Duh! Mkuu! Hilo halihitaji hata kuuliza. Chulia scenario hii; Rais, yaani Amiri Jeshi Mkuu, akiamua kubadilishana mawazo/kuongea na makamanda wa vikosi (mabrigedia and above) wewe umebeba mikoba yake tena kimya wala huruhusiwi kutia neno wakati makamanda wakitoa options kwa Amiri Jeshi Mkuu.
Kwa scenario hiyo ndogo common sense tu inaonesha ni ipi nyadhifa kubwa. Cheo cha kijeshi kikishakuwa na neno "General" hiyo ni level nyingine Mkuu - Brigadier General; Major General; Lieutenant General; and General ambao kimsingi wanastahili za kuwa na wapambe pia na diplomatic passports kama sijakosea.
Makanali ndio kazi zao kuwa wapambe wa viongozi na sio majenerali; kama iliwahi kutokea ni kwa bahati mbaya sana.