Mabadiliko ya Baraza la Mawaziri yafanyike au Baraza livunjwe ateuliwe Waziri Mkuu mpya?

Baada ya jaribio kubwa la kumtoa MP kupitia AJALI ya ndege kufail 2022.

Maja is there to stay.

Hatukufanya uchaguzi kuchagua Rais Wala wabunge, hivyo hii Si Serikali mpya kama tunavyoaminishwa.

Twende tukiwa wamoja Hadi 2025.

Aamen.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…