Mabadiliko ya Kanuni za Mpira wa Miguu kwa Msimu wa 2019/2020

Yeah Man
Ilikua inaleta mkanganyiko sana bhana hii Sheria ya Ball to Hand

Sent using Jamii Forums mobile app
Man U Kimpembe utawajua tu.
Subiri siku mchezaji wa timu yako atakapofanya ile inaitwa Kimpembe Bin PSG vs Man U UCL2018/2019.
Utajuta kufaidika na hii dhambi ya pale Pac de Prince.
 
Ngoja nipate uji. Nije kusoma hiyo​
 
hapo kwenye mkono mbona wameangalia sehemu moja tu hii sio haki haiwezekani mtu akifunga goli huku mpila ukigu mkono kwa bahati mbaya goli likataliwe alafu akaachwa beki kaunawa kwa bahat mbaya eti isiwe penat ni bora wangefanya tu hakuna ball hand wala hand ball huku ni kumuonea mfungaji
 
You're deeply so well in football cases, receive more congrats from me Mr.
 
Hiyo kanuni namba mbili nashauri FIFA waende mbali zaidi wadhibiti na kwenye chama chetu pendwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…