Mabadiliko ya mwonekano JamiiForums - Juni 2022

Mabadiliko ya mwonekano JamiiForums - Juni 2022

Username change iwe automatically sio hadi kuomba ruhusa ya mods

Tena iwe hadi kwa app sio hadi tutumie web
Duuh hii mbona kitambo sana mkuu?.
Unabadili mwenyewe hasa kwa kutumia browser
 
Wakuu,

Tupo kwenye hatua za mwisho kuja na JF yenye mwonekano mpya ambayo inaendana na mabadiliko ya teknolojia. Kwa wanaohitaji kuwa sehemu ya majaribio, mnakaribishwa...

Katika mabadiliko haya, huenda ukakutana na kitu kikakufurahisha, kikakuchanganya, kikakufanya uone kuna haja ya kuongeza au kupunguza n.k - usisite kutujulisha kupitia uzi huu.

Thread hii itatumika kukusanya maoni yenu na yatazingatiwa ajili ya kujenga sehemu bora na salama zaidi kwa ajili ya kila mmoja wetu.

Kwa wale watumiaji wa App, tunashauri kujaribu App Mpya ya JamiiForums: Fuata hatua hizi kwani itaendana vema zaidi na kinachokuja.

Tunawashukuru kwa ushirikiano mnaotupa kila mara kwani hadi toleo hili ni tokana na maoni yenu.

Kutakuwa na features kadhaa hazitakuwa released mapema hadi zikamilike kufanyiwa testing ndipo ziwe applied.

Tunawapenda, tunawajali na tunaahidi kuendelea kutoa huduma bora.

Asanteni sana!
Turudishie lile jukwaa letu pendwa........u know wa a meaan men
 
natamani ningekuwa na uwezo wa kuignore au kuficha uzi usionekane, kuna nyuzi zinatembea kweli lakini maudhui hayafurahishi kabisa huwa nachukizwa kukutana na updates zake
Nafikiri pia tunapaswa kukua kiakili na maarifa na uekewa sahihi wa mambo.
Jf ina kila aina ya vyakula vya watu husika.

Kuna jukwaa la ;
Siasa
Chitchat
Mahusiano nk.
Katika haya majukwaa kila mtu ana haki kuchagua eidha awepo majukwaa yote au lile linalogusa moyo na maisha yake zaidi.

Mfano jukwaa la chitchat huko ni hoja mchanganyiko na ambazo mara nyingi ni watu wanatolea stress zao kwa vitu hasa vya itani utani ambao mara nyingi hakuna uhalisia.

Kinachoshangaza mtu mzima ataingia humo na kuanza kuona kuwa watu wanafanya ujinga khaa..utashangaaje hilo?

Hilo ndilo jukwaa muhimu kwa wengi kutolea stress zao za kazi na kuiweka akili sawa.
 
Umeambiwa tatizo lipo kwa watumia tecno mkuu[emoji1787][emoji1787]
26B3E749-FA24-4382-A1B4-F8E58AB8AC4C.png

Hi sio tecno mzee
 
Mhhhhh... Nadhani tufikirie nje ya box. Tunaweza tengeneza solution ya kusaidia graduates kupata kazi na kuwaunganisha na wenye uhitaji wa watu wa fields husika.

Unalionaje pendekezo hili?

Jukwaa na Hadithi, Mikasa na Simulizi liwepo kule kwenye, Sport and Entertainment
 
Siti ya nyuma hapa

Wakuu,

Tupo kwenye hatua za mwisho kuja na JF yenye mwonekano mpya ambayo inaendana na mabadiliko ya teknolojia. Kwa wanaohitaji kuwa sehemu ya majaribio, mnakaribishwa...

Katika mabadiliko haya, huenda ukakutana na kitu kikakufurahisha, kikakuchanganya, kikakufanya uone kuna haja ya kuongeza au kupunguza n.k - usisite kutujulisha kupitia uzi huu.

Thread hii itatumika kukusanya maoni yenu na yatazingatiwa ajili ya kujenga sehemu bora na salama zaidi kwa ajili ya kila mmoja wetu.

Kwa wale watumiaji wa App, tunashauri kujaribu App Mpya ya JamiiForums: Fuata hatua hizi kwani itaendana vema zaidi na kinachokuja.

Tunawashukuru kwa ushirikiano mnaotupa kila mara kwani hadi toleo hili ni tokana na maoni yenu.

Kutakuwa na features kadhaa hazitakuwa released mapema hadi zikamilike kufanyiwa testing ndipo ziwe applied.

Tunawapenda, tunawajali na tunaahidi kuendelea kutoa huduma bora.

Asanteni sana!
 
Mnapofuta nyuzi muwe mnatoa na sababu juzi tu hapa nililalamikia wadada wanao inama kama ngamia wakiwa sita kwa sita badala ya kubinuka binu!..
Uzi ukafutwa sababu sikupewa!

Ahsante nanyinyi kwa ushirikiano wenu jf for life.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom