Tetesi: Mabadiliko/Uhamisho wa baadhi ya Wakuu wa Mikoa Yaja

Tetesi: Mabadiliko/Uhamisho wa baadhi ya Wakuu wa Mikoa Yaja

Huyu rais hapendi kuwa pre emptied akisoma uzi wako hata kama alikuwa na hiyo nia anaacha...hataki mitandao imuendeshe[emoji23][emoji23]
Spot on [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]. Ila atakuwa ametibuliwa kinoma. Humo ikulu hapatakalika. Wataminywa hadi waseme nani kavujisha hii taarifa.
 
Hee kumbe wewe ndio rais. Nilidhani ni Magufuli. Naona umeshawahamisha tayari
 
Natamani yule bwana Wa atapatikana kabla ya jpili ahamishiwe kibiti pwani...
 
Ungeishia kusema mabadiliko bila kutaja taja Vitu na nani anaenda wapi ungeeleweka. Umeharibu ulipojifanya kuanza kuwapanga na maeneo yao wanakokwenda. Hii tayari ni uongo. Kati ya uliowataja naamini magufuli hayupo tayari kuendelea nao kwani anawajua ni wala rushwa wasio na tija kwenye serikali yake.

Time will tell.
 
Mwanza hata kama akiharibu aibu ya mtawala kwa wazazi na Wakwe. Maana ndio mshauri wake piaa na ni Mzee wake wa nyumbani....awamu hii ni yao atamvumilia tuuu!!!! Wa Mwanza hawezi kutolewa!!!!!!!!! Usione yupo yupo tu kwa maslahi mapana sanaa.....!!!
Umemsahau wa Mwanza ataondoka au??
 
Ukishasema ndio kabisaa hata kama alikua mpango hafanyi tena
 
Huyu rais hapendi kuwa pre emptied akisoma uzi wako hata kama alikuwa na hiyo nia anaacha...hataki mitandao imuendeshe[emoji23][emoji23]
Utajuaje mkuu,labda mleta uzi ni msiri wa Bashite na kafanya makusudi kuvujisha hii tetesi kum-pre-empty Ngosha ili aendelee 'kuchapa kazi' .
Mtu ambaye anaweza watumia walinzi wa rais kwa shughuli binafsi kupata siri ya nini rais anataka kufanya ni rahisi sana,so obvious jamaa ana watu wake ambao wanampa ratiba na mipango ya rais kabla ili kama mipango hiyo ina madhara kwake ana strike/strategies mapema.
 
Kila mtu anafikilia maslahi yake tu,muacheni rais apige kazi,hizo safu mnazopanga yeye wala hafikirii hivyo
 
Jamani Bashite sio wa kuhamishiwa Mkoa mwingine..

Huyu ni Criminal/Mhalifu wa jinai..

Na makosa yake yapo wazi kabisa kama yalivyoainishwa na Meya Jacob kwenye Mashtaka aliyoyapeleka Tume ya Maadili..

Huyu kama ataondolewa ni immediately anawekwa lock up, hati ya Mashtaka inaandaliwa kesi inaanza mara moja..
Final End ya Bashite kabla ya kufa atakuwa Jela.
makonda akihama Dar msije humu kulalamikia Panya Road na uvamizi wa maeneo ya wazi mnyamaze kabisa.
 
Jamani jana nimeshuhudia mwenyewe ,Bashite analindwa kuliko hata mawaziri.Nilimkuta mahali jana kwenye maduka ya GSM jamani ndani tu ya duka kulikuwa na walinzi vijana wamavaa kiraia kama wawil mmoja alivaa shati ya strips.Chini kwenye parking niliona kama watatu na mmoja alivaa red karibu na walipopaki landcruser nyeusi aliyokuja nayo.Mengine siendelei nikajiuliza hivi wakuu wengine wa mikoa wanaulinzi kama huu! Jamani nisiendelee kwani naweza kupotezwa na mimi sina hata ulinzi jamani mimi nina Mungu tu.
 
Utajuaje mkuu,labda mleta uzi ni msiri wa Bashite na kafanya makusudi kuvujisha hii tetesi kum-pre-empty Ngosha ili aendelee 'kuchapa kazi' .
Mtu ambaye anaweza watumia walinzi wa rais kwa shughuli binafsi kupata siri ya nini rais anataka kufanya ni rahisi sana,so obvious jamaa ana watu wake ambao wanampa ratiba na mipango ya rais kabla ili kama mipango hiyo ina madhara kwake ana strike/strategies mapema.
Most likely
 
Wana Jamvi, mabadiliko na uahamisho wa baadhi wa wakuu wa mikoa yamo mbioni. Hii inatokana na kile Paskali anachokiita TREND READING. Kuna shinikizo kubwa la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam kutoka Jiji hilo.Kuna ripoti inasubiriwa ya Kamati ya maadili ya Bunge na kesi ilofunguliwa dhidi yake. Kuna uwezekano AKAHAMISHIWA Simiyu. Dar es Salaam atakuja Mkuu wa sasa wa Arusha, wa Tanga akaenda Arusha, wa Simiyu akaenda Tanga. Katika zoezi hili Mkuu wa Mkoa wa Njombe ATAONDOKA, wa Singida ATARUDI Njombe. Mkuu wa wilaya Iringa atapanda na kuwa RC Singida...
Haya mabadiriko mmeyafanya nyinyi.....mkulu anayajua?
 
Jamani jana nimeshuhudia mwenyewe ,Bashite analindwa kuliko hata mawaziri.Nilimkuta mahali jana kwenye maduka ya GSM jamani ndani tu ya duka kulikuwa na walinzi vijana wamavaa kiraia kama wawil mmoja alivaa shati ya strips.Chini kwenye parking niliona kama watatu na mmoja alivaa red karibu na walipopaki landcruser nyeusi aliyokuja nayo.Mengine siendelei nikajiuliza hivi wakuu wengine wa mikoa wanaulinzi kama huu! Jamani nisiendelee kwani naweza kupotezwa na mimi sina hata ulinzi jamani mimi nina Mungu tu.
Huyu si alipambana na wauza unga......
 
Back
Top Bottom