Mabadiliko ya uke baada ya kujifungua

Mabadiliko ya uke baada ya kujifungua

Wana jf
Habari za jumapili.
Nimejifungua mtoto Wa pili miezi 6 iliyopita! Kuna uwezekani wa uke kuendelea kubana hata baada ya kujifungua..

Ninajitahidi sana sana kufanya kegel exercises kila mara.
Nitajuaje kuwa uke wangu sasa umeanza kubana kama awali..

Naombeni msinibeze Bali mnifahamishe namna nzuri ya kudeal na maumbile haya mapya...

Nina uchungu sana shemeji yenu alikuwa akinipenda na kunisifia sana kabla ya mtoto Wa pili,, now days ni michepuko hadi nakoma so nahisi ni sababu ya maumbile ya k yamepanuka sana!
Pole sana nakushaur ufanye mazoez ya kegel

Afu tumia pia kuoshea uke wako maji barid au weka kipande kidogo cha barafu ukeni vaa zako pedi ile barafu ukiweza kuvumilia itakusadia kuvuta uke na kufanya kuwa mdogo na utaepukana na kuwa uke mpana na hivyo kukufanya uweze kufurahia vizur mapenz na kitu tait afu pia muoneshee maujuzi ya kitandani usiwe tu huna swaga mpya

Nenda katumie hiyo barafu utakuja kunipa majibu hapa ataenjoy sana utait wako kama bikra
 
Wana jf
Habari za jumapili.
Nimejifungua mtoto Wa pili miezi 6 iliyopita! Kuna uwezekani wa uke kuendelea kubana hata baada ya kujifungua..

Ninajitahidi sana sana kufanya kegel exercises kila mara.
Nitajuaje kuwa uke wangu sasa umeanza kubana kama awali..

Naombeni msinibeze Bali mnifahamishe namna nzuri ya kudeal na maumbile haya mapya...

Nina uchungu sana shemeji yenu alikuwa akinipenda na kunisifia sana kabla ya mtoto Wa pili,, now days ni michepuko hadi nakoma so nahisi ni sababu ya maumbile ya k yamepanuka sana!
Nitafute kuna dawa unapewa kwa siku Saba uke unarudi kuwa mdogo kama ndo unaanza mapenzi gharama no laki tatu tuu advance unatoa mapema baada ya kupona unamalizia
 
kama mmeo alikuoa kwa sababu ya uzuri/urembo lazima atakuchoka tuu
ila kama alikua na mapenzi ya dhati kwako hatochepuka na atakupenda,la kukushauri ni hili,usifakamie sana misosi maana mavitambi yanaboa,kuhusu swala la kupanuka uchi mama hebu tulia kwanza
Mkuu naangalia sana msosi..... Sina kitambi alafu napenda mazoezi
 
Uzazi una mengi mama yangu, embrace the changes because you brought a beautiful human being to the world

Fanyia kazi mwili wako, miezi 6 mtoto amekuwa kabsa, Fanya mazoezi tofauti yatakayokusaidia kukaza misuli, get that sexy body back so that your husband can't take his eyes off you
Thank you.... I love it
 
Jamii forums kisiwa cha maarifa... Nitaufanyia kazi ushauri wenu...

A H S A N T E N. I......
 
Hiyo si ndiyo Kegel?
Miezi sita mbona ni muda muafaka kabisa, ngoja tuanze hivi mazoezi ya kurudisha K unayafanya ukienda kukojoa kujoa na kubana mkojo kama dakika moja, endelea tena hivyo mpaka unamaliza unakuwa umebada kama mara tatu/nne. Utarudi na mrejesho. Ukikaa pia uwe unafanya mazoezi hayo mwenyewe bila hata ya kutoa haja ndogo.
 
Miezi sita mbona ni muda muafaka kabisa, ngoja tuanze hivi mazoezi ya kurudisha K unayafanya ukienda kukojoa kujoa na kubana mkojo kama dakika moja, endelea tena hivyo mpaka unamaliza unakuwa umebada kama mara tatu/nne. Utarudi na mrejesho. Ukikaa pia uwe unafanya mazoezi hayo mwenyewe bila hata ya kutoa haja ndogo.
Roughly inatakiwa akojoe kwa dk 5 hahaha.
 
Jitahidi sana kutafuta chupa ile ya Bia kisha hakikisha kila siku kuanzia Kesho asubuhi uwe unaiingiza yote kunako ' Mbunye ' halafu unaitoa na ukifanya hivyo ndani ya siku saba ( 7 ) tu mfululizo ' Mbunye ' yako itarudi katika mwonekano wake wa Kiushirikiano kwa Mumeo. Kila la kheri katika zoezi Mkuu na usisite kunipa mrejesho wake tafadhali.
 
Jitahidi sana kutafuta chupa ile ya Bia kisha hakikisha kila siku kuanzia Kesho asubuhi uwe unaiingiza yote kunako ' Mbunye ' halafu unaitoa na ukifanya hivyo ndani ya siku saba ( 7 ) tu mfululizo ' Mbunye ' yako itarudi katika mwonekano wake wa Kiushirikiano kwa Mumeo. Kila la kheri katika zoezi Mkuu na usisite kunipa mrejesho wake tafadhali.
Busara ni kitu cha bure
 
Hivi wale kina mama wanaojifungua watoto sita huwa wanakuwaje huko chini?
 
Back
Top Bottom