Getang'wan
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 3,076
- 3,416
Spot on [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]. Ila atakuwa ametibuliwa kinoma. Humo ikulu hapatakalika. Wataminywa hadi waseme nani kavujisha hii taarifa.Huyu rais hapendi kuwa pre emptied akisoma uzi wako hata kama alikuwa na hiyo nia anaacha...hataki mitandao imuendeshe[emoji23][emoji23]
Naam. Iringa Manispaa na Iringa DC Mkuu ni yule yule kama ilivyo kwenye miji yote...Iringa mjini?
Umemsahau wa Mwanza ataondoka au??
Utajuaje mkuu,labda mleta uzi ni msiri wa Bashite na kafanya makusudi kuvujisha hii tetesi kum-pre-empty Ngosha ili aendelee 'kuchapa kazi' .Huyu rais hapendi kuwa pre emptied akisoma uzi wako hata kama alikuwa na hiyo nia anaacha...hataki mitandao imuendeshe[emoji23][emoji23]
makonda akihama Dar msije humu kulalamikia Panya Road na uvamizi wa maeneo ya wazi mnyamaze kabisa.Jamani Bashite sio wa kuhamishiwa Mkoa mwingine..
Huyu ni Criminal/Mhalifu wa jinai..
Na makosa yake yapo wazi kabisa kama yalivyoainishwa na Meya Jacob kwenye Mashtaka aliyoyapeleka Tume ya Maadili..
Huyu kama ataondolewa ni immediately anawekwa lock up, hati ya Mashtaka inaandaliwa kesi inaanza mara moja..
Final End ya Bashite kabla ya kufa atakuwa Jela.
Most likelyUtajuaje mkuu,labda mleta uzi ni msiri wa Bashite na kafanya makusudi kuvujisha hii tetesi kum-pre-empty Ngosha ili aendelee 'kuchapa kazi' .
Mtu ambaye anaweza watumia walinzi wa rais kwa shughuli binafsi kupata siri ya nini rais anataka kufanya ni rahisi sana,so obvious jamaa ana watu wake ambao wanampa ratiba na mipango ya rais kabla ili kama mipango hiyo ina madhara kwake ana strike/strategies mapema.
Haya mabadiriko mmeyafanya nyinyi.....mkulu anayajua?Wana Jamvi, mabadiliko na uahamisho wa baadhi wa wakuu wa mikoa yamo mbioni. Hii inatokana na kile Paskali anachokiita TREND READING. Kuna shinikizo kubwa la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam kutoka Jiji hilo.Kuna ripoti inasubiriwa ya Kamati ya maadili ya Bunge na kesi ilofunguliwa dhidi yake. Kuna uwezekano AKAHAMISHIWA Simiyu. Dar es Salaam atakuja Mkuu wa sasa wa Arusha, wa Tanga akaenda Arusha, wa Simiyu akaenda Tanga. Katika zoezi hili Mkuu wa Mkoa wa Njombe ATAONDOKA, wa Singida ATARUDI Njombe. Mkuu wa wilaya Iringa atapanda na kuwa RC Singida...
Huyu si alipambana na wauza unga......Jamani jana nimeshuhudia mwenyewe ,Bashite analindwa kuliko hata mawaziri.Nilimkuta mahali jana kwenye maduka ya GSM jamani ndani tu ya duka kulikuwa na walinzi vijana wamavaa kiraia kama wawil mmoja alivaa shati ya strips.Chini kwenye parking niliona kama watatu na mmoja alivaa red karibu na walipopaki landcruser nyeusi aliyokuja nayo.Mengine siendelei nikajiuliza hivi wakuu wengine wa mikoa wanaulinzi kama huu! Jamani nisiendelee kwani naweza kupotezwa na mimi sina hata ulinzi jamani mimi nina Mungu tu.