Tetesi: Mabadiliko/Uhamisho wa baadhi ya Wakuu wa Mikoa Yaja

Tetesi: Mabadiliko/Uhamisho wa baadhi ya Wakuu wa Mikoa Yaja

Serikali haiendeshwi kwa ndoto za mchana kama yako.
 
Jamani jana nimeshuhudia mwenyewe ,Bashite analindwa kuliko hata mawaziri.Nilimkuta mahali jana kwenye maduka ya GSM jamani ndani tu ya duka kulikuwa na walinzi vijana wamavaa kiraia kama wawil mmoja alivaa shati ya strips.Chini kwenye parking niliona kama watatu na mmoja alivaa red karibu na walipopaki landcruser nyeusi aliyokuja nayo.Mengine siendelei nikajiuliza hivi wakuu wengine wa mikoa wanaulinzi kama huu! Jamani nisiendelee kwani naweza kupotezwa na mimi sina hata ulinzi jamani mimi nina Mungu tu.
Hapo GSM nasikia huwa anabeba vitu tu wala halipi.
 
Kuendelea kumkumbatia badhite ni kuidhalilisha ofisi ya rais. Mtu ana tuhuma kwanini asiwekwe kando kupisha uchunguzi?
 
Nimeguswa sana na maono yako. Nasubiri pale Mh Rais atakapofanya mabadiliko nione kama kutakuwa na 100 % mapping! Tunamuomba Mwenyezi Mungu atupe uhai tuone!!
Forget it....
 
Wana Jamvi, mabadiliko na uahamisho wa baadhi wa wakuu wa mikoa yamo mbioni. Hii inatokana na kile Paskali anachokiita TREND READING. Kuna shinikizo kubwa la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam kutoka Jiji hilo.Kuna ripoti inasubiriwa ya Kamati ya maadili ya Bunge na kesi ilofunguliwa dhidi yake. Kuna uwezekano AKAHAMISHIWA Simiyu. Dar es Salaam atakuja Mkuu wa sasa wa Arusha, wa Tanga akaenda Arusha, wa Simiyu akaenda Tanga. Katika zoezi hili Mkuu wa Mkoa wa Njombe ATAONDOKA, wa Singida ATARUDI Njombe. Mkuu wa wilaya Iringa atapanda na kuwa RC Singida...
Wewe ndio umewaharibia wenzako hata kama kweli ilitakiwa kuwa hivyo
 
Huyo jamaa hahami katika mji wenu..... abaki huko huko...... huku tupo na yetu hatumuhitaji hata kidogo.
 
Huyu rais hapendi kuwa pre emptied akisoma uzi wako hata kama alikuwa na hiyo nia anaacha...hataki mitandao imuendeshe[emoji23][emoji23]
Isije kuwa kuna watu wamejipanga kum preempty ili wasiguswe. Si wameshamsoma
 
ok,ukipelekwa simiyu ujue unakaribia kutumbuliwa,Magesa mulongo alienda kutumbuliwa kwao Musoma.
 
Mleta uzi,mbona yaonekana kama Mkuu wa mkoa wa Dar anakunyima usingizi?Unamuota mchana na usiku,akihamishiwa mikoa mingine bado ni mkuu wa mkoa.
Angalia usije pasua ubongo wako ukageuka chizi kisa Makondai.
Mamlaka iliyomweka ndio inaweza kumhamisha au kumpangia kazi nyingine hata kumtumbua.
 
Jiji kama Dar linahitaji mtu mwenye busara na hekima.
Gambo nae hana tofauti sana na huyo Bashite.
Kwa mtazamo wangu Meck, ambaye sasa yuko Kilimanjaro, Bendera, au Dc aliyeko Babati wana hekima na busara za kuliongoza jiji
Bashite alitakiwa awe magereza na sio wa kupangiwa kituo kingine cha kazi.
 
Back
Top Bottom