Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
- Thread starter
- #41
Ila zinaharibu ladha ya soka. Mambo ya kustopisha na kuanza ku consult technology yanaboa mda mwingine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila zinaharibu ladha ya soka. Mambo ya kustopisha na kuanza ku consult technology yanaboa mda mwingine
Man U Kimpembe utawajua tu.Yeah Man
Ilikua inaleta mkanganyiko sana bhana hii Sheria ya Ball to Hand
Sent using Jamii Forums mobile app
The International Football Association Board (The IFAB) , imebadilisha baadhi ya kanuni za mchezo wa soka kwenye kikao kilichofanyika wiki iliyopita nchini Scotland . Mabadiliko hayo ni kama ifuatavyo:-
1. KUTAKUWA HAKUNA MREJESHO KUTOKANA NA PIGO LA PENATI
Mchezo utasimama kwa kuanzishwa kama penati imeokolewa au imegonga mwamba , hii ina maana hakuna tena nafasi ya kufuata mpira na kufunga ( Rebound ) kwa maana hiyo wachezaji hawatokuwa na uhitaji wa kujipanga nje ya 18.
2.MPIRA KUCHEZWA NA MKONO.
Kuanzia Juni mosi goli litakalofungwa ambalo limegusa mkono wa mchezaji kwa maksudi au bahati mbaya ( Mfungaji ) halitakubaliwa.
3.MABADILIKO YA MCHEZAJI
Mchezaji ambaye atakuwa anafanyiwa mabadiliko ataruhusiwa kutoka kupitia upande wowote ule wa uwanja
4. GOAL KICK
Mchezaji ataruhusiwa kugusa mpira hata ndani ya eneo la 18 kutoka kwa kipa , ambapo sasa hivi ni mpaka mpira utoke kwenye 18 ndio unaruhusiwa kuugusa.
5. KADI KWA MAKOCHA.
Makocha sasa nao watakuwa wanaoneshwa kadi ya njano na nyekundu tofauti na sasa hivi wanaambiwa tu toka kwenye eneo la benchi la ufundi.
6. KWENYE UKUTA WA KUZUIA MIPIRA ILIYOKUFA
Wachezaji wa upande ambao wanapiga mipira iliyokufa ( freekick ) hawatoruhusiwa kwenda kujumuika kwenye ukuta wa timu ambayo inazuia mipira hiyo , tofauti na sasa huwa wanachanganyika kama kuwatoa mchezoni.
7. PENATI .
Magolikipa wataruhusiwa kuweka mguu mmoja tu kwenye mstari na huo mwingine wataamua wao wenyewe waweke wapi , tofauti na sasa kwamba miguu yote lazima iwe kwenye mstari wakati anapigiwa penati.
Kusoma zaidi [emoji116]
Football rules: How will new IFAB laws affect the game?
Update: Sheria ya penalty itabaki kama ilivyokuwa kufuatia clarification kutoka IFAB kuhusu sheria ya rebounds. [emoji116]
[emoji23][emoji23]Ngoja nipate uji. Nije kusoma hiyo
Kwenye kudive vp? Maana kina Neymer, na Mo wamezidi kwenye hii area
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua sasa hivi makampuni ya betting yanachangia kipato kikubwa sana kwenye mpira, in terms ya matangazo, subscriptions na sponsorships.
Kwa hiyo basi, ili kuzuia/kupunguza iwezekano wa makampuni hayo ku-influence matokeo, inabidi power ya referees ipunguzwe na maamuzi yawe ya wengi.
Pia zile incidences zinazoweza kuleta utata pia zinatengenezewa sheria ili kuondoa mikanganyo.
Tafuta makala kuhusu sports betting zinavyoathiri michezo utanielewa.
You're deeply so well in football cases, receive more congrats from me Mr.