Zouzoutz
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 1,883
- 2,732
AaaaahaaaYule Jamaa Ni Mkia Wa Mbuzi Yaani Umeacha Eneo Muhimu Wazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AaaaahaaaYule Jamaa Ni Mkia Wa Mbuzi Yaani Umeacha Eneo Muhimu Wazi
Dah, home sweet home, wembere, doromoni, bambalaga, mgongo, sekenke........kwetu kuzuri jamani
natamani madelu atumbuliwe hata leo ili awashe huo moto watu wanaosemaga atawasha, hv watu wanaifahamu nguvu aliyonayo rais wa tz au wanasikiaga tu.Jaribuni huo moto muone.
Basi awe wa Peeembaaaa.Duh.....hapo awekwe Mzanzibar
Watanganyika na Hazina ni Sawa Fisi na Bucha 🐼
Ni kweliDr. Mwigulu Nchemba mwigulu hawezi kuondolewa pale kwa namna yoyote. kama ni kuliwa kichwa ilitakiwa yeye awe ameondolewa kitambo sana. tumvumilie hadi 2025 atakapomaliza muda wake maana bungeni hatarudi tena
Huwa wanasena subira yavuta kheri,ila unaweza kuta unakuka mbovu hivi hivi,kwani kheri inapofika vyote vimeoza.Ni kweli
Ene kuwembere mntuaBambalaga ipi mkuu?
Ya Messi?
Kwetu maeneo ya Misri,Tulya mpaka doromoni
Mboni unahamisha chanelo?,nami nipo bambalaga nilitaka niwaunge mikono.Ene kuwembere mntua
Nitakuja Bambalaga, last time niliishia dolomoniMboni unahamisha chanelo?,nami nipo bambalaga nilitaka niwaunge mikono.
Karibu nitakuwepo mpaka machweo!Nitakuja Bambalaga, last time niliishia dolomoni
Kama unajipenda 🙌Rais wa TZ ambaye bado yuko madarakani usimjaribu.
Kabisa !Ukwasi aliojikusanyia unatosha vizazi hata vizazi
Kwani majaribu ni yapi?Ili tusiingie majaribuni?Kama unajipenda 🙌
Acha na wengine wakajilimbikizie Ukwasi 😳🙌Hata wakitolewa wewe inakufaidisha nini km mwananchi wa kawaida?? Tozo ziko palepale
Unamsikia tena Supika musitahafu ??!Kwani majaribu ni yapi?Ili tusiingie majaribuni?
Dah.!! Mi nilijua utakaimu wewe.!Acha na wengine wakajilimbikizie Ukwasi 😳🙌
Sio wao pekee wanaostahili 🙌👍
Amuulize Mzee wa Idodomya karibu na Kibaigwa 🤠natamani madelu atumbuliwe hata leo ili awashe huo moto watu wanaosemaga atawasha, hv watu wanaifahamu nguvu aliyonayo rais wa tz au wanasikiaga tu.
Mimi umri umeenda, I need nothing any more !Dah.!! Mi nilijua utakaimu wewe.!
Kumbe na wewe unasindikiza??
Ramli zimekuwa nyingi.Sijasema kwamba sijawaambia wakuu mpeni taarifa ya kwamba Mzee wa shelui njia panda ya shelui ajiandae mapemaaa kuachia nafasi ya maokotro waje wanaojua kuzitumikia hizo nafasi aisee
Ila sasa kosa kubwa litalofanyika ni kumuweka Mzee wa tarakea kwenye hii nafasi nafasi hili ni kosa kubwa mno aisee kwani hamna watu wengine wakuwekwa hapo zaidi ya huyo Mzee wa tarakea? Aisee haya bwana mie napita tu.