Dalili zinaonyesha kuwa anaandaliwa kumrithi Mabeyo iwe kwa Mabeyo mwenyewe kujuwa au kwa kutojuwa kama kukitokea mabadiliko yoyote katika utawala Mh Magufuli!.Kanali mkelemi sio tena ADC wa mukulu,anakuja kanali mwingine" sawa, kwani ukiwa brigedia general huwezi kuwa ADC wa presidar?
Wanaofahamu mambo ya inteligencia watujuze
cc. Brother GENTAMYCINE,na wengineo
Taratibu boss! Kuna cheo na kuna madaraka! OCD anaweza kuwa na nyota 1 lakini inspector wa wilaya hiyo hiyo anaweza kuwa nyota 2!
Bado naamini kazi ya kuwa mlinzi wa rais (japo inafahamika kama Mpambe) ni kazi nyeti kuliko ya Brigadier!
HapanaDalili zinaonyesha kuwa anaandaliwa kumrithi Mabeyo iwe kwa Mabeyo mwenyewe kujuwa au kwa kutojuwa kama kukitokea mabadiliko yoyote katika utawala Mh Magufuli!.
Inaonekana hujui Rais ni mtu wa namna gani ktk nchi.mapenzi yenu ya uvyama vya siasa yamewageuza mmekua kama punguani.hujui nini maana ya amili jeshi mkuu?poleNimemwomba Mh. Rais....
Nimemwomba Mh. Rais.....
Nimemwomba Mh. Rais....
Kwani hawezi kufanya teuzi bila kumwomba Huyo...?
Wapi atapata fedha zaidi, kwenye u-body guard au huko atakapopelekwa?Hapana mkuu simfananishi na koplo ila kwa uelewa wangu ni kwamba kuna junior COs na senior Officers, huyo bwana katoka junior officer. Kwa hiyo Codes za senior officer zinamzuia kuwa bodyguard.
Hayo yote yanafahamika! Bado hujagusa unyeti na umuhimu wa mpambe wa rais (Kumbuka naye hulindwa).Brigedia ni nafasi nyeti zaidi ya mpambe wa Raisi. Brigedia ni mtu anayeoongoza vikosi kadhaa vya jeshi. Ndo maana ana ulinzi mkali mpaka nyumbani kwake. Brigedia nae anatembea na mpambe. Mpambe wa Raisi si mlinzi, Raisi pia analindwa na kikosi cha jeshi kinachoitwa State dog hao huwezi kuwaona kirahisi ila anzisha timbwili la kijeshi kwenye msafara wa Raisi utakiona cha moto. Pia kuna kikosi cha jeshi cha intelijensia nacho kinamlinda Raisi. Hivyo vikosi vyote vina wakuu wake na hao wakuu bado ni wadogo sana kwa Brigedia. Brigedia hata akistaafu analindwa mpaka kufa kwake
Kaka hatubishani ila ili kuja kuanza kuamini subiri upandishwaji mwingine utakao fuata nini kitatokea, mimi ninachojua hicho cheo hatakaa nacho muda mrefu!.Hapana
Luten General aliyepo na aliyepanda Jana
Ndio wajao baada ya Gen kumaliza utumishi
Si mbali sana
Cc BAK
Brilliant question!Wapi atapata fedha zaidi, kwenye u-body guard au huko atakapopelekwa?
ComradeKaka hatubishani ila ili kuja kuanza kuamini subiri upandishwaji mwingine utakao fuata nini kitatokea, mimi ninachojua hicho cheo hatakaa nacho muda mrefu!.
Sent from my SM-J110F using JamiiForums mobile app
Amina kaka 2po pamoja katika maombi yetu!.Comrade
Nimekupa taarifa kwa faida ya jukwaa hili
Ni hayo
Asubuh njema
Ongezeni maombi kwetu wakat tukiendelea kuwatumikia
Hayo yote yanafahamika! Bado hujagusa unyeti na umuhimu wa mpambe wa rais (Kumbuka naye hulindwa).
πππππBrilliant question!
Kapumzike mkuu!mpambe wa Raisi hana bodiguard
Hata mimi ningechukia aisee!πππππ
Titles without money, meant nothing.
Even huyo mpambe himself (am sue), atakuwa amechukia kuondolewa pale.
Utabiri wako unaweza kuwa sio sahihiNitabiri, Mkeremy atakuwa mkuu wa majeshi muda wowote ikiwa Mabeyo atamaliza muda wake au kutokea mabadiliko yoyote katika kipidi cha utawala wa Magufuli.
Akipandishwa tena baada ya mwaka mmoja hapo nitaamini kuwa anaandaliwaKaka hatubishani ila ili kuja kuanza kuamini subiri upandishwaji mwingine utakao fuata nini kitatokea, mimi ninachojua hicho cheo hatakaa nacho muda mrefu!.
Sent from my SM-J110F using JamiiForums mobile app
Labda jamaa afahamishe hivi ataelewa; BRIGADIER ni mkuu wa BRIGADE. Sasa akatafute maana ya brigade ndio atajua kazi nzito ya brigadier.Brigadier anapewa mpambe na mlinzi wakati adc hana chochote
Halafu elewa yule sio mlinzi ,rais analindwa na Tiss ..yule ni msaidizi wa rais
Saizi ADC mkelemi anaendeshwa,analindwa na anapewa mpambe ..
Brigadier wanafanya mkutano na rais huku adc akiwa anabeba mafaili tu na kupeleka peleka hana say
Yaani unasema bado unaamini adc mbeba maboksi ,viatu ni kazi nyeti kuliko brigadier generali ase una matatizo ,brigadier ana plot mapinduzi
Kimadaraka,kicheo brigadier mtu mkubwa sana kuliko mbeba mwamvuli ,faili wa rais ..saizi mkelemi ana heshima
Kama hujui kuwa rais ndio hupandisha vyeo vya wanajeshi, yeye kama amiri jeshi mkuu, lazima ushangae sana pale CDF anapotoa mapendekezo (nimemuomba rais).Hata mie nimemshangaa
Jamaa anakosoa wenzake wakati hajajiaandaa na kuufahamu zaidi mfumo wa Monarch. Kajaribu kudhalilisha wenzake wakati hata hajui nini alichokielezea. Ni kama magufuli kumtuma Maiga UN kuhutubia baraza la usalama hovyo huwezi kusema magufuli ni mkuu wa nchi lakini mahiga ni mhusika kwenye UN. Hatari sana kukurupuka katika jukwaa kama hiliUkielewa kuanzia unwritten constitution utaelewa kuwa jamaa yuko sahihi, kwa maana waziri mkuu nkuwa ni kiongozi wa serikali (queen anabaki kuwa ceremonial)
Head of state ni queen na ndie mwenyewe commander in chief. Mambo msimkosoe mtu muwe mnaelewa.