Mabadiliko ya uke baada ya kujifungua

Haiwezekani

1. Alichanika sana kwenye uke?
2. Walimshona vizuri?
3. Alikuwa anakipa kidonda matunzo mazuri?
Kwa maelezo ni kuwa doctor alichana akawa amekosea na akashauri akae miaka minne ndoo apate ujauzito mwingine

Sent from my SM-J100H using JamiiForums mobile app
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3]
Yo nuts. Hivi si ushaambiwa usiniongeleshe.
Nitaweza..utaweza shemeji?

Nishakuambia dai talaka hautaki ombea nitekwe sitakuongelesha tena.
 
Hahaha asante kwa tekniki
 
Asante ndugu Yangu..nafarijika sana
 
Asante mkuu... Mhhhhhhh nimebidika kuvuta pumzi ndefu kwakweli.
 
Tatizo umeolewa na libazazi ndio maana unaangaika hivi.

Angekuwa ni mwanaume asiyekuwa na uchu wa ngono hayo ni mabadiliko ya kawaida sana ambayo hayawezi kuwa sababu ya yeye kuchepuka, kwani yeye ndio aliyekulegeza uchi kwa kukuzalisha.
Mkuu asante... Yy ndo aliyefungua njia
 
Aiseeee!! Wanawake mnakazi kweli. Yaani una rambo!
Tafuta style ya kubana papuchi Acha uzembe!
Lakini Rambo imesababibishwa na wanetu tuliopewa na mungu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…