Mabadiliko ya maisha yangu baada ya kuoa

Usi nambie ni kikosi Cha Chelsea 😆😆
 
Weka nyama nyama
christ within .....sijui nikuambiaje ili upate kunielewa ila iko hivo unajua kuna kitu kinaitwa mwez je unajua mwez huu moon una leta au unasababisha mood changes na mambo mengine sasa kipind hiki kila week kuanzia alhamis mpaka jumamosi inabid ujitoe kwa kufunga ili kuactivate jicho la ndani na sikio la ndani ..


tutaendelea
 
Tunawatakia maisha marefu wanandoa wote , ndoa changa, na ndoa za muda mrefu. Maisha ya ndoa ni matamu sana, ndoa ni chuo cha aina yake mkiishi kwa kusaidia na,kushauriana,kubuni miradi midogo na mikubwa mtaona maisha ni mazuri sana penye changamoto mnasameheana na kusahau kama ilivyopita 2024.
 
Ndoa ni tamu inategemea na uliyempata, mie nikiambiwa ndoa mbaya, namcheka moyoni, sababu mke wangu hanipi kero kubwa kubwa, zipo zile ndogo ndogo ambazo kwa yale mazuri yake ni sawa na hakuna kero.
Wacha wee wifi kiboko aisee 😄
 
Wifi yako sio kiboko, ni mamba kabisa, kanikamata, kaniweka kwapani, sifurukuti. 🤣😂😂
Mwambie mm mgeni wake sikukuu ya idd nataka notes kabisa Nina jambo langu 😂😂😂
 
Kusema kweli ndoa yangu bado changa, ndio kwanza mwaka mmoja. Najua changamoto nyingine zinaweza kuja na nimejiandaa
Kumbe mwaka tu, ngoja tukuache kwanza mfikishe walau 7 yrs, utakuja kufuta mwenyewe hiki ulichoandika
 
Ongeza sasa wapili na wa tatu kabla hajaanza kusema tulichuma wote....

Utanishukuru baadae
 
Siko tayari kupoteza uhuru wangu kwa ajili ya limtu nililoliokota barabarani.
 
Kazini pia boss wako na workmates wanaweza wakawa wanakupa kero ila huwezi kusema uache kufanya kazi ukae nyumbani.
Kazini nitavumilia kero kwa sababu natafuta ugali.

Tofautisha kati ya NECESSITY na LUXURY.

Ndoa ni LUXURY YA KIJINGA yenye mateso ya kujitakia.
 
hapo kwenye channel naangalia kwa masimamgo, nalipia compact lakin mbungi zinanipita 🤣,,
 
KUOA NI KUKOSA AKILI NI UPUUZI USHAMBA NA UKICHAA...
Mwanaume rijali unaoa?
 

Mazara ya ndoa ni Kati ya miaka 10 mpaka 15. Kama ujafika hapo mwombe Mungu n funga mdomo; ndo ni jambo gumu sana ukikosea
 
POSITIVE NA NEGATIVE zote light points. Subiri baada ya miaka mitano plus utakuja heavy points
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…