avogadro
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 8,082
- 14,457
Kwamba ka copy hapa na kuanzisha Uzi mwingine hapa hapa Jf ili na yeye apate maujikoUnasema ikitokea Rais akaja baadae huko ?Kihenzile na Mkenda inawezekana wakawa Mawaziri ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba ka copy hapa na kuanzisha Uzi mwingine hapa hapa Jf ili na yeye apate maujikoUnasema ikitokea Rais akaja baadae huko ?Kihenzile na Mkenda inawezekana wakawa Mawaziri ?
Iko vile !Wewe na huyo Mwigulu ndo mtajua nguvu ya Rais wa JMT na mwenyekiti wa CCM. Kwa katiba tuliyo nayo Rais ni baada ya Mungu.
Naunga mkono hoja. !Hiyo wizara tukodisha Wazungu tuwape mkataba tu, na watendaji wote wawe Wazungu mpaka kule TRA.
Hivi hii ni sura yako?duh bila kusahau ikhanoda.makiungu.ngamu.ilongero
Myugai kwaso ku Ndago mayu? Alamukiye ku Kizaga, Mugongo, Kiselya, Songambele, Nguvumali, KibayaNa Sekenke umetusahau na watu wa Ndago je ??!
Uwe mbwane uwe leka nkani zasho 🤣😅
Dah, home sweet home, wembere, doromoni, bambalaga, mgongo, sekenke........kwetu kuzuri jamaniMzee wa Shelui Sha Madyelu, wasalimie Kyegenge, Tyeme Mtoa, Gyumanga, Kisua, Tintigulu, Mukulu, Makunda, Old Kiomboi, Mtekente, Kidalu, Nkokilangi, Kibigili.
Huko sio Iramba magharibiduh bila kusahau ikhanoda.makiungu.ngamu.ilongero
Kono kwa apanga due mbwane, mbii kwaso?Myugai kwaso ku Ndago mayu? Alamukiye ku Kizaga, Mugongo, Kiselya, Songambele, Nguvumali, Kibaya
Sisi tunachapa kazi, shida wizi na upendeleo wa ukabilaProf Mkenda ni mchumi pia ni moja ya vichwa vya maana sana tulivyonavyo Bungeni. Akiwa pale atasaidia
Kwangu nilimtegemea zaidi Dr. Charles Kimei as masuala ya Fedha yanategemea sana rekodi ya utendaji ya mtu husika kwenye masuala ya Fedha.
Kimei alipoitoa Benki ya Kilimo hadi kuifanya CRDB ilivyo hadi anachukua Nsekela kwangu ndiye anastahili zaidi
Mimi naona kama wamemchelesha saaana kupita kiasi yaani hata aliyeenda Burundi kisharudi TZMzee wa Shelui Sha Madyelu, wasalimie Kyegenge, Tyeme Mtoa, Gyumanga, Kisua, Tintigulu, Mukulu, Makunda, Old Kiomboi, Mtekente, Kidalu, Nkokilangi, Kibigili.
Ametumikia wizara tatu mpaka sasa tangu aingie bungeni hebu tuoneshe notable achievements alizofanya kwenye hizo wizaraProf Mkenda ni mchumi pia ni moja ya vichwa vya maana sana tulivyonavyo Bungeni. Akiwa pale atasaidia
Kwangu nilimtegemea zaidi Dr. Charles Kimei as masuala ya Fedha yanategemea sana rekodi ya utendaji ya mtu husika kwenye masuala ya Fedha.
Kimei alipoitoa Benki ya Kilimo hadi kuifanya CRDB ilivyo hadi anachukua Nsekela kwangu ndiye anastahili zaidi
Unafahamu wa Zenji wewe!Duh.....hapo awekwe Mzanzibar
Watanganyika na Hazina ni Sawa Fisi na Bucha 🐼
Bila kusahau Ushora-Ndago, Luzilukulu, Usure, Kaselya, Mbelekese, Urugu na simbalungwala 😂Mzee wa Shelui Sha Madyelu, wasalimie Kyegenge, Tyeme Mtoa, Gyumanga, Kisua, Tintigulu, Mukulu, Makunda, Old Kiomboi, Mtekente, Kidalu, Nkokilangi, Kibigili.
Labda kwavile huko Bungeni hakuna watakao linagnishwa naye ila kusema ukweli huyu hajaonyesha umahiri nilioutegemea kwake...Ametumikia wizara tatu mpaka sasa tangu aingie bungeni hebu tuoneshe notable achievements alizofanya kwenye hizo wizara
Hivi kosa lake hasa ninini?sababu humu kilasiku tunamsema vibaya.Naomba melezoSijasema kwamba sijawaambia wakuu mpeni taarifa ya kwamba Mzee wa shelui njia panda ya shelui ajiandae mapemaaa kuachia nafasi ya maokotro waje wanaojua kuzitumikia hizo nafasi aisee
Ila sasa kosa kubwa litalofanyika ni kumuweka Mzee wa tarakea kwenye hii nafasi nafasi hili ni kosa kubwa mno aisee kwani hamna watu wengine wakuwekwa hapo zaidi ya huyo Mzee wa tarakea? Aisee haya bwana mie napita tu.
Britaniccabritanicca aje athibitishe hizi tetesi
JESUS IS LORD&SAVIOR
Tyile ka nkani gyule wane, kudaula imilomo du nzala nkaliKono kwa apanga due mbwane, mbii kwaso?