Mabadiliko ya uke baada ya kujifungua

kata mauno ya kutosha wakati wa kupaliwa.......aiseeee
Jamani huku watoto msiingie,laana nyingine mnazipata kwa kusoma mada kama hizi na matokeo yake wake zenu wakija kujifungua mnaanza kutafuta michepuko mkidai eti maeneo yao yametanuka...
 
Sanane hajatekwa ila analima mpunga kwao
 
Miezi ya mwanzo nilikuwa nikiinama kudeki