Ni halotel na inapiga Kazi mda wote na mimi nimetoka kuhakikisha mdau huu ipo fresh tuView attachment 2240389
Duuh hii mbona kitambo sana mkuu?.Username change iwe automatically sio hadi kuomba ruhusa ya mods
Tena iwe hadi kwa app sio hadi tutumie web
Turudishie lile jukwaa letu pendwa........u know wa a meaan menWakuu,
Tupo kwenye hatua za mwisho kuja na JF yenye mwonekano mpya ambayo inaendana na mabadiliko ya teknolojia. Kwa wanaohitaji kuwa sehemu ya majaribio, mnakaribishwa...
Katika mabadiliko haya, huenda ukakutana na kitu kikakufurahisha, kikakuchanganya, kikakufanya uone kuna haja ya kuongeza au kupunguza n.k - usisite kutujulisha kupitia uzi huu.
Thread hii itatumika kukusanya maoni yenu na yatazingatiwa ajili ya kujenga sehemu bora na salama zaidi kwa ajili ya kila mmoja wetu.
Kwa wale watumiaji wa App, tunashauri kujaribu App Mpya ya JamiiForums: Fuata hatua hizi kwani itaendana vema zaidi na kinachokuja.
Tunawashukuru kwa ushirikiano mnaotupa kila mara kwani hadi toleo hili ni tokana na maoni yenu.
Kutakuwa na features kadhaa hazitakuwa released mapema hadi zikamilike kufanyiwa testing ndipo ziwe applied.
Tunawapenda, tunawajali na tunaahidi kuendelea kutoa huduma bora.
Asanteni sana!
Nafikiri pia tunapaswa kukua kiakili na maarifa na uekewa sahihi wa mambo.natamani ningekuwa na uwezo wa kuignore au kuficha uzi usionekane, kuna nyuzi zinatembea kweli lakini maudhui hayafurahishi kabisa huwa nachukizwa kukutana na updates zake
Umeambiwa tatizo lipo kwa watumia tecno mkuu[emoji1787][emoji1787][mention]Maxence melo [/mention] mkuu app haitoi notifications za wakati husika hadi masaa kadhaa yapite
Yaan kuanzia masaa8
Umeambiwa tatizo lipo kwa watumia tecno mkuu[emoji1787][emoji1787]
Mhhhhh... Nadhani tufikirie nje ya box. Tunaweza tengeneza solution ya kusaidia graduates kupata kazi na kuwaunganisha na wenye uhitaji wa watu wa fields husika.
Unalionaje pendekezo hili?
Bila shaka utakuwa tigoMkuu Maxence Melo Mshana Jr na wakuu wengine wote.
Naombeni mniambie jamii forums inapatikana free basics ya mtandao gani?? Nimejaribu Halotel lakini haifunguki
Vipi tukiisha inunua, tukaiibadilisha JF kuwa chama cha siasa...Nawaza tu.🤔Dawa ni kujichanga tuinunue tu, tumalizane na huyu jamaa
Hapana kiongozi, mimi sio Muhaya.Muhaya kwenye ubora wako
Kama wewe nimekutia block ila bado unanifwataAcha roho mbaya chariiii yangu.
Hili ndo hata mie nimeliongelea, kuna watu sitaki ona wanachoandika, hata waandike nn sitakiKatika kitu kinaniudhi ni kumuignore mtu halafu bado naona post zake, inatakiwa hata wewe mmiliki wa jf nikikublock basi nisione hata kope yako hapa ikipepea.
Wapinga ushoga wengi ni mashogaMaxence Melo mimi napendekeza members wenye viashiria au wanao support ushoga wapigwe ban
Wakuu,
Tupo kwenye hatua za mwisho kuja na JF yenye mwonekano mpya ambayo inaendana na mabadiliko ya teknolojia. Kwa wanaohitaji kuwa sehemu ya majaribio, mnakaribishwa...
Katika mabadiliko haya, huenda ukakutana na kitu kikakufurahisha, kikakuchanganya, kikakufanya uone kuna haja ya kuongeza au kupunguza n.k - usisite kutujulisha kupitia uzi huu.
Thread hii itatumika kukusanya maoni yenu na yatazingatiwa ajili ya kujenga sehemu bora na salama zaidi kwa ajili ya kila mmoja wetu.
Kwa wale watumiaji wa App, tunashauri kujaribu App Mpya ya JamiiForums: Fuata hatua hizi kwani itaendana vema zaidi na kinachokuja.
Tunawashukuru kwa ushirikiano mnaotupa kila mara kwani hadi toleo hili ni tokana na maoni yenu.
Kutakuwa na features kadhaa hazitakuwa released mapema hadi zikamilike kufanyiwa testing ndipo ziwe applied.
Tunawapenda, tunawajali na tunaahidi kuendelea kutoa huduma bora.
Asanteni sana!
Na aliyetiwa block ajue katiwa blockJambo la muhimu kabisa mnatakiwa kuweka namna ambayo mtu akimblock mtu mwenye lugha mbaya uliyemblock anakuwa haoni contents zake na wewe houni zake kabisa.
Hili ni jambo la muhumu sanaMaxence Melo kuwepo na jukwaa jipya linalohusu mambo ya safari (Travel, Vacation & Diaspora)
Mkuu tunaomba sasa mtu aweze kufuta uzi wake mwenyewe, au anapoomba kufutwa kwa uzi wake basi ufutwe bila masharti.Do it yourself https://www.jamiiforums.com/account/username
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mnapofuta nyuzi muwe mnatoa na sababu juzi tu hapa nililalamikia wadada wanao inama kama ngamia wakiwa sita kwa sita badala ya kubinuka binu!..
Uzi ukafutwa sababu sikupewa!
Ahsante nanyinyi kwa ushirikiano wenu jf for life.