Mabadiliko ya sensa kwa mwaka huu 2022, tofauti na miaka mingine, je yana tija kwa wananchi?

Mabadiliko ya sensa kwa mwaka huu 2022, tofauti na miaka mingine, je yana tija kwa wananchi?

Lanlady

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2019
Posts
1,836
Reaction score
6,303
Mabadiliko ya utaratibu wa kuhesabu watu kwa mwaka 2022, tofauti na miaka mingine je, ni kweli yana tija kwa wananchi wa kawaida?

Mabadiliko hayo baadhi ni pamoja na:
1: kubadilika kwa mihula ya shule/ vyuo. (Kwenye muda wa likizo)
2: matumizi ya vishikwambi
3: mabadiliko ya siku, (sensa nyingine zilianza siku ya jumapili)
4: hamasa kubwa kwa kutumia mabango na hashtag
5: upigaji wa picha viongozi na hatimaye raia wengine; wakati na baada ya kuhesabiwa (japo 2012 sikuwa na smartphone mtu yeyote anaweza kutuma picha za viongozi waliopigwa picha wakati au baada ya kuhesabiwa)
6: Aina na idadi ya maswali
7: sifa za makarani (mfano umri) nk



Kwa mabadiliko hayo machache na mengine mengi, je yana tija kwa taifa na wananchi kwa ujumla?
 
Mabadiliko ya utaratibu wa kuhesabi watu kwa mwaka 2022, tofauti na miaka mingine je, ni kweli yana tija kwa wananchi wa kawaida?

Mabadiliko hayo baadhi ni pamoja na:
1: kubadilika kwa mihula ya shule/ vyuo. (Kwenye muda wa likizo)
2: matumizi ya vishikwambi
3: mabadikiko ya siku, (sensa nyingine zilianza siku ya jumapili)
4: hamasa kubwa kwa kutumia mabango na hastag
5: upigaji wa picha viongozi na hatimaye raia wengine; wakati na baada ya kuhesabiwa (japo 2012 sikuwa na smartphone mtu yeyote anaweza kutuma picha za viongozi waliopigwa picha wakati au baada ya kuhesabiwa)

Kwa mabadiliko hayo machache na mengine mengi, je yana tija kwa taifa na wananchi kwa ujumla?
Mtazamo wangu hii sensa nionavyo sikupanga maendeleo kwa wanaohesabiwa bali niramli kwa serekali kujuwa Fulani ananini serekali itapata nini kutoka kwake kwanza kabisa Mimi nimehesabiwa ilikujuwa yaliomo yamo?lakini nimekuta serekali ambayo kilasiku imekuwa ikisema haina uwezo wakumletea mtupesa mfukoni kazi yake nikuweka mazingira mazuri ilituweze kufanya kazi vizuri , kwamshangao mkubwa niaina ya maswali maswali nilioulizwa sio yakuniwekea mazingira sawa mfano hali yandoa nyumba yako inavyumba vingapi unafanya kazigani namengine mengi haya nimambo binafsi tuachiwe sisi vituambavyo vipo chini yetu
Wao hawaulizi yanayo wahusu ambayo mtubinafsi hawezi kufanya kama vile barabara maji shule zahanati au kituocha afya kituochapolice kipo umbali gani lakini mnataka kutunyonya zaidi mtuhurumie jamani tusomeshe watoto pesa zote mchukue kwa matozo mbalimbali mpaka mtoto anamaliza kusoma anakuta nyumbani kumekauka kwa kumsomesha na matozo yenu alafu mnamambia aje nyumbani kujiajiri anakuta nyumbani Mimi mzazi wake sina nguvu na ukuta umechanika laaaa jamani mtuhurumie unamkamuaje ng'ombe bilakumpa majani?
 
Mabadiliko ya utaratibu wa kuhesabi watu kwa mwaka 2022, tofauti na miaka mingine je, ni kweli yana tija kwa wananchi wa kawaida?

Mabadiliko hayo baadhi ni pamoja na:
1: kubadilika kwa mihula ya shule/ vyuo. (Kwenye muda wa likizo)
2: matumizi ya vishikwambi
3: mabadiliko ya siku, (sensa nyingine zilianza siku ya jumapili)
4: hamasa kubwa kwa kutumia mabango na hashtag
5: upigaji wa picha viongozi na hatimaye raia wengine; wakati na baada ya kuhesabiwa (japo 2012 sikuwa na smartphone mtu yeyote anaweza kutuma picha za viongozi waliopigwa picha wakati au baada ya kuhesabiwa)

Kwa mabadiliko hayo machache na mengine mengi, je yana tija kwa taifa na wananchi kwa ujumla?
Mimi sijaona aukuwa namatumaini kuwa kutakuwa natija wakati maswali ambayo yanaulizwa ni maswali halengi kwenye changamoto tulizonazo wahesabiwa wengi naona kama yanelenga mapato kwenye serekali
 
Naomba wadau wenye kumbukumbu ya picha za viongozi kwa sensa zilizotangulia (,2012 kurudi nyuma), wakipiga picha wakati au baada ya kuhesabiwa. Nataka tu kujifunza zaidi
 
Back
Top Bottom