Mabadiliko ya Sheria Subsection 47A kwenye Criminal Procedure Act (CPA) yanaenda kumuokoa Luteni Urio na Polisi wote wahusika kwenye kesi ya Mbowe

Mabadiliko ya Sheria Subsection 47A kwenye Criminal Procedure Act (CPA) yanaenda kumuokoa Luteni Urio na Polisi wote wahusika kwenye kesi ya Mbowe

Mimi ni mwana ccm, Lakini kwanini tunabadili sheria kwa kuangalia manufaa ya wachache badala ya manufaa ya Taifa

Kipengele cha Undercover kimeongezwa ghafla kwenye sheria ya Criminal procedure Act Cap 20 section 47 Subsection 47A, Lengo kuwa police waliohusika kwa siri kwenye uchunguzi wa uhalifu wasiwe sehemu ya uharifu huo

Sheria inapasa iangalie mbele na sio kuangalia matukio ya watu wachache

Mapendekezo yanayopelekwa Bungeni tena kwa tangazo la Bunge la ghafla watu wakatoe maoni kwa siku moja Dodoma yanalenga kitu gani?

Someni mabadiliko hayo kwa umakini sana sana, Msije baadae mkaanza kulaumu SerikaliView attachment 2105978

Serikali imepeleka Bungeni mabadiliko ya sheria mbalimbali, Ni muhimu watu mkasome vizuri hizi sheria

Luteni Urio na wenzake baada ya kubanwa mahakamani ilionekana moja kwa moja wao ndio waliotengeneza hiyo picha ya kesi ya Mbowe kwa kuwatafuta Makomandoo ili wakafanye uharifu

Fuatilia vizuri Mahojiano ya kibatala na Urio utangundua Urio anajitetea Yeye kama Undercover

Kwa sheria hii ikipita Urio hiyo kesi haimuhusu anaokoka mapema sana, Ongezeko la neno Undercover kwenye sheria hii moja kwa moja Urio na wenzake hawahusiki na kesi hii ya Mbowe
Uzuri Sheria hairudi nyuma hata siku moja, hii ikitungwa itakuta tukio lilishapita tutaona kama Jaji Tiganga atabackward Sheria.
 
Hata hivyo, hayo marekebisho yanamtaja Police officer pekee. Lut. Urio sio police officer
 
Uzuri Sheria hairudi nyuma hata siku moja, hii ikitungwa itakuta tukio lilishapita tutaona kama Jaji Tiganga atabackward Sheria.
Tanzania Sheria hurudi nyuma. Ni muhimu uelewe kuwa Tanzania ni taifa lisilo na stands, mfano wa Sharia retrospective ni Ile ya bodi ya mikopo ya elimu ya juu.
 
Mimi ni mwana CCM, Lakini kwanini tunabadili sheria kwa kuangalia manufaa ya wachache badala ya manufaa ya Taifa

Kipengele cha Undercover kimeongezwa ghafla kwenye sheria ya Criminal procedure Act Cap 20 section 47 Subsection 47A, Lengo kuwa police waliohusika kwa siri kwenye uchunguzi wa uhalifu wasiwe sehemu ya uharifu huo

Sheria inapasa iangalie mbele na sio kuangalia matukio ya watu wachache

Mapendekezo yanayopelekwa Bungeni tena kwa tangazo la Bunge la ghafla watu wakatoe maoni kwa siku moja Dodoma yanalenga kitu gani?

Someni mabadiliko hayo kwa umakini sana sana, Msije baadae mkaanza kulaumu Serikali

View attachment 2105978

Serikali imepeleka Bungeni mabadiliko ya sheria mbalimbali, ni muhimu watu mkasome vizuri hizi sheria

Luteni Urio na wenzake baada ya kubanwa mahakamani ilionekana moja kwa moja wao ndio waliotengeneza hiyo picha ya kesi ya Mbowe kwa kuwatafuta Makomandoo ili wakafanye uharifu

Fuatilia vizuri Mahojiano ya Kibatala na Urio utangundua Urio anajitetea yeye kama Undercover

Kwa sheria hii ikipita Urio hiyo kesi haimuhusu anaokoka mapema sana, Ongezeko la neno Undercover kwenye sheria hii moja kwa moja Urio na wenzake hawahusiki na kesi hii ya Mbowe
Serikali za kidikiteta hizi badala wakae kuleta maendeleo wao ni kukata kamba wale mpaka wavimbiwe.

Mungu atawalaani
 
Unamdanganya nani? Hivi kwanini ujiite ccm wakati unajulikana wewe ni chadema! Unadhani ukijenga hoja yako bila kudanganya na si kuongopa hutafaniniwa?
Watoto mliojiunga kwa Wimbi la Ccm Sabaya na Jiwe mnajua nini?
 
Mimi ni mwana CCM, Lakini kwanini tunabadili sheria kwa kuangalia manufaa ya wachache badala ya manufaa ya Taifa

Kipengele cha Undercover kimeongezwa ghafla kwenye sheria ya Criminal procedure Act Cap 20 section 47 Subsection 47A, Lengo kuwa police waliohusika kwa siri kwenye uchunguzi wa uhalifu wasiwe sehemu ya uharifu huo

Sheria inapasa iangalie mbele na sio kuangalia matukio ya watu wachache

Mapendekezo yanayopelekwa Bungeni tena kwa tangazo la Bunge la ghafla watu wakatoe maoni kwa siku moja Dodoma yanalenga kitu gani?

Someni mabadiliko hayo kwa umakini sana sana, Msije baadae mkaanza kulaumu Serikali

View attachment 2105978

Serikali imepeleka Bungeni mabadiliko ya sheria mbalimbali, ni muhimu watu mkasome vizuri hizi sheria

Luteni Urio na wenzake baada ya kubanwa mahakamani ilionekana moja kwa moja wao ndio waliotengeneza hiyo picha ya kesi ya Mbowe kwa kuwatafuta Makomandoo ili wakafanye uharifu

Fuatilia vizuri Mahojiano ya Kibatala na Urio utangundua Urio anajitetea yeye kama Undercover

Kwa sheria hii ikipita Urio hiyo kesi haimuhusu anaokoka mapema sana, Ongezeko la neno Undercover kwenye sheria hii moja kwa moja Urio na wenzake hawahusiki na kesi hii ya Mbowe
Haitoweza kutumika kwenye kesi hii kwa sababu imetungwa wakati kesi tayari imeanza kusikilizwa ivyo haina uhalali kwa kesi hii,labda kesi zijazo
 
Subiri maamuzi ya mahakama!
Tayari wanayo hukumu mfukoni, kwani haukuwasikia Kamanda Zero na Mtemi Chui Jike. Lakini Mungu wa haki hatowaacha wafanikiwe kutekeleza USHETANI wao.
Tunapokaribia March 17,maadhimisho ya kuanguka kwa Babeli mkuu, ni busara wale waliyojaa udhalimu wakaamua kujitafakari na kubadilika.
AMEN
 
Uzuri Sheria hairudi nyuma hata siku moja, hii ikitungwa itakuta tukio lilishapita tutaona kama Jaji Tiganga atabackward Sheria.
Tanzania Sheria hurudi nyuma. Ni muhimu uelewe kuwa Tanzania ni taifa lisilo na stands, mfano wa Sharia retrospective ni Ile ya bodi ya mikopo ya elimu ya juu.
Kwa Tanzania hilo linawezekana.
Hawa ndugu hawajaijua nchi yao chini ya ccm. Unatangulizwa mahakamani na Sheria inatunga baadaye ikukute huko huko.
 
Naomba kuuliza na sijasoma coment za watu juu kama kuna mtu kauliza same question...haya mabadiliko kesheria yanaweza kulinda na kujustify matendo yaliyofanyika kabla ya sheria kuwepo au ni baada maana kwa layman knowledge huwezi kufanya kitu bila kuongozwa na sheria yoyote iliopo alafu baadae uje ulindwe na sheria mpya ambayo kipindi unafanya maamuzi haikuwepo.
 
Mimi ni mwana CCM, Lakini kwanini tunabadili sheria kwa kuangalia manufaa ya wachache badala ya manufaa ya Taifa

Kipengele cha Undercover kimeongezwa ghafla kwenye sheria ya Criminal procedure Act Cap 20 section 47 Subsection 47A, Lengo kuwa police waliohusika kwa siri kwenye uchunguzi wa uhalifu wasiwe sehemu ya uharifu huo

Sheria inapasa iangalie mbele na sio kuangalia matukio ya watu wachache

Mapendekezo yanayopelekwa Bungeni tena kwa tangazo la Bunge la ghafla watu wakatoe maoni kwa siku moja Dodoma yanalenga kitu gani?

Someni mabadiliko hayo kwa umakini sana sana, Msije baadae mkaanza kulaumu Serikali.


View attachment 2105978


Serikali imepeleka Bungeni mabadiliko ya sheria mbalimbali, ni muhimu watu mkasome vizuri hizi sheria

Luteni Urio na wenzake baada ya kubanwa mahakamani ilionekana moja kwa moja wao ndio waliotengeneza hiyo picha ya kesi ya Mbowe kwa kuwatafuta Makomandoo ili wakafanye uharifu

Fuatilia vizuri Mahojiano ya Kibatala na Urio utangundua Urio anajitetea yeye kama Undercover

Kwa sheria hii ikipita Urio hiyo kesi haimuhusu anaokoka mapema sana, Ongezeko la neno Undercover kwenye sheria hii moja kwa moja Urio na wenzake hawahusiki na kesi hii ya Mbowe
Yamepelekwa lini?
 
Hata hivyo, hayo marekebisho yanamtaja Police officer pekee. Lut. Urio sio police officer
Tena inaweka mkazi kuwa,wakati wote wa operation,huyo afisa polisi undercover Anatakiwa kufuata PGO!
So sioni sheria hiyo ikimuhusu Urio!
 
Unamdanganya nani? Hivi kwanini ujiite ccm wakati unajulikana wewe ni chadema! Unadhani ukijenga hoja yako bila kudanganya na si kuongopa hutafaniniwa?
Precedence ya kusema uongo imeanzia CCM kwa mfano:
i.Fedha za ESCROW siyo za serikali.
ii.Uchumi wa Tanzania unapaa-uchumi wa kati chini.
iii.Nchi ya viwonder
iv.Tanzania ni tajiri.
v.Tutalipwa US$ 190 Bilion.
vi.etc
Vyote vikawa hewa.CCM Ph.D za uongo zimeenea.
Tahadhari-Watanzania sio wajinga!Wanafahamu tofauti kati ya ukweli na urongo wa kimfumo uliokithiri.Tumefikia hatua ya wananchi kuzuiwa na kuhofia kusema ukweli wa jambo lolote?
 
Back
Top Bottom