The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,282
- 117,244
Na hata Rubambe sio founding CEO...kama sikosei kuna mwingine kabla yakeKimei alichukua uCEO Toka kwa John Rubambe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hata Rubambe sio founding CEO...kama sikosei kuna mwingine kabla yakeKimei alichukua uCEO Toka kwa John Rubambe
Kimei ni mzinzi mno nje ya Ofisi hana Tabia nzuriKimei ni kimeo hakuna mtu mle pale CRDB alizunguka na vichwa sana kina DK Kalugendo
USSR
Wapewe wakominisitiHiyo wizara tukodisha Wazungu tuwape mkataba tu, na watendaji wote wawe Wazungu mpaka kule TRA.
Sisi tutafanya shereheeee!Hiyo sherehe unafanya ww? Au nan?
Kwahiyo mwigulu peke yake ndio mwenye Tanzania kwamba akitumbuliwa nchi haikaliki.?!Hata Mubarak na Al Bashir waliamini hivyo. Gadaffi alidiriki hata kuwaita "mende" wananchi wake.
Kwa uzuri gani wa mwigulu?.Huyu mama akimuondoa na Mwigulu basi hata fomu ya kugombea urais ndani ya ccm hatopewa. Afungashe tu kurudi Kizimkazi.
Acha mawazo ya kijinga.Huyu mama akimuondoa na Mwigulu basi hata fomu ya kugombea urais ndani ya ccm hatopewa. Afungashe tu kurudi Kizimkazi.
Kwa nini asirudi bungeni ?Dr. Mwigulu Nchemba mwigulu hawezi kuondolewa pale kwa namna yoyote. kama ni kuliwa kichwa ilitakiwa yeye awe ameondolewa kitambo sana. tumvumilie hadi 2025 atakapomaliza muda wake maana bungeni hatarudi tena
Elimu yake inatosha?Amepambana kwenye chama ,naunga mkono hoja.
Hivi kwanini vichwa vya kaskazi vinaogopwa sana?Sijasema kwamba sijawaambia wakuu mpeni taarifa ya kwamba Mzee wa shelui njia panda ya shelui ajiandae mapemaaa kuachia nafasi ya maokotro waje wanaojua kuzitumikia hizo nafasi aisee
Ila sasa kosa kubwa litalofanyika ni kumuweka Mzee wa tarakea kwenye hii nafasi nafasi hili ni kosa kubwa mno aisee kwani hamna watu wengine wakuwekwa hapo zaidi ya huyo Mzee wa tarakea? Aisee haya bwana mie napita tu.
Hivi kwanini vichwa vya kaskazi vinaogopwa sana?Sijasema kwamba sijawaambia wakuu mpeni taarifa ya kwamba Mzee wa shelui njia panda ya shelui ajiandae mapemaaa kuachia nafasi ya maokotro waje wanaojua kuzitumikia hizo nafasi aisee
Ila sasa kosa kubwa litalofanyika ni kumuweka Mzee wa tarakea kwenye hii nafasi nafasi hili ni kosa kubwa mno aisee kwani hamna watu wengine wakuwekwa hapo zaidi ya huyo Mzee wa tarakea? Aisee haya bwana mie napita tu.
Hivi kwanini vichwa vya kaskazi vinaogopwa sana?Sijasema kwamba sijawaambia wakuu mpeni taarifa ya kwamba Mzee wa shelui njia panda ya shelui ajiandae mapemaaa kuachia nafasi ya maokotro waje wanaojua kuzitumikia hizo nafasi aisee
Ila sasa kosa kubwa litalofanyika ni kumuweka Mzee wa tarakea kwenye hii nafasi nafasi hili ni kosa kubwa mno aisee kwani hamna watu wengine wakuwekwa hapo zaidi ya huyo Mzee wa tarakea? Aisee haya bwana mie napita tu.
Raisi ndio mwenye mamlaka ya kumvua ubingwa mtu yeyote yule aliye chini ya CCMWewe na huyo Mwigulu ndo mtajua nguvu ya Rais wa JMT na mwenyekiti wa CCM. Kwa katiba tuliyo nayo Rais ni baada ya Mungu.
Wakiweka mchaga ni shida taizo lao kuu ubinafsi, bora tujaribu upareni nakoHivi kwanini vichwa vya kaskazi vinaogopwa sana?
Mwizi wa mali za ummaMbona Mwigulu anachukiwa namna hii?
Sema kama vile walivyo covidi.Ramli zimekuwa nyingi.
He is there to stay!
Watu hawajui kuwa kaimu mkurugenzi wa CRDB kwa kipindi kirefu ilikuwa lazima atoke Denmark. Hawa ndio waliotoa fedha ya kuiokoa CRDB na wakawa na shares karibuni 30%. So walikuwa wanashiriki shughuli za kiutendaji za kila siku hadi pale waliporidhika na kuachia shares zao, na hiyo ilikuwa takribani zaidi ya miaka 10 baadaye.Kimei ni kimeo hakuna mtu mle pale CRDB alizunguka na vichwa sana kina DK Kalugendo
USSR
Ingekuwa ni uamuzi wake angerudi ila jimbo lake linawindwa sanaKwa nini asirudi bungeni ?
Kama anavyoishi Suphian Juma NkuwiBadamu batachuruzikaaa... Eti hasirudi wapi? Ataishije??
Walishapita hapo hadi akina MatakaNa hata Rubambe sio founding CEO...kama sikosei kuna mwingine kabla yake