Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,916
- 43,505
Serikali imesema imefanya marekebisho ya kanuni kuhusu taasisi za dini hasa makanisa na misikiti amabyo yatalazimika kuomba usajili kila baada ya miaka mitano tofauti na ilivyokuwa zamani ambapo usajili wa taasisi hizi hasa dini na misikiti na vyama vingine vya kijamii hupewa usajili wa kudumu.
Serikali imesema kuwa inataka kuweka kanuni ambapo mapato na matumizi ya taasisi za dini yatakaguliwa.
Pia imesema kuwa kuna viongozi wa dini wana fanya kinyume na usajili wao na wengine wanatumia nyumba zao za ibada kufanya siasa.
Hivyo kila baada ya miaka mitano watatakiwa kuomba upya na kama watakuwa na vigezo ndio watapewa usajili na kibali cha kuendelea na taasisi zao au makanisa.
My take:
Gwajima , Bagonza na wenzao wajipange
Serikali imesema kuwa inataka kuweka kanuni ambapo mapato na matumizi ya taasisi za dini yatakaguliwa.
Pia imesema kuwa kuna viongozi wa dini wana fanya kinyume na usajili wao na wengine wanatumia nyumba zao za ibada kufanya siasa.
Hivyo kila baada ya miaka mitano watatakiwa kuomba upya na kama watakuwa na vigezo ndio watapewa usajili na kibali cha kuendelea na taasisi zao au makanisa.
My take:
Gwajima , Bagonza na wenzao wajipange