Naona hata 'Nepy' kuna siku atakayoamka na kuibuka na vimaneno, na yeye tutaanza kumpa sifa zake!Katika hali ya kushangaza , Waziri wa zamani wa Utalii Hamis Kigwangwala amejitokeza hadharani kutaka jamii iwapime viongozi kwa utendaji badala ya Uchawa . Tunampongeza sana Mh huyu kwa kuliona jambo hili .
Bali wengi tunajiuliza , maono haya ya Kigwangwala yanatoka moyoni kweli au ni kwa vile mfumo umemtenga ?
View attachment 2755007
Aliumwa na nyoka, akiona kamba anakimbia.Mo anamuogopa sana Kigwangala
Thubutu! Mbona alimnyima bodabodaMo anamuogopa sana Kigwangala
Si ndio kama Nape kipindi kile sa hizi anajidai Papa...Wanafiki tu hawa. Wakikaa benchi wanajifunya wazalendo subiri wapewe wadhifa uone dharau zao.
[emoji2956][emoji2956]Kigwangala ni mnafiki!
Usipomuelewa utapata naye shida!
Na anahangaika sana kupata uteuzi!
Bwashee Mo hawezi muogopa yule nguchiro asiye na impact yoyote kwakeMo anamuogopa sana Kigwangala
Kigwangala ni mnafiki!
Usipomuelewa utapata naye shida!
Na anahangaika sana kupata uteuzi!
Thubutu! Mbona alimnyima bodaboda
Hakuna tajiri chawaChadema hakuna chawa? Mfano, wewe sio chawa wa Mbowe?
Wakiwa nje ya mfumo huwa zinawarudi.. Wakiingia zinawakimbia...Katika hali ya kushangaza, Waziri wa zamani wa Utalii Hamis Kigwangwala amejitokeza hadharani kutaka jamii iwapime viongozi kwa utendaji badala ya Uchawa . Tunampongeza sana Mh huyu kwa kuliona jambo hili .
Bali wengi tunajiuliza , maono haya ya Kigwangwala yanatoka moyoni kweli au ni kwa vile mfumo umemtenga?
View attachment 2755007
Unaweza kutuwekea mifano kidogo ?chadema ndio chawa namba moja nchi hii ni hatari sana sijawahi kuona walah
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hakuna tajiri chawa
[emoji23][emoji23]Mo anamuogopa sana Kigwangala