Mabadiliko ya Kanuni za Mpira wa Miguu kwa Msimu wa 2019/2020

True football inapotea taratibu Hawa viongoz WA Sasa wanachojua n kurekebisha kanuni na kuongeza kanuni na kuongeza technology yao nying kwenye Mpira Sasa Kulikuwa kuna haja gan Ya kubadilika Mbona wanapoteza ladha ya Mpira wa Miguu
 
Ningekuwapo ktk hiko kikao ningependekeza No Substitution During injury time...hakuna kubadilisha mchezaji wakati ule wa muda wa nyongeza wa majeruhi.

Pia ningependekeza football iwe na knock out...ukipigwa goli 5 au goal difference ya goal 5 mpira unaisha hapohapo,ushindi wa hivyo uitwe super win na unapata point 5

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona unawatafuta ubaya Mikia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi naona kama watakuwa wameondoa utamu hapo kwenye Penalt,...
 
True football inapotea taratibu Hawa viongoz WA Sasa wanachojua n kurekebisha kanuni na kuongeza kanuni na kuongeza technology yao nying kwenye Mpira Sasa Kulikuwa kuna haja gan Ya kubadilika Mbona wanapoteza ladha ya Mpira wa Miguu

Unajua sasa hivi makampuni ya betting yanachangia kipato kikubwa sana kwenye mpira, in terms ya matangazo, subscriptions na sponsorships.

Kwa hiyo basi, ili kuzuia/kupunguza iwezekano wa makampuni hayo ku-influence matokeo, inabidi power ya referees ipunguzwe na maamuzi yawe ya wengi.

Pia zile incidences zinazoweza kuleta utata pia zinatengenezewa sheria ili kuondoa mikanganyo.

Tafuta makala kuhusu sports betting zinavyoathiri michezo utanielewa.
 
hio sheria ya penalty mbn waliitoa wakaacha rebounds ziwe halali kama kawaida kwa ufahamu wangu?
Walisema mpigaji haruhusiwi kucheza rebound kwa vile ana faida ya ukaribu na kipa ila badae wakaruhusu kwa maana mchezo unakuwa bado unaendelea kwanini umnyime haki ya kucheza mchezaji ambae yuko ndani ya uwanja wakaruhusu mpigaji kuweza kucheza rebound na kufunga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…