Chakula Kibaya
JF-Expert Member
- Sep 19, 2022
- 689
- 1,562
Ikhanoda inavyotamkwa na wenyewe ni ihaanoda🤣🤣🤣duh bila kusahau ikhanoda.makiungu.ngamu.ilongero
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ikhanoda inavyotamkwa na wenyewe ni ihaanoda🤣🤣🤣duh bila kusahau ikhanoda.makiungu.ngamu.ilongero
True sisi wabara kwenye wizi na ukabila tumezidi, wazanzibar wana hofu sana na mungu na wengi hawana tamaa na pesa, hata ikitokea kutoelewana kwenye mambo ya pesa utasikia namuachia munguDuh.....hapo awekwe Mzanzibar
Watanganyika na Hazina ni Sawa Fisi na Bucha 🐼
That’s it 😅Ramli zimekuwa nyingi.
He is there to stay!
Mzee wa Shelui Sha Madyelu, wasalimie Kyegenge, Tyeme Mtoa, Gyumanga, Kisua, Tintigulu, Mukulu, Makunda, Old Kiomboi, Mtekente, Kidalu, Nkokilangi, Kibigili.
Uwe mbii katii, songera zigizigi ,,misigiri,usule,nzinziligi,motomoto,mbelekese,ulemo.👐Na Sekenke umetusahau na watu wa Ndago je ??!
Uwe mbwane uwe leka nkani zasho 🤣😅
Izaa du!!!mbwileeMyugai kwaso ku Ndago mayu? Alamukiye ku Kizaga, Mugongo, Kiselya, Songambele, Nguvumali, Kibaya
Wampe kimei au Saada Mkuya !Hata mzee wa Tarakea ni bonge la kimeo, kwani pale wizara ya wasomi amefanya kitu gani?
Uwe musungu uwe!Kono kwa apanga due mbwane, mbii kwaso?
Akimwondoa na asipomwondoa itasaidia nini Kwa Taifa na wananchi?Sijasema kwamba sijawaambia wakuu mpeni taarifa ya kwamba Mzee wa shelui njia panda ya shelui ajiandae mapemaaa kuachia nafasi ya maokotro waje wanaojua kuzitumikia hizo nafasi aisee
Ila sasa kosa kubwa litalofanyika ni kumuweka Mzee wa tarakea kwenye hii nafasi nafasi hili ni kosa kubwa mno aisee kwani hamna watu wengine wakuwekwa hapo zaidi ya huyo Mzee wa tarakea? Aisee haya bwana mie napita tu.
Badamu batachuruzikaaa... Eti hasirudi wapi? Ataishije??Dr. Mwigulu Nchemba mwigulu hawezi kuondolewa pale kwa namna yoyote. kama ni kuliwa kichwa ilitakiwa yeye awe ameondolewa kitambo sana. tumvumilie hadi 2025 atakapomaliza muda wake maana bungeni hatarudi tena
Kaka nakuheshimu Sana ...na inawezekana namheshimu kimei Sana ...lakini naomba uweke records zako sawa...Kimei hakuwa founding CEO wa CRDB.... Kimei aliichukua kutoka Kwa mtu mwingine ikiwa tayari transformation imeshakamilika Hadi hisa zipo sokoni...Ni kwelii alifanya kazi kubwa hapo CRDB lakini wapo waliofanya kabla yake pia ....Prof Mkenda ni mchumi pia ni moja ya vichwa vya maana sana tulivyonavyo Bungeni. Akiwa pale atasaidia
Kwangu nilimtegemea zaidi Dr. Charles Kimei as masuala ya Fedha yanategemea sana rekodi ya utendaji ya mtu husika kwenye masuala ya Fedha.
Kimei alipoitoa Benki ya Kilimo hadi kuifanya CRDB ilivyo hadi anachukua Nsekela kwangu ndiye anastahili zaidi
Tunakosea Sana kuacha uchumi wote kuendeshwa na mtu mmoja...Hiyo Wizara ya Maokoto ni Ngumu mno! Hata atakayekuja hataiweza.
Kimei alichukua uCEO Toka kwa John RubambeKaka nakuheshimu Sana ...na inawezekana namheshimu kimei Sana ...lakini naomba uweke records zako sawa...Kimei hakuwa founding CEO wa CRDB.... Kimei aliichukua kutoka Kwa mtu mwingine ikiwa tayari transformation imeshakamilika Hadi hisa zipo sokoni...Ni kwelii alifanya kazi kubwa hapo CRDB lakini wapo waliofanya kabla yake pia ....
Hivi lakini cha ajabu kipi mbona mnazidi Uzandiki? Kazi za kisiasa si ndivyo zilivyo? Leo imo kesho haimo, ajabu kitu gani eti???Sijasema kwamba sijawaambia wakuu mpeni taarifa ya kwamba Mzee wa shelui njia panda ya shelui ajiandae mapemaaa kuachia nafasi ya maokotro waje wanaojua kuzitumikia hizo nafasi aisee
Ila sasa kosa kubwa litalofanyika ni kumuweka Mzee wa tarakea kwenye hii nafasi nafasi hili ni kosa kubwa mno aisee kwani hamna watu wengine wakuwekwa hapo zaidi ya huyo Mzee wa tarakea? Aisee haya bwana mie napita tu.
Mtu mwingine si ndo huyo wa tarakea au.Sijasema kwamba sijawaambia wakuu mpeni taarifa ya kwamba Mzee wa shelui njia panda ya shelui ajiandae mapemaaa kuachia nafasi ya maokotro waje wanaojua kuzitumikia hizo nafasi aisee
Ila sasa kosa kubwa litalofanyika ni kumuweka Mzee wa tarakea kwenye hii nafasi nafasi hili ni kosa kubwa mno aisee kwani hamna watu wengine wakuwekwa hapo zaidi ya huyo Mzee wa tarakea? Aisee haya bwana mie napita tu.