Kalunya
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 13,322
- 18,609
Huyo mnyarwanda labda akamfufue maguBashiru atarudishwa vinginevyo chama changu kitaanguka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo mnyarwanda labda akamfufue maguBashiru atarudishwa vinginevyo chama changu kitaanguka
Kinana kwa sasa ni bwenyenye mwenye maslahi mengi ya kibiashara. Ingekua mimi wala nisingekubali cheo hicho. Itakua ni conflict of interest wakati wote. Hii ndio ilifanya watofautiane na magufuli. Isitoshe kinana saa hizi ni umri wa kua kwenye kustaafu atakuja pata ugonjwa wa moyo bure maana tutamuandama kama wataendelea na unafiki wao ndani ya ccm.Salaam Wakuu,
Inadaiwa Daniel Chongolo anatemwa Ukatibu Mkuu CCM!
Kinana aandaliwa kuwa Makamu Mwenyekiti, hana Mpinzani
Vyanzo ndani ya CCM vinadokeza kuwa fukuto linaendelea ndani ya Chama Cha Mapinduzi na ndugu Daniel Chongolo amekalia kuti kavu.
Chanzo kinabainisha kuwa wanaodaiwa kumrithi Chongolo ni kati ya ndugu Sixtus Mapunda na Glorious Luoga.
Nini kimemponza Chongolo? Anakwama wapi?
Uongozi ni kupokezana kijiti, nani anafaa kuchukua nafasi ya Ukatibu Mkuu wa CCM?
Chongolo atarudishiwa Ukuu wa Wilaya au atarudi Kijijini kulima Matango?
Pia soma Kwanini Katibu Mkuu wa CCM amekosa kabisa ushawishi Kwa jamiii? Je, CCM wana mgomo baridi dhidi yake?
Bashiru atarudishwa vinginevyo chama changu kitaanguka
Hawa wanaweza kurudi, dini zao zinawabebaKinana
Salaam Wakuu,
Inadaiwa Daniel Chongolo anatemwa Ukatibu Mkuu CCM!
Kinana aandaliwa kuwa Makamu Mwenyekiti, hana Mpinzani
Vyanzo ndani ya CCM vinadokeza kuwa fukuto linaendelea ndani ya Chama Cha Mapinduzi na ndugu Daniel Chongolo amekalia kuti kavu.
Chanzo kinabainisha kuwa wanaodaiwa kumrithi Chongolo ni kati ya ndugu Sixtus Mapunda na Glorious Luoga.
Nini kimemponza Chongolo? Anakwama wapi?
Uongozi ni kupokezana kijiti, nani anafaa kuchukua nafasi ya Ukatibu Mkuu wa CCM?
Chongolo atarudishiwa Ukuu wa Wilaya au atarudi Kijijini kulima Matango?
Pia soma Kwanini Katibu Mkuu wa CCM amekosa kabisa ushawishi Kwa jamiii? Je, CCM wana mgomo baridi dhidi yake?
Nimecheka sana hapa kwa makamu mkiti 🤣
🤣 🤣
Aondoke tu hakuna namnaSalaam Wakuu,
Inadaiwa Daniel Chongolo anatemwa Ukatibu Mkuu CCM!
Kinana aandaliwa kuwa Makamu Mwenyekiti, hana Mpinzani
Vyanzo ndani ya CCM vinadokeza kuwa fukuto linaendelea ndani ya Chama Cha Mapinduzi na ndugu Daniel Chongolo amekalia kuti kavu.
Chanzo kinabainisha kuwa wanaodaiwa kumrithi Chongolo ni kati ya ndugu Sixtus Mapunda na Glorious Luoga.
Nini kimemponza Chongolo? Anakwama wapi?
Uongozi ni kupokezana kijiti, nani anafaa kuchukua nafasi ya Ukatibu Mkuu wa CCM?
Chongolo atarudishiwa Ukuu wa Wilaya au atarudi Kijijini kulima Matango?
Pia soma Kwanini Katibu Mkuu wa CCM amekosa kabisa ushawishi Kwa jamiii? Je, CCM wana mgomo baridi dhidi yake?
Kweli tupuChongolo na Sahaka hawana sifa ya kuwa viongozi wa juu wa CCM,hata wao wanashangaa kupata nafasi hizo.
Slaa,katibu mkuu CCMSalaam Wakuu,
Inadaiwa Daniel Chongolo anatemwa Ukatibu Mkuu CCM!
Kinana aandaliwa kuwa Makamu Mwenyekiti, hana Mpinzani
Vyanzo ndani ya CCM vinadokeza kuwa fukuto linaendelea ndani ya Chama Cha Mapinduzi na ndugu Daniel Chongolo amekalia kuti kavu.
Chanzo kinabainisha kuwa wanaodaiwa kumrithi Chongolo ni kati ya ndugu Sixtus Mapunda na Glorious Luoga.
Nini kimemponza Chongolo? Anakwama wapi?
Uongozi ni kupokezana kijiti, nani anafaa kuchukua nafasi ya Ukatibu Mkuu wa CCM?
Chongolo atarudishiwa Ukuu wa Wilaya au atarudi Kijijini kulima Matango?
Pia soma Kwanini Katibu Mkuu wa CCM amekosa kabisa ushawishi Kwa jamiii? Je, CCM wana mgomo baridi dhidi yake?
Polepole alikuwa anafaa sana hicho chama sasa yupo Malawi basi Makonda atawafaa hapo.Salaam Wakuu,
Inadaiwa Daniel Chongolo anatemwa Ukatibu Mkuu CCM!
Kinana aandaliwa kuwa Makamu Mwenyekiti, hana Mpinzani
Vyanzo ndani ya CCM vinadokeza kuwa fukuto linaendelea ndani ya Chama Cha Mapinduzi na ndugu Daniel Chongolo amekalia kuti kavu.
Chanzo kinabainisha kuwa wanaodaiwa kumrithi Chongolo ni kati ya ndugu Sixtus Mapunda na Glorious Luoga.
Nini kimemponza Chongolo? Anakwama wapi?
Uongozi ni kupokezana kijiti, nani anafaa kuchukua nafasi ya Ukatibu Mkuu wa CCM?
Chongolo atarudishiwa Ukuu wa Wilaya au atarudi Kijijini kulima Matango?
Pia soma Kwanini Katibu Mkuu wa CCM amekosa kabisa ushawishi Kwa jamiii? Je, CCM wana mgomo baridi dhidi yake?
Mimi nafaaTupo pamoja mkuu na mkutano huu utamuhusu moja kwa moja ndg mbobezi...
Chongolo na Sahaka hawana sifa ya kuwa viongozi wa juu wa CCM,hata wao wanashangaa kupata nafasi hizo.
Polepole alikuwa anafaa sana hicho chama sasa yupo Malawi basi Makonda atawafaa hapo.
Ulizoea yule wa kupanua mdomoHuyu kwa kweli amepwaya sana.
Kwa Ushawishi upi alionao BashiruBashiru atarudishwa vinginevyo chama changu kitaanguka
We zezeta nikikumbukaga comments zako wakat wa sakata la Ndugai, ulivyokuwa eti unatoa vitisho kuwa Ndugai hawezi kujiuzulu, Nchi haitokalika!,😎 Haya Leo kikowapi??? Boss wako anauguza saratan ya Koo IndiaKwamba kulima matang, anyway nasubiri more comments