Mabadiliko ya uke baada ya kujifungua

Mabadiliko ya uke baada ya kujifungua

Pole mdau. Kuhusu maumbile mimi nikushauri tu jiamini. Kuhudu mume kuchepuka maumbile sio sababu ila ni majaribu tu muombee pia usiwaze kuchepuka kwake utakonda bure.
Asante mkuu.
 
Pole mdau. Kuhusu maumbile mimi nikushauri tu jiamini. Kuhudu mume kuchepuka maumbile sio sababu ila ni majaribu tu muombee pia usiwaze kuchepuka kwake utakonda bure.
Asante mkuu.
 
Pole mdau. Kuhusu maumbile mimi nikushauri tu jiamini. Kuhudu mume kuchepuka maumbile sio sababu ila ni majaribu tu muombee pia usiwaze kuchepuka kwake utakonda bure.
Asante mkuu.
 
Pole mdau. Kuhusu maumbile mimi nikushauri tu jiamini. Kuhudu mume kuchepuka maumbile sio sababu ila ni majaribu tu muombee pia usiwaze kuchepuka kwake utakonda bure.
Asante mkuu.
 
Mwanaume anaempenda mkewe kwa sababu na kudikiri kusaliti ndoa yake takatifu yenye watoto wawili kiukwel huyo ana Laana na hajakupenda vzr,,inawezekana alikupendea mashine tyt,,sasa umeshafanya overhole mara mbili anaona huna ishu,,daaah pole sana ila kumbuka mume bora hachepuki hata uwe na hali gani.. Akichepuka huyo ameshakuxhoka na usiombe wanaume tukuchoke wakat una kachnga mmmmh utajuta
Mkuu hapo kwenye machine tyt hapo nilikuwa binti mpya kabisa
 
Kuna product special kwa ajili ya wanawake kubana K nitaanza kuuza mwezi ujao mwishoni. Zinaitwa kegel exerciser kwa ajili ya kuimarisha misuli ya K. Karibu sana
Mkuu asante sana... Uko mkoa gani? Pm for more info
 
Mie sio mtaalam wa hayo mambo but nachokiona hapa ni mumeo kuwa mshenzi na kujitoa ufahamu ktk masuala ya msingi...mwanaume anaejitambua hawezi kuwa na akili za kitoto kwamba amzalishe mkewe watoto kisha ayakatae mabadiliko ya kimaumbile na wakati mwengine hata tabia,kama issue ndogo kama hii anaanza kuchepuka je siku chuchu zikiwa saa 10 alaasiri itakuwaje?na siku umbile lako la No8 likianza kuwa muundo wa duara si atawaleta vimada nyumbani?kaa nae chini umwambie asipoelewa kuna watu wazima waambie wakusaidie mapema akikuzalisha wa tatu utaziona sarakasi zaidi.
Kama anayakata anakosea lakini sio sir baada kuzaa wanawake ladha hupungua k huregea bana inakua haina mvuto ndio mana tunatafuta za kubana zina raha sanaa[emoji2]
 
Back
Top Bottom