Mabadiliko TRA: Kamishna wa Forodha Mtanganyika Said Athuman Kiondo aondolewa awekwa Juma Bakari Hassan kutoka Zanzibar

Mabadiliko TRA: Kamishna wa Forodha Mtanganyika Said Athuman Kiondo aondolewa awekwa Juma Bakari Hassan kutoka Zanzibar

Washauri wa Rais wameshindwa kujua Bandari na TRA ambazo ndio roho za Tanganyika hazipo kwenye Muungano au ni amri kutoka juu kwa ajili ya ujio wa DPW

ZPA - ZANZIBAR PORT AUTHORITY

TPA - TANZANIA PORT AUTHORITY

ZRA- ZANZIBAR REVENUE AUTHORITY

TRA - TANZANIA REVENUE AUTHORITY
===

Kamishna wa forodha Said Athuman Kiondo, ameondolewa nafasi yake na kuchukuliwa na Juma Bakari Hassan.

Kamishna Juma Bakari ndiye atahusika na ushuru wa Forodha TRA (customs) ndani ya ofisi ya meneja wa Bandari.

Idara ya Ushuru na Forodha inasimamia kodi zote zinazohusu biashara ya kimataifa. Kodi hizo ni pamoja na Kodi ya Uingizaji Bidhaa, Ushuru na Kodi ya Ongezeko la Thamani kwa bidhaa ziingizwazo nchini. Kodi ya uingizaji bidhaa ni kodi inayotozwa kwa bidhaa zinazoingizwa nchini.
Mkuu, habari za siku,

Hii hoja yako yakuondolewa mtanganyika nakuwekwa mzanzibar, serimali ya mapinduzi zanzibar wameijibu leo kibabe, yule Bwana Kamishna Saidi Athuman, sasa ameenda kuwa Kamishna Mkuu wa ZRA.

Kwa nchi zetu hizi mbili kwa maana ya zanzibar na bara inabidi tujingatie sana sana uwezo wa watu pia, wenzetu Zanzibar wameangalia professionalism zaidi ili mambo yaweze kwenda.

Mwanzo CG za ZRA aliuwa Yusuph Mwenda (kutoka Bara), leo tena wamemteua Saidi Athuman kutoka bara,hizi hoja za kibaguzi inabidi zipungue kidogo.

Kama hii nchi mzanzibar anaruhisiwa kuwa Rais wa Muungano, then unakataza mznz hasiwe Kamishna, na hii ni position ndogo sana kimaamuzi, naona haina maana kabisa.
 
Washauri wa Rais wameshindwa kujua Bandari na TRA ambazo ndio roho za Tanganyika hazipo kwenye Muungano au ni amri kutoka juu kwa ajili ya ujio wa DPW

ZPA - ZANZIBAR PORT AUTHORITY

TPA - TANZANIA PORT AUTHORITY

ZRA- ZANZIBAR REVENUE AUTHORITY

TRA - TANZANIA REVENUE AUTHORITY
===

Kamishna wa forodha Said Athuman Kiondo, ameondolewa nafasi yake na kuchukuliwa na Juma Bakari Hassan.

Kamishna Juma Bakari ndiye atahusika na ushuru wa Forodha TRA (customs) ndani ya ofisi ya meneja wa Bandari.

Idara ya Ushuru na Forodha inasimamia kodi zote zinazohusu biashara ya kimataifa. Kodi hizo ni pamoja na Kodi ya Uingizaji Bidhaa, Ushuru na Kodi ya Ongezeko la Thamani kwa bidhaa ziingizwazo nchini. Kodi ya uingizaji bidhaa ni kodi inayotozwa kwa bidhaa zinazoingizwa nchini.
Kuelekea uchaguzi mkuu tutayasikiq mengi sana haya....
 
Mkuu, habari za siku,

Hii hoja yako yakuondolewa mtanganyika nakuwekwa mzanzibar, serimali ya mapinduzi zanzibar wameijibu leo kibabe, yule Bwana Kamishna Saidi Athuman, sasa ameenda kuwa Kamishna Mkuu wa ZRA.

