Mabadiliko makubwa yaja! Mzee wa Shelui jiandae

Mabadiliko makubwa yaja! Mzee wa Shelui jiandae

Mzee wa Shelui Sha Madyelu, wasalimie Kyegenge, Tyeme Mtoa, Gyumanga, Kisua, Tintigulu, Mukulu, Makunda, Old Kiomboi, Mtekente, Kidalu, Nkokilangi, Kibigili.
Na Sekenke umetusahau na watu wa Ndago je ??!
Uwe mbwane uwe leka nkani zasho 🤣😅
Uwe mbii katii, songera zigizigi ,,misigiri,usule,nzinziligi,motomoto,mbelekese,ulemo.👐
 
Myugai kwaso ku Ndago mayu? Alamukiye ku Kizaga, Mugongo, Kiselya, Songambele, Nguvumali, Kibaya
Izaa du!!!mbwilee
20240710_195953.jpg
 
Sijasema kwamba sijawaambia wakuu mpeni taarifa ya kwamba Mzee wa shelui njia panda ya shelui ajiandae mapemaaa kuachia nafasi ya maokotro waje wanaojua kuzitumikia hizo nafasi aisee

Ila sasa kosa kubwa litalofanyika ni kumuweka Mzee wa tarakea kwenye hii nafasi nafasi hili ni kosa kubwa mno aisee kwani hamna watu wengine wakuwekwa hapo zaidi ya huyo Mzee wa tarakea? Aisee haya bwana mie napita tu.
Akimwondoa na asipomwondoa itasaidia nini Kwa Taifa na wananchi?

Hizi dana dana zote ni kwa maslahi ya Chama na Familia zao tu.
We need system reform otherwise mtafukuzana kila siku.

Mwigulu na wengine wataonewa tu.
 
Prof Mkenda ni mchumi pia ni moja ya vichwa vya maana sana tulivyonavyo Bungeni. Akiwa pale atasaidia

Kwangu nilimtegemea zaidi Dr. Charles Kimei as masuala ya Fedha yanategemea sana rekodi ya utendaji ya mtu husika kwenye masuala ya Fedha.

Kimei alipoitoa Benki ya Kilimo hadi kuifanya CRDB ilivyo hadi anachukua Nsekela kwangu ndiye anastahili zaidi
Kaka nakuheshimu Sana ...na inawezekana namheshimu kimei Sana ...lakini naomba uweke records zako sawa...Kimei hakuwa founding CEO wa CRDB.... Kimei aliichukua kutoka Kwa mtu mwingine ikiwa tayari transformation imeshakamilika Hadi hisa zipo sokoni...Ni kwelii alifanya kazi kubwa hapo CRDB lakini wapo waliofanya kabla yake pia ....
 
Hiyo Wizara ya Maokoto ni Ngumu mno! Hata atakayekuja hataiweza.
Tunakosea Sana kuacha uchumi wote kuendeshwa na mtu mmoja...
Zamani tulikuwa na tume ya mipango...na waziri anaelekezwa na tume ya mipango....
Waziri wa fedha jukumu lake sio kuendesha wizara ...yeye anaendesha uchumi na anapaswa kuwa na watu zaidi ya 10 ambao ni official wasaidizi wake...ambao zamani walikuwa hao tume ya mipango
 
Kaka nakuheshimu Sana ...na inawezekana namheshimu kimei Sana ...lakini naomba uweke records zako sawa...Kimei hakuwa founding CEO wa CRDB.... Kimei aliichukua kutoka Kwa mtu mwingine ikiwa tayari transformation imeshakamilika Hadi hisa zipo sokoni...Ni kwelii alifanya kazi kubwa hapo CRDB lakini wapo waliofanya kabla yake pia ....
Kimei alichukua uCEO Toka kwa John Rubambe
 
Sijasema kwamba sijawaambia wakuu mpeni taarifa ya kwamba Mzee wa shelui njia panda ya shelui ajiandae mapemaaa kuachia nafasi ya maokotro waje wanaojua kuzitumikia hizo nafasi aisee

Ila sasa kosa kubwa litalofanyika ni kumuweka Mzee wa tarakea kwenye hii nafasi nafasi hili ni kosa kubwa mno aisee kwani hamna watu wengine wakuwekwa hapo zaidi ya huyo Mzee wa tarakea? Aisee haya bwana mie napita tu.
Hivi lakini cha ajabu kipi mbona mnazidi Uzandiki? Kazi za kisiasa si ndivyo zilivyo? Leo imo kesho haimo, ajabu kitu gani eti???
 
Sijasema kwamba sijawaambia wakuu mpeni taarifa ya kwamba Mzee wa shelui njia panda ya shelui ajiandae mapemaaa kuachia nafasi ya maokotro waje wanaojua kuzitumikia hizo nafasi aisee

Ila sasa kosa kubwa litalofanyika ni kumuweka Mzee wa tarakea kwenye hii nafasi nafasi hili ni kosa kubwa mno aisee kwani hamna watu wengine wakuwekwa hapo zaidi ya huyo Mzee wa tarakea? Aisee haya bwana mie napita tu.
Mtu mwingine si ndo huyo wa tarakea au.

Huna lolote wewe
 
Back
Top Bottom