Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Usiku wa weekend ya "Balimi extra lager, tumkaribishe mgeni wetu"
Rubbish!Kutokana na Baraza la Mawaziri kuwa na Mapengo kufuatia Mawaziri wengi tu kutoka na kutolewa Uwaziri, Baraza "Jipya" litatangazwa hivi karibuni. Zoezi hili lilipisha kidogo, shughuli za Vikao vya Bunge lililokwisha hivi karibuni. Habari za NDANI ni kuwa, Mawaziri kadhaa, wakiwamo Mwigulu Nchemba na Januari Makamba, wata TUPWA NJE!
Ni kweli mkuu. Wanakuwa waoga na yeye hajui anawaita wapumbavu.Mawaziri wote wa ccm hawana tija yoyote , katika nchi ambayo maagizo yote yanatoka juu utaujuaje uwezo wa waziri ?
January makamba mkuu wa Kitengo cha uchakachuaji, fitna na mbinu za hovyo CCM ni vikumu atupwe nje kwani bila yy leo hii Lowasa angekuwa ikulu, Mwigulu Nchemba yy anakwenda kuwa waziri wa Tamisemi huku Bashite a.k.a makonda akizawadiwa Ubunge na kuwa waziri wa mambo ya ndani ikiwa ni Zawadi maalum baada ya kufanya kazi kubwa Dodoma juzi juzi.Kutokana na Baraza la Mawaziri kuwa na Mapengo kufuatia Mawaziri wengi tu kutoka na kutolewa Uwaziri, Baraza "Jipya" litatangazwa hivi karibuni. Zoezi hili lilipisha kidogo, shughuli za Vikao vya Bunge lililokwisha hivi karibuni. Habari za NDANI ni kuwa, Mawaziri kadhaa, wakiwamo Mwigulu Nchemba na Januari Makamba, wata TUPWA NJE!
Mwigulu anaenda Tamisemi, Bashite anakuwa waziri wa mambo ya ndani.Bashite in
Mwiguru out.
Bash boy anatarajiwa kulamba dumeKutokana na Baraza la Mawaziri kuwa na Mapengo kufuatia Mawaziri wengi tu kutoka na kutolewa Uwaziri, Baraza "Jipya" litatangazwa hivi karibuni. Zoezi hili lilipisha kidogo, shughuli za Vikao vya Bunge lililokwisha hivi karibuni. Habari za NDANI ni kuwa, Mawaziri kadhaa, wakiwamo Mwigulu Nchemba na Januari Makamba, wata TUPWA NJE!
[emoji27] [emoji27] kwann mkuu wasema hivyo mbona redio lumuli inasema mkulu wote hao hawakuwa ktk target zake kilichowaweka pale nikujitoa kwao ktk uchaguzi mkuu ulopita na nguvu ya wazee....kwa sasa mkulu keshaota pembe amini atawamwaga[emoji3]Kama unajua kusoma alama za nyakati uwezekano wa kuwa tema ni mdogo sana hasa Mwigulu Nchemba.
Kwann[emoji15] sizonje kwa sasa hasikii la mpiga kengele wala mnadi swala....kwanza wazee wa chama ndo wala hawasikilizi kwa sasa anasema "wanawashwA"[emoji23] [emoji23]Hao hawatoki
Wewe ndio hujuiHuyu bwana hana vyanzo vya ndani. Vingekuwepo tungeishaju kamati ya kujadili makinikia
Vyeo should be based on uwezo na sio mtu anatoka mkoa gani...Na kwa kuwa Mkoa wa Singida uatakuwa hauna tena Waziri, basi Allan Kiula itabidi aingie, hata ikibidi kama Naibu Waziri..