Kwa nchi zetu hizi mbili kwa maana ya zanzibar na bara inabidi tujingatie sana sana uwezo wa watu pia, wenzetu Zanzibar wameangalia professionalism zaidi ili mambo yaweze kwenda.

Mwanzo CG za ZRA aliuwa Yusuph Mwenda (kutoka Bara), leo tena wamemteua Saidi Athuman kutoka bara,hizi hoja za kibaguzi inabidi zipungue kidogo.

Kama hii nchi mzanzibar anaruhisiwa kuwa Rais wa Muungano, then unakataza mznz hasiwe Kamishna, na hii ni position ndogo sana kimaamuzi, naona haina maana kabisa.
Kwa hiyo alipisha kidogo ishu ya DP ianze kazi au ni utaratibu wa kawaida tu wa sirikali?
 
imefika wakati tufungue kesi za kuwaondoa Hawa wazanzibar kwenye nafasi wanazopewa ambazo SI za Muungano kama yule Shaka ameteuliwa kuwa mkuu wa wilaya. Hawa watu wamezoea Chao Chao Chao kwetu ni Cha wote.
Hili ndilo tunajaribu kuwaelewesha wasanii bodaboda walimu na vijana walio wengi..kuishabikia sisiem ni kuua uhalisia wenu huku bara.

Wanawapa vijisenti vya siku mbili tatu mko tayari kuuza utu wenu na mababu zenu.

Mnaporwa urithi wenu kwa vijisenti? Laiti mngelijua yajayo mbele yenu karibu mtaitwa wakimbizi kwenye ardhi yenu.

Wake up and smell the….
 
Mkuu, habari za siku,

Hii hoja yako yakuondolewa mtanganyika nakuwekwa mzanzibar, serimali ya mapinduzi zanzibar wameijibu leo kibabe, yule Bwana Kamishna Saidi Athuman, sasa ameenda kuwa Kamishna Mkuu wa ZRA.

Kwa nchi zetu hizi mbili kwa maana ya zanzibar na bara inabidi tujingatie sana sana uwezo wa watu pia, wenzetu Zanzibar wameangalia professionalism zaidi ili mambo yaweze kwenda.

Mwanzo CG za ZRA aliuwa Yusuph Mwenda (kutoka Bara), leo tena wamemteua Saidi Athuman kutoka bara,hizi hoja za kibaguzi inabidi zipungue kidogo.

Kama hii nchi mzanzibar anaruhisiwa kuwa Rais wa Muungano, then unakataza mznz hasiwe Kamishna, na hii ni position ndogo sana kimaamuzi, naona haina maana kabisa.
Kiongozi
Nikusahihishe kidogo, Hakuna Nchi inaitwa bara
Kuna nchi ya Tanganyika na Zanzibar
 
Washauri wa Rais wameshindwa kujua Bandari na TRA ambazo ndio roho za Tanganyika hazipo kwenye Muungano au ni amri kutoka juu kwa ajili ya ujio wa DPW

ZPA - ZANZIBAR PORT AUTHORITY

TPA - TANZANIA PORT AUTHORITY

ZRA- ZANZIBAR REVENUE AUTHORITY

TRA - TANZANIA REVENUE AUTHORITY
===

Kamishna wa forodha Said Athuman Kiondo, ameondolewa nafasi yake na kuchukuliwa na Juma Bakari Hassan.

Kamishna Juma Bakari ndiye atahusika na ushuru wa Forodha TRA (customs) ndani ya ofisi ya meneja wa Bandari.

Idara ya Ushuru na Forodha inasimamia kodi zote zinazohusu biashara ya kimataifa. Kodi hizo ni pamoja na Kodi ya Uingizaji Bidhaa, Ushuru na Kodi ya Ongezeko la Thamani kwa bidhaa ziingizwazo nchini. Kodi ya uingizaji bidhaa ni kodi inayotozwa kwa bidhaa zinazoingizwa nchini.
2 years later....
 
Back
Top Bottom