Mabadiliko: Hamis Kigwangwala aanza kuzungumza lugha ya Wananchi

Mabadiliko: Hamis Kigwangwala aanza kuzungumza lugha ya Wananchi

Katika hali ya kushangaza , Waziri wa zamani wa Utalii Hamis Kigwangwala amejitokeza hadharani kutaka jamii iwapime viongozi kwa utendaji badala ya Uchawa . Tunampongeza sana Mh huyu kwa kuliona jambo hili .

Bali wengi tunajiuliza , maono haya ya Kigwangwala yanatoka moyoni kweli au ni kwa vile mfumo umemtenga ?

View attachment 2755007
Naona hata 'Nepy' kuna siku atakayoamka na kuibuka na vimaneno, na yeye tutaanza kumpa sifa zake!

Watu kama huyu hapa, kweli naye ni wa hata kumtaja tu kwa lolote la maana?
 
Ni kwa sababu hana tonge mdoni ukifika mda akameza tonge hutamsikia akiongea hii lugha
 
chadema ndio chawa namba moja nchi hii ni hatari sana sijawahi kuona walah
 
Mnafiki.....

Huyo tunamjua toka akiwa Muhimbili.....

Hovyoooo

#SiempreJMT[emoji120]
 
Katika hali ya kushangaza, Waziri wa zamani wa Utalii Hamis Kigwangwala amejitokeza hadharani kutaka jamii iwapime viongozi kwa utendaji badala ya Uchawa . Tunampongeza sana Mh huyu kwa kuliona jambo hili .

Bali wengi tunajiuliza , maono haya ya Kigwangwala yanatoka moyoni kweli au ni kwa vile mfumo umemtenga?

View attachment 2755007
Wakiwa nje ya mfumo huwa zinawarudi.. Wakiingia zinawakimbia...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom