Tajiri wa kusini
JF-Expert Member
- Nov 28, 2022
- 1,079
- 2,947
duh bila kusahau ikhanoda.makiungu.ngamu.ilongeroMzee wa Shelui Singida BS, wasalimie Kyegenge, Tyeme Mtoa, Gyumanga, Kisua, Tintigulu, Mukulu, Makunda, Old Kiomboi, Mtekente, Kidalu,
Prof Mkenda ni mchumi pia ni moja ya vichwa vya maana sana tulivyonavyo Bungeni. Akiwa pale atasaidiaSijasema kwamba sijawaambia wakuu mpeni taarifa ya kwamba Mzee wa shelui njia panda ya shelui ajiandae mapemaaa kuachia nafasi ya maokotro waje wanaojua kuzitumikia hizo nafasi aisee...
Kimei ni kimeo hakuna mtu mle pale CRDB alizunguka na vichwa sana kina DK KalugendoProf Mkenda ni mchumi pia ni moja ya vichwa vya maana sana tulivyonavyo Bungeni. Akiwa pale atasaidia
Kwangu nilimtegemea zaidi Dr. Charles Kimei as masuala ya Fedha yanategemea sana rekodi ya utendaji ya mtu husika kwenye masuala ya Fedha.
Kimei alipoitoa Benki ya Kilimo hadi kuifanya CRDB ilivyo hadi anachukua Nsekela kwangu ndiye anastahili zaidi
Duh.....hapo awekwe MzanzibarProf Mkenda ni mchumi pia ni moja ya vichwa vya maana sana tulivyonavyo Bungeni. Akiwa pale atasaidia
Kwangu nilimtegemea zaidi Dr. Charles Kimei as masuala ya Fedha yanategemea sana rekodi ya utendaji ya mtu husika kwenye masuala ya Fedha.
Kimei alipoitoa Benki ya Kilimo hadi kuifanya CRDB ilivyo hadi anachukua Nsekela kwangu ndiye anastahili zaidi
Wewe na huyo Mwigulu ndo mtajua nguvu ya Rais wa JMT na mwenyekiti wa CCM. Kwa katiba tuliyo nayo Rais ni baada ya Mungu..Huyu mama akimuondoa na Mwigulu basi hata fomu ya kugombea urais ndani ya ccm hatopewa. Afungashe tu kurudi Kizimkazi.
Tukwite Yahaya au?Sijasema kwamba sijawaambia wakuu mpeni taarifa ya kwamba Mzee wa shelui njia panda ya shelui ajiandae mapemaaa kuachia nafasi ya maokotro waje wanaojua kuzitumikia hizo nafasi aisee
Ila sasa kosa kubwa litalofanyika ni kumuweka Mzee wa tarakea kwenye hii nafasi nafasi hili ni kosa kubwa mno aisee kwani hamna watu wengine wakuwekwa hapo zaidi ya huyo Mzee wa tarakea? Aisee haya bwana mie napita tu.
Hiyo sherehe unafanya ww? Au nan?Itakuwa sherehe kubwa kuliko ya wale wengine
Hata Mubarak na Al Bashir waliamini hivyo. Gadaffi alidiriki hata kuwaita "mende" wananchi wake.Wewe na huyo Mwigulu ndo mtajua nguvu ya Rais wa JMT na mwenyekiti wa CCM. Kwa katiba tuliyo nayo Rais ni baada ya Mungu.
Mbona unamlinda sana,umekula ajira,B.stars au kwenye ndege za ardhini?.Huyu mama akimuondoa na Mwigulu basi hata fomu ya kugombea urais ndani ya ccm hatopewa. Afungashe tu kurudi Kizimkazi.
Na Sekenke umetusahau na watu wa Ndago je ??!Mzee wa Shelui Sha Madyelu, wasalimie Kyegenge, Tyeme Mtoa, Gyumanga, Kisua, Tintigulu, Mukulu, Makunda, Old Kiomboi, Mtekente, Kidalu, Nkokilangi, Kibigili.