R Rabbon JF-Expert Member Joined Apr 16, 2022 Posts 21,625 Reaction score 33,688 Jan 27, 2023 #21 Mshana Jr said: View attachment 2494676 Click to expand... Huyu jamaa ana asili ya wagogo.
R Rabbon JF-Expert Member Joined Apr 16, 2022 Posts 21,625 Reaction score 33,688 Jan 27, 2023 #22 Baada ya jaribio kubwa la kumtoa MP kupitia AJALI ya ndege kufail 2022. Maja is there to stay. Hatukufanya uchaguzi kuchagua Rais Wala wabunge, hivyo hii Si Serikali mpya kama tunavyoaminishwa. Twende tukiwa wamoja Hadi 2025. Aamen.
Baada ya jaribio kubwa la kumtoa MP kupitia AJALI ya ndege kufail 2022. Maja is there to stay. Hatukufanya uchaguzi kuchagua Rais Wala wabunge, hivyo hii Si Serikali mpya kama tunavyoaminishwa. Twende tukiwa wamoja Hadi 2025. Aamen.
S Sexless JF-Expert Member Joined Mar 11, 2017 Posts 23,683 Reaction score 55,898 Jan 27, 2023 #23 Acheni chuki zisizo na kichwa wala miguu. Shida za Kassimu Majaliwa ni shida za ccm.
TUJITEGEMEE JF-Expert Member Joined Nov 6, 2010 Posts 25,225 Reaction score 25,488 Jan 27, 2023 #24 Resilience said: NI upi mtizamo wako juu ya kumwondoa PM? Click to expand... Ule mpango wenu wa kumbambikia basi la timu umekwama?
Resilience said: NI upi mtizamo wako juu ya kumwondoa PM? Click to expand... Ule mpango wenu wa kumbambikia basi la timu umekwama?
TUJITEGEMEE JF-Expert Member Joined Nov 6, 2010 Posts 25,225 Reaction score 25,488 Jan 27, 2023 #25 Pascal Mayalla said: Hizi pia ni ramli chonganishi, nani kakudanganya PM anaondolewa?, PM Kasim Majaliwa Majaliwa is there to stay hadi amalize his full term. Waziri Mkuu ajae ni kutoka kanda ya Ziwa!. P Click to expand... For future reference
Pascal Mayalla said: Hizi pia ni ramli chonganishi, nani kakudanganya PM anaondolewa?, PM Kasim Majaliwa Majaliwa is there to stay hadi amalize his full term. Waziri Mkuu ajae ni kutoka kanda ya Ziwa!. P Click to expand... For future reference