Mabadiliko Baraza la Mawaziri: Simbachawene apelekwa Ofisi ya Waziri Mkuu, Ndumbaro aenda Katiba na Sheria, Pindi Chana Maliasili na Utalii

Ona Sasa Ndumbaro ushabiki wako wa Simba eti mechi zake zinaangaliwa sana kuliko Yanga, subiri Yanga nao wapewe shavu na Chana.
 
Waangalie maamuzi yote aliyofanya Ndumbaro ambayo mengi yalitesa wananchi...

Pale
Mufindi maamuzi yake yalipoteza ajira na biashara ya wananchi wengi...

Takukuru ni muhimu kuchunguza maamuzi ya viongozi maana mengine yana viashiria vya wazi vya rushwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kaa chonjo kuna mabadiliko Madogo kwenye Makatibu Sehemu Tatu , alafu kwenye watendaji wa Ubalozi Mashariki Ya mbali tunabadili
Mkuu, kuna member mmoja friji lake haligandishi hadi ameamua akufungulie uzi kwa hizi tabiri zako zinazo ishi...🤣🤣
 
Si awamu ya nne ilikebehiwa kwa kuitwa ni watu wa dili na awamu ya mwendazake. Sasa zamani hizo za kejeri na kebehi zimekwisha pita.

Huu ni wakati wa sehemu zote muhimu ndani serikali na chama kurudishwa na kuwa sehemu ya wana mtandao. Kama we mwana CCM huwezi kupambana nao, basi jiunge nao.

Ama la, njoo upande wa CDM. Chama makini kipo tayari kutwaa na kukabidhiwa dola, ili Tanzania mpya ipate kuonekana.
 
Dah! Watu wanahamishwa tu Wizara! Yaani unatoka huku, unaenda kule! Ni mwendo tu wa ulaji.

Hongereni sana Waheshimiwa kwa kubadilishiwa majukumu yenu ya Uwaziri.
 
Huyu mama huyu? Anyway ngoja tuone miaka mitatu iliyobaki ataifanyia nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…