maishapopote
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 3,408
- 6,094
Sherehe Rombo....!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu anafaa arudi Kizimkazi akalee wakujuu..katuletea walamba asali balaa.Samia anaonekana kukasirika ghafla, amegundua "uchura kiziwi" sio dili lazima asikilize ushauri anaopewa, la sivyo angezidi kupoteza imani kwa watanganyika.
Sepuka,mkunguakiendo,misughaa,gunnery,unyankindi,mitunduruni,mtinko,iglansoni,misinko..... kwako mwalimu Kashashaduh bila kusahau ikhanoda.makiungu.ngamu.ilongero
Huyo ni mchepuko wakeMbona unamlinda sana,umekula ajira,B.stars au kwenye ndege za ardhini?
ndicho alichokuwa akikisema mzee Trump, kwamba tunapaswa kutawaliwa upya. kumbe alikuwa sahihi.Hiyo wizara tukodisha Wazungu tuwape mkataba tu, na watendaji wote wawe Wazungu mpaka kule TRA.
Kujiuza?Kama anavyoishi Suphian Juma Nkuwi
NashangaaKwa uzuri gani wa mwigulu?
Msipomrudisha atarudi kwa viti maalum vya raisDr. Mwigulu Nchemba mwigulu hawezi kuondolewa pale kwa namna yoyote. kama ni kuliwa kichwa ilitakiwa yeye awe ameondolewa kitambo sana. tumvumilie hadi 2025 atakapomaliza muda wake maana bungeni hatarudi tena
Tarakea hoyee. Nasikia nchi haiwezi tulia bila hao watu bwana. Muulizeni Hayati Raisi Mwinyi.Sijasema kwamba sijawaambia wakuu mpeni taarifa ya kwamba Mzee wa shelui njia panda ya shelui ajiandae mapemaaa kuachia nafasi ya maokotro waje wanaojua kuzitumikia hizo nafasi aisee
Ila sasa kosa kubwa litalofanyika ni kumuweka Mzee wa tarakea kwenye hii nafasi nafasi hili ni kosa kubwa mno aisee kwani hamna watu wengine wakuwekwa hapo zaidi ya huyo Mzee wa tarakea? Aisee haya bwana mie napita tu.
wewe Umesema lakini. ila kama inalipa atafanya hivyoKujiuza?
Na akirudi kesho kutwa huenda akairudisha hiyo sera kwa baadhi ya waafrika.ndicho alichokuwa akikisema mzee Trump, kwamba tunapaswa kutawaliwa upya. kumbe alikuwa sahihi.
JESUS IS LORD&SAVIOR
waafrika hawajitambui bro. Binafsi, Mimi sio Mwafrika, bali Mwebrania.Na akirudi kesho kutwa huenda akairudisha hiyo sera kwa baadhi ya waafrika.
Bank siyo wizara dogo,Prof Mkenda ni mchumi pia ni moja ya vichwa vya maana sana tulivyonavyo Bungeni. Akiwa pale atasaidia
Kwangu nilimtegemea zaidi Dr. Charles Kimei as masuala ya Fedha yanategemea sana rekodi ya utendaji ya mtu husika kwenye masuala ya Fedha.
Kimei alipoitoa Benki ya Kilimo hadi kuifanya CRDB ilivyo hadi anachukua Nsekela kwangu ndiye anastahili zaidi
tutarudisha chetu, wala halisumbui hilo swala. Labda kama kaenda kuzificha kuzimuUkwasi aliojikusanyia unatosha vizazi hata vizazi