Tetesi: Mabadiliko/Uhamisho wa baadhi ya Wakuu wa Mikoa Yaja

Raisi afanye mabadiliko tu maana kuna ma RC weshakuwa wazee zaidi ya miaka 65 wapumzike waingie vijana. Wapo wengine wana kashfa za kula hela ya korosho kupitia shemeji zao na kudai korosho ya mamilioni imeibwa japo pesa imeingia kwenye account za shemeji yake. Nasikia huyu anaroga sana mkulu hamuwezi.
 
Makonda ni mchapa kazi big up dogo mengi umeyaweka sawa hapa jijini. Umepunguza speed ya uhalifu, miradi mikubwa ya maendeleo inaonekana. Fanya kazi vyeti baadaye. Hata bungeni tuna maprofesa wasio na vyeti. Elimu yako ya kuzaliwa na kupanuka ukiwa mtu mzima inakusaidia kuongoza. Raisi wa Kongo siyo msomi wa hivyo. Raisi wa Koea kaskazini si mtaalam wa mabom lakini anayo ya kuogofya dunia. Trump ni mfanyabiashara anaongoza wasomi na wataalam lukuki. Big up dogo. Inafaa hata uwe waziri wa mambo ya ndani nchi ikae sawa si Dar pekee.
 
Asante kwa ramli.
Makonda hawezi kutoka DAR kwa sasa kama wauza unga mnavyotamani,labda baadae sana
 
Leaking of appointments has been a strategy to preempt the same...is this it.? Ila kishasema haambiwi
 
Mimi nimesoma uzi wako nikakumbuka kwamba mkuu hapendagi kutabiriwa, sasa sjui itakuwa???
 
Kama Bashite bado yumo kwenye list basi hizi ni porojo tu. Haiwezekani akaendelea kudhalilisha taasisi ya urais.
 
Simiyu ndo wanamstahili Bashite?
Bashite hafai kuwa hata katibu kata!
 
Bashite ni jambazi na amejikita Dar. Amemloga mpaka Mkulu amemteka ufahamu haoni wala hasikii
 

Anatomy ya utabiri wako ni too adulterated to be reliable. There is no trend to read here.
 
shukran kwa ttes
 
Lakini pale kwenye uzinduzi wa mabweni ya wanafunzi alisema yeye ateui vilaza,sijui ulimwelewa?
 
Ashasema hapangiwi tena ikiandikwa hivi tayari anasema sahau hafundishwi kazi
 
Rais wetu hapagiwi. Kwa vile unampangia, hata kama alikuwa na wazo hilo ataahirisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…