Mabadiliko ya Sheria: Rais, Makamu wake, Jaji Mkuu, Waziri Mkuu na Spika wa Bunge kutofunguliwa kesi Mahakamani

Prince ndie spika ajae Kama watz watakosea tena,kwa watakayotendewa watz again 5 yrs yatakuwa ni Mara 10 ya walivotendewa 5yrs back.
 
Nyerere angekuwa hai angekuwa anatawala tena kwani angeisha kuwa ametoka BUTIAMA zamani!!! Hivi huko ccm hakuna wanaume wanaoweza kuthibiti udikteta huu wa Jiwe?
Hakuna walishauza chama kwenye chattle family.
Mmiliki wa chama ndie mwenye ccm rejea chaguzi za marudio.
 
Ashtakiwi kwa makosa ya maslai ya taifa na si kwa makosa binafsi ya kuvunja katiba.Sema huwa wanalindana tu
 
Aisee . . . yaani wahsaanza kujiandalia kinga ? We are doomed aisee. Nina mashaka sana na utawala wa sherika kwa siku zijazo
 
Sijui ni uzee, hii taarifa jinsi ilivyowasilishwa ninapata tabu sana kuelewa.Kama si uzee basi itakuwa UWAFE(UPUNGUFU WA FEDHA)
 
Mbona wanaturudisha nyuma ninkwanini viongozi wa kiafrica wanapenda Sana kuabudiwa yanj kuwa untouchable
 
Yaliyotabiriwa yanaanza kutimia na ndivyo serikali zote za kidikteta,zinaanzaga kwa style hii
 
Dr. A. Lwaitama : Wananchi hawashirikishwi kuamua mambo makuu ya nchi , mkoa au wilaya. Wachache wamejitwalia haki hiyo ya wananchi



Bunge halina meno, hivyo kushindwa kuchambua miswada inayoletwa mbele yake kwa manufaa ya wananchi. Bunge limejaa watu wa chama kimoja ambao ni waoga kukataa jambo au kurekebisha jambo kutokana na mfumo mbovu wa utawala wa nchi unaofanana na ukoloni. Wabunge wamekuwa mateka wa kisiasa.

Source : Mwanahalisi TV
 
Hapo kabla walikuwa wanafunguliwa kesi?
Ndiyo ilikuwa ukitafuna Pesa ya serikali kama mil 800 unafunguliwa kesi na kuhukumiwa adhabu kali ya kufakia hospital mwezi mzima
 
Wanataka kutufanyaje mbona wanajihami mapema!!!??????
 
Tukiishi kwa imani ya "ipo siku" tutashindwa kutumia vyema akili zetu na haki yetu ya kuhoji na kuwawajibisha viongozi kikatiba

Hawa ccm taratibu wanataka kuigeuza Tanzania koloni lao na wanaweza kwasababu wananchi
TUNANYAMAZA!
Kinga ya kutoshtakiwa si Kinga ya kutolipwa kulingana na matendo yako.
Ukiwatendea mabaya wenzio jiandae tu kulipwa mabaya yako
 
Maana ya Nguvu ya Umma yafafanuliwa :

Mtu-Huru hawezi kuuza uhuru wake kwa vitu yaani kwa sababu tu ya Maendeleo ya Vitu mtu afanywe mateka ndani ya nchi yake.




Source: DarMpya TV
 
Nimelisema hili hata Romania chini ya Ceausescu walikuwa na sheria za namna hii, siku ilipofika wananchi wakasema enough is enough wakatunga sheria zao na mwisho wake ukawa aibu
 
Kuna conditions zimewekwa ili uweze kufungua kesi. Sio kwamba unazuiliwa. Hata hivyo toka hapo awali hata ukimshitaki Rais ni Ag ndio alikuwa anamuwakilisha. Mimi nafikiri Chadema wamepanick kila kitu mnadandia mkizani kitawasaidia.
Kama hata sasa hivi iko hivyo, mabadiliko ya sheria ni ya nini?
 
Makosa binafsi ya kuvunja katiba kama yapi? Fafanua.
Soma vizuri speech ya Jaji Mstaafu Samatta.

Kuna tofauti ya "kama" na "akiwa" Rais.

Mfano, hata kama umekerwa sana na kuachiwa huru Babu Seya na wanawe, huwezi kumshitaki. Amefanya kazi kwa kutumia mamlaka yake kama Rais.

Lakini akichukua rushwa kwenye ujenzi wa kiwanja cha ndege, hilo halifanyi kama Rais, amelifanya kama yeye. Hilo unaweza kumshitaki.
 

Ccm plz plz plz tunawaomba muokoe hili taifa linaenda kupotea tumieni chama chenu kuwajibisha serikali kupitia watu wenu hi nchi inaingia shimoni mkiwa mnachekelea Kama mna BEt kuishinda chadema wakati nchi in angamia.
 
Nimekuwa najiuliza kwanini Serikali inapeleka Muswaada wa kuwakinga Viongozi kwani wanataka kufanya nini ili Wakingwe?
The growth of totarianism in Tanzania. The growth of Nazism in Germany started slowly but steadily at last, it took Germany with gush of fire. Very dangerous.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…