Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umpanga? mbwile mayooNa Sekenke umetusahau na watu wa Ndago je ??!
Uwe mbwane uwe leka nkani zasho
Jaribuni huo moto muone.Hata Mubarak na Al Bashir wakiamini hivyo. Gadaffi alidiriki hata kuwaita "mende" wananchi wake.
Rais wa TZ ambaye bado yuko madarakani usimjaribu.Iko vile !
Na wajue URAIS ni Taasisi sio Ntu mmoja !
Sijasema kwamba sijawaambia wakuu mpeni taarifa ya kwamba Mzee wa shelui njia panda ya shelui ajiandae mapemaaa kuachia nafasi ya maokotro waje wanaojua kuzitumikia hizo nafasi aisee
Ila sasa kosa kubwa litalofanyika ni kumuweka Mzee wa tarakea kwenye hii nafasi nafasi hili ni kosa kubwa mno aisee kwani hamna watu wengine wakuwekwa hapo zaidi ya huyo Mzee wa tarakea? Aisee haya bwana mie napita tu.
Aione KwA Maandalizi Ya Mwili Na Roho
🤣😂Lameki Madelu mzee wa maokoto....
Yaani leka ileka mayuu, hali nkaku, kumolaelye o madelu, ukilega kweli anga mbiiTyile ka nkani gyule wane, kudaula imilomo du nzala nkali
Mnaijuwa Tanzania kuwa ni Republic au mnajiongelea tu?.Huyu mama akimuondoa na Mwigulu basi hata fomu ya kugombea urais ndani ya ccm hatopewa. Afungashe tu kurudi Kizimkazi.
Amepambana kwenye chama ,naunga mkono hoja.Nafasi Apewe Lucas
Yule Jamaa Ni Mkia Wa Mbuzi Yaani Umeacha Eneo Muhimu WaziAmepambana kwenye chama ,naunga mkono hoja.
Kwani britanicca anasema???Sijasema kwamba sijawaambia wakuu mpeni taarifa ya kwamba Mzee wa shelui njia panda ya shelui ajiandae mapemaaa kuachia nafasi ya maokotro waje wanaojua kuzitumikia hizo nafasi aisee
Ila sasa kosa kubwa litalofanyika ni kumuweka Mzee wa tarakea kwenye hii nafasi nafasi hili ni kosa kubwa mno aisee kwani hamna watu wengine wakuwekwa hapo zaidi ya huyo Mzee wa tarakea? Aisee haya bwana mie napita tu.
Hao wote wakishaingizwa tu ccm weledi wote unaojua unaondokaProf Mkenda ni mchumi pia ni moja ya vichwa vya maana sana tulivyonavyo Bungeni. Akiwa pale atasaidia
Kwangu nilimtegemea zaidi Dr. Charles Kimei as masuala ya Fedha yanategemea sana rekodi ya utendaji ya mtu husika kwenye masuala ya Fedha.
Kimei alipoitoa Benki ya Kilimo hadi kuifanya CRDB ilivyo hadi anachukua Nsekela kwangu ndiye anastahili zaidi
Ukwasi aliojikusanyia unatosha vizazi hata vizaziAione KwA Maandalizi Ya Mwili Na Roho
AaahaaaaaaMzee wa Shelui Sha Madyelu, wasalimie Kyegenge, Tyeme Mtoa, Gyumanga, Kisua, Tintigulu, Mukulu, Makunda, Old Kiomboi, Mtekente, Kidalu, Nkokilangi, Kibigili.
Shida ni mawazo na utaalam huwa unasikilizwa na mwenye nchi? maana kama watendaji wazuri wengi sana walishakuwepo na wengi waliishia kuonekana vituko na mwisho na wao waliamua kufanya yao.Prof Mkenda ni mchumi pia ni moja ya vichwa vya maana sana tulivyonavyo Bungeni. Akiwa pale atasaidia
Kwangu nilimtegemea zaidi Dr. Charles Kimei as masuala ya Fedha yanategemea sana rekodi ya utendaji ya mtu husika kwenye masuala ya Fedha.
Kimei alipoitoa Benki ya Kilimo hadi kuifanya CRDB ilivyo hadi anachukua Nsekela kwangu ndiye anastahili zaidi