Mabadiliko: Taasisi za Kidini sasa Kusajiliwa kila baada ya Miaka 5 kwa Malipo ya Tsh 100,000

Mabadiliko: Taasisi za Kidini sasa Kusajiliwa kila baada ya Miaka 5 kwa Malipo ya Tsh 100,000

Ni Jambo jema maana pia waliokuwa hawajasajiliwa watakuwa ni wengi sana, pia viwango vya nyumba za ibada viwekwe siyo mchana ibada na usiku bar, mabango na utambulisho wa eneo uwe ni lazima.
Vita dhidi ya taasisi zinazomhusu Mungu ni kubwa kuliko ya ule upande pendwa wa ibilisi. Endeleeni na mapambano. Njia ile ni nyembamba iendayo uzimani !!!
 
Sekta hii imevamiwa na wapigaji...kazi kidogo mihela kibao
 
Ibada sio lazima ziwe na ratiba rasmi. Huwezi kuwapangia watu muda na namna ya kuwasiliana na Muumba wao.Ratiba ni za wanasiasa.
Ukiondoa Ibada za mikesha, tuseme mtumishi fulani kwenye kanisa fulani akiamua kuwa anaendesha Ibada zingine za ziada za usiku kuanzia saa mbili uisku na kuendelea, BRELA lazima watamfungia. Ni kwa sababu mtumishi huyu atakuwa anaendesha Ibada kinyume na utaratibu unaoruhusiwa kisheria na mamlaka zilizosajili taasisi yake.
Hapa sasa ndiyo inabidi ukae chini na kuona umuhimu wa kwa nini nyumba za Ibada huwa zina ratiba maalum.
Kwa upande mwingine kwa mfano, mamlaka za Bandari zinaruhusiwa kufanya kazi usiku na mchana kisheria, wakati Chuo Kikuu cha Ardhi, hawaruhuiswi kufanya hivyo. So here you can see the difference
 
Wewe tulia serikali ya Sasa hawaelewi taasisi za dini Ni kitu gani

Zimempiga Chini Edgar Lungu wa Zambia Tena taasisi ndogo tu alikumbatia taasisi kubwa hakujua taasisi ndogo Tena zisizosajiliwa Ni zipi na why? Handover hakufanyiwa vizuri .Kabwagwa.Moja ya vitu Raisi yeyote akishika madaraka anachotakiwa kufanyiwa handover Ni taasisi za dini .Kuelezwa kinaga ubaga who is who kasajiliwa au la and why? Yuko wapi why? Anahitaji verification or no etc .Tatizo taasisi za dini nyingi Ni secret society nyingine za na wengi huwa hawataki kufanya handover Kwa kiongozi mpya ndio kili mcost Lungu Zambia .

Anyway ushauri bure kwa serikali Mukiweza go slowly or keep silent Kuna issues huko ambazo may be handover haikufanyika vizuri sababu Magufuli alikufa bila kufanya handover .Na Ni Mara ya kwanza kwa Raisi aliyeko ofisini kufariki akiwa ofisini bila kufanya handover.Na handover hubadilika from president to president hili la taasisi za dini sidhani Kama Kuna mtu kamfanyia handover mama Samia!!!!

Mama Samia ukiweza Mambo ya taasisi za dini ukiweza keep silent kausha jifanye Kama huoni vile !!! Labda uwe ugaidi na una ushahidi sio tu kelele!!!

Issues nyingi huko President hatakiwi kuomba ushauri chini sababu wengi wako ignorant hawajui chochote .

Kuna Mambo president only ndio anakuwa anajua in and out za taasisi za dini na kufanyiwa handover it takes very long time . President mwingine aweza ondoka madarakani bila kufanyiwa hand over sababu hawajamwamini
 
Back
Top Bottom