Mabadiliko TRA: Kamishna wa Forodha Mtanganyika Said Athuman Kiondo aondolewa awekwa Juma Bakari Hassan kutoka Zanzibar

Hakuwaza kuna Kizazi kitakuja kuhoji .
Ametukosea sana, huko aliko atuombe msamaha.

Huku zenji mara hii wameamua kuitafuna Tanganyika, yaani barabara mpya inavunjwa inajengwa tena.
 
😆😆😆😆
 
Njaa tu itawaua kule hakuna kitu. Mishahara ya watumishi wa Zanzibar inaashiria hivyo
Sasa imekuwa ni njaa na sio kubaguliwa Watanganyika kwenye ajira? Nimesema tukinyamaza sio kwamba hatuwezi kusema ni ustaarabu tu tulionao. Usimpe bubu kusema.

Sasa semeni tuvunje muungano kwasababu Watanganyika hawaajiriwi Zanzibar, Watanganyika hawapati ardhi na mingine ili tukuonesheni uongo wenu.

Mukitaka kuvunja muungano vunjeni tu musilete visingizio.
 
Watanganyika mna wanyanyasa Sana wazanzibari..
 
Na hapa ndipo tunaona umuhimu wa katiba mpya kumaliza kila upumbavu unaoanzishwa na wana ccm hapa bara.
 
Ndiyo kusema Zanzibar ni nchi huru, lakini Tanganyika ipo kwenye mabano hiv

Ndiyo kusema Zanzibar ni nchi huru, lakini Tanganyika ipo kwenye mabano hivi!!!
Kwenye Ramani ya Dunia hakuna nchi inaitwa Tanganyika.
Hakuna rais wa Tanganyika, bunge la Tanganyika, mahakama ya Tanganyika Wala jeshi la Tanganyika.
Hivyo vyote vilikuwa vya Tanganyika kabla ya muungano baada ya muungano Tanganyika na kila ilichokuwa nacho vilizikwa kwa ajili ya maslahi ya muungano.
Nyerere alosema 1 + 1 = 2 na jibi haliwezi kuwa 3.
 
Haya mambo Samia na dk Mwinyi wameyakuta. Wakati muungano unasainiwa kipindi hicho wao walikuwa watoto wadogo wakisoma shule ya msingi au pengine secondari.
Kama Kuna lawama katika kadhia ya muungano wakulaumiwa ni Nyerere na Karume na Siyo Samia na Dk Mwinyi.
Kinachofanyika sasa ndicho ambacho Nyerere na Karume walikubaliana kwamba mambo ya muungano ni ya watanzania wote na Yale ambayo siyo ya muungano ni ya wazanzibari.
 
Haya mambo Samia na dk Mwanyi wameyakuta. Wakati muungano unasainiwa kipindi hicho wao walikuwa watoto wakisoma shuke ya msingi au pengine secondari.
Kama Kuna lawama katika kadhia ya muungano wakulaumiwa ni Nyerere na Karume na Siyo Samia na Dk Mwinyi.
Kinachofanyika sasa ndicho ambacho Nyerere na Karume walikubaliana kwamba mambo ya muungano ni ya watanzania wote na Yale ambayo siyo ya muungano ni ya wazanzibari
 
Hapo ndipo penye mjadara sasa and not otherwise.
 
Ilikuwepo kwenye ramani ya mwaka 1963. Tunataka iwepo kwenye ramani ya sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…