliko Baraza la Mawaziri: Nani kuondoka, nani kubaki na nani kuingia?

Tetesi: Mabadiliko Baraza la Mawaziri: Nani kuondoka, nani kubaki na nani kuingia?

Kutokana na Baraza la Mawaziri kuwa na Mapengo kufuatia Mawaziri wengi tu kutoka na kutolewa Uwaziri, Baraza "Jipya" litatangazwa hivi karibuni. Zoezi hili lilipisha kidogo, shughuli za Vikao vya Bunge lililokwisha hivi karibuni. Habari za NDANI ni kuwa, Mawaziri kadhaa, wakiwamo Mwigulu Nchemba na Januari Makamba, wata TUPWA NJE!
Rubbish!
 
Kutokana na Baraza la Mawaziri kuwa na Mapengo kufuatia Mawaziri wengi tu kutoka na kutolewa Uwaziri, Baraza "Jipya" litatangazwa hivi karibuni. Zoezi hili lilipisha kidogo, shughuli za Vikao vya Bunge lililokwisha hivi karibuni. Habari za NDANI ni kuwa, Mawaziri kadhaa, wakiwamo Mwigulu Nchemba na Januari Makamba, wata TUPWA NJE!
January makamba mkuu wa Kitengo cha uchakachuaji, fitna na mbinu za hovyo CCM ni vikumu atupwe nje kwani bila yy leo hii Lowasa angekuwa ikulu, Mwigulu Nchemba yy anakwenda kuwa waziri wa Tamisemi huku Bashite a.k.a makonda akizawadiwa Ubunge na kuwa waziri wa mambo ya ndani ikiwa ni Zawadi maalum baada ya kufanya kazi kubwa Dodoma juzi juzi.
 
Kutokana na Baraza la Mawaziri kuwa na Mapengo kufuatia Mawaziri wengi tu kutoka na kutolewa Uwaziri, Baraza "Jipya" litatangazwa hivi karibuni. Zoezi hili lilipisha kidogo, shughuli za Vikao vya Bunge lililokwisha hivi karibuni. Habari za NDANI ni kuwa, Mawaziri kadhaa, wakiwamo Mwigulu Nchemba na Januari Makamba, wata TUPWA NJE!
Bash boy anatarajiwa kulamba dume
 
Kama unajua kusoma alama za nyakati uwezekano wa kuwa tema ni mdogo sana hasa Mwigulu Nchemba.
[emoji27] [emoji27] kwann mkuu wasema hivyo mbona redio lumuli inasema mkulu wote hao hawakuwa ktk target zake kilichowaweka pale nikujitoa kwao ktk uchaguzi mkuu ulopita na nguvu ya wazee....kwa sasa mkulu keshaota pembe amini atawamwaga[emoji3]
 
Makonda basi anafanyia mazoezi uwaziri wa Upolisi maana anawaza upolisi ndio wazir wa ndanj tu
 
Msiwe na haraka, wanakaa na Bashite wapange nani atoke na nani aingie
 
Back
Top Bottom