Mabadiliko makubwa yaja! Mzee wa Shelui jiandae

Mabadiliko makubwa yaja! Mzee wa Shelui jiandae

Sijasema kwamba sijawaambia wakuu mpeni taarifa ya kwamba Mzee wa shelui njia panda ya shelui ajiandae mapemaaa kuachia nafasi ya maokotro waje wanaojua kuzitumikia hizo nafasi aisee

Ila sasa kosa kubwa litalofanyika ni kumuweka Mzee wa tarakea kwenye hii nafasi nafasi hili ni kosa kubwa mno aisee kwani hamna watu wengine wakuwekwa hapo zaidi ya huyo Mzee wa tarakea? Aisee haya bwana mie napita tu.
Hivi kwanini vichwa vya kaskazi vinaogopwa sana?
 
Sijasema kwamba sijawaambia wakuu mpeni taarifa ya kwamba Mzee wa shelui njia panda ya shelui ajiandae mapemaaa kuachia nafasi ya maokotro waje wanaojua kuzitumikia hizo nafasi aisee

Ila sasa kosa kubwa litalofanyika ni kumuweka Mzee wa tarakea kwenye hii nafasi nafasi hili ni kosa kubwa mno aisee kwani hamna watu wengine wakuwekwa hapo zaidi ya huyo Mzee wa tarakea? Aisee haya bwana mie napita tu.
Hivi kwanini vichwa vya kaskazi vinaogopwa sana?
 
Sijasema kwamba sijawaambia wakuu mpeni taarifa ya kwamba Mzee wa shelui njia panda ya shelui ajiandae mapemaaa kuachia nafasi ya maokotro waje wanaojua kuzitumikia hizo nafasi aisee

Ila sasa kosa kubwa litalofanyika ni kumuweka Mzee wa tarakea kwenye hii nafasi nafasi hili ni kosa kubwa mno aisee kwani hamna watu wengine wakuwekwa hapo zaidi ya huyo Mzee wa tarakea? Aisee haya bwana mie napita tu.
Hivi kwanini vichwa vya kaskazi vinaogopwa sana?
 
Kimei ni kimeo hakuna mtu mle pale CRDB alizunguka na vichwa sana kina DK Kalugendo

USSR
Watu hawajui kuwa kaimu mkurugenzi wa CRDB kwa kipindi kirefu ilikuwa lazima atoke Denmark. Hawa ndio waliotoa fedha ya kuiokoa CRDB na wakawa na shares karibuni 30%. So walikuwa wanashiriki shughuli za kiutendaji za kila siku hadi pale waliporidhika na kuachia shares zao, na hiyo ilikuwa takribani zaidi ya miaka 10 baadaye.
Huyo Dkt naye mpigaji tu, sema ni mbobevu sana kwenye sekta hiyo.
 
Back
Top Bottom