Mabadiliko ya mwonekano JamiiForums - Juni 2022

Mabadiliko ya mwonekano JamiiForums - Juni 2022

Mm hii ya kuclick next page ndio siipendi kabisa, nikaona acha nirudi kwenye App tu.

Kwakwel mkuu mana niliona akisema saiz ni ni ku scrow tu kwa kuvuta juu sasa nikaona ni screenshot aone kiongozi mana hii ya ku next page ni kama ipo kizamani kidogo lakini ikifanyiwa maboresho ni nzur browser hata katika bundle nadhan haitumii kiwangi kikubwa ila app iko poa sana
 
Mm naomba kwenye kufunguka isifungukie kwenye trading, bali kwenye general
 
Hii ni changamoto aisee, Mi mwenyewe natumia browser nimeona trendings tu bila forums. Kuna majukwaa huwa napenda kuanza nayo au kuingia mara kwa mara.

Nilichofanya nime-clear cookies kisha nikaingia jamiiforums upya bila ku-login. Hapo utaona forums zote.
Baada ya hapo nikasave huo ukurasa wenye forums zote kwa ufikiaji wa haraka muda wowoe then nika-login.
Nitarudi kwenye app tu muonekano wa sasa haupendezi kabisa kabla ilikuwa imekaa vizuri sana ona hapa screeshot ya kwanza ni baada screeshot ya pili ni kabla
Screenshot_2022-06-02-09-32-15-825_com.mi.globalbrowser.jpg
Screenshot_2022-05-30-19-14-07-108_com.mi.globalbrowser.jpg
 
Aisee muonekano huu mpya sijaupenda hata kidogo. Maandishi makubwa sana.
 
Melo fanyeni kitu huu mwonekano siyo imekuwa kama forum za Mozambique hii hapana wakuu mmezingua pakubwa.
Screenshot_2022-06-02-09-49-44-003_com.mi.globalbrowser.jpg
 
next page inakera kwakweli tuliishaachana na haya mambo tokea jf ya ndroid 6 huko.
Scrow ni mkeka mrefu mno labda kuwepo mpunguzo wa wingi maandishi kama ile ya leo asubuhi
 
Kuna umuhimu wa kwenda page 2, page3 nk.
Hii inasaidia mtu kuwa anakariri comment fulani au mada fulani ilikuwa pagenamba gani.
Halafu inamfanya mtu kuwa engaged na kuweza kusoma comment zote/kupitia mada zote mpaka page ya mwisho.
ila ukiweka option ya kuscroll tu kwenda chini, inamfanya mtu awahi kuboeka na kutaka kuscroll mpaka mada/koment ya mwisho.
 
Kwa mimi ninayetumia chrome naona comments mbili zinajaza screen maandishi makubwa mno , naona bora nitumie Freebasic app kidogo naenjoy ..
Ukitazama kuna nafasi kubwa inabaki unused kama wakibana vizuri content huenda ikasaidia kubeba ujumbe mwingi kwa nafasi kidogo
 
Kuna nafasi kubwa pembeni pande zote mbili haijatumika margin ni kubwa mno na mapengo kwenye content space ni makubwa mno
Screenshot_20220602-100358_Samsung Internet.jpg
 
Duh kwenye huu mwonekano mpya maandishi makubwa mno Maxence Melo

Kama ingewezekana basi mngeifanya website au App ikawa ina adhere Setting za Font size na Font style zilizopo kwenye kifaa ima Sim au PC ambayo ina-access huduma hii.

Nia yenu ilikuwa nzuri ingawa nadhania kua ili kupata equality lazima tu-maintain equity... Inaweza kua ni furaha kwa wenye macho yasiyo mazuri ila ikawa karaha kwa wenye uono ambao bado uko imara!
 
Kuna umuhimu wa kwenda page 2, page3 nk.
Hii inasaidia mtu kuwa anakariri comment fulani au mada fulani ilikuwa pagenamba gani.
Halafu inamfanya mtu kuwa engaged na kuweza kusoma comment zote/kupitia mada zote mpaka page ya mwisho.
ila ukiweka option ya kuscroll tu kwenda chini, inamfanya mtu awahi kuboeka na kutaka kuscroll mpaka mada/koment ya mwisho.
Point
 
Back
Top Bottom