Tetesi: Mabadiliko Baraza la Mawaziri: Nani kuondoka, nani kubaki na nani kuingia?

Watoke tu,output ni zero.Mwakyembe na Maghembe nao ni mizigo,wapumzishwe.Waziri wa elimu naye alianza vizuri, sijui kitu gani kimemkuta sasa hivi mm.
 
Kabisa...

Mwigulu kwakweli hayupo kabisa awamu hii..
Kama ni mtumishi wa CCM ambayo ni ile ile na anabagua afanyeje kazi atakuwa na tatizo binafsi ....
 
Kama kuwatoa mwigulu na makamba basi litakuwa limetimia adiko alilosema mzee yusufu makamba kuwa huyu KIWETE alikuwa anabatiza kwa maji na SIZOJE atawbatiza kwa moto , batiza basi hao sizoje.
 
Labda Mwigulu ila Makamba yupo karibu sana na makamo wa rais.
 
Kwa hiyo ungetaka tufanye nini mkuu?
 
Umeshakua jerson msigwa wewe?
 
Ila kati ya mawaziri wa ajabu ajabu kutokea kwenye wizara hii ya mambo ya ndani miaka ya karibuni ni Mwigulu Nchemba , kwakweli nimeshindwa kumuelewa kabisa. Issue zote zinazohusu wizara yake zinakuwa handled na Makonda.

Kitu kinachoweza kufanya asitemwe, ni kwasababu yeye "hamuingilii" Bashite cheo chake alichopewa na dingi yake wa Magogoni. Na hilo linamfurahisha sana mkuu inavyoonekana, maana anayeenda kinyume na Bashite hana kazi.

Sasa hilo kwenye wizara ya mambo ya ndani anakuwa tu kama "mbwa kibogoyo"

Yani heshima ya Mwigulu Nchemba imeshuka. Kama ni graph imeenda kwenye negative kabisa.
 
Watoke tu,output ni zero.Mwakyembe na Maghembe nao ni mizigo,wapumzishwe.Waziri wa elimu naye alianza vizuri, sijui kitu gani kimemkuta sasa hivi mm.
Kilichomkuta ni maagizo kutoka juu, nadhani hajafungua acc tweeter angekuwa anapunguza stress kama wenzake.
 
JF kuelekea ucku wa mananeeeh
 
Ana wengine wa kuteua? Peleka ndoto huko!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…