AnyWayZ
JF-Expert Member
- May 30, 2022
- 4,880
- 8,424
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afadhali tumepata tume huru,mwaka huu tuwagalagaze chadema hadi wawehuke
Safi kabisa,susa hivyohivyo.endelea tu kupigania chama chako hapa jukwaaniTatizo kubwa la ccm na watu wake ni kufikiri Watanzania wote ni wajinga na hawana akili. Jambo ambalo siyo sahihi hata kidogo.
Unaiita tume huru halafu wasimamizi na watangaza matokeo ni makada wa chama tawala! Unaiita tume huru, halafu viongozi wote wa hiyo tume wanateuliwa na mwenyekiti wa chama tawala!!
Sitokuja kupoteza muda wangu hata siku moja kushiriki kwenye hayo maigizo yenu.
Pongezi kwa serikali yetu sikivu, mimi ni miongoni mwa tuliotoa maoni kuhusu sheria hii na nilipendekeza jina liwe Tume Huru na Shirikishi ya Uchaguzi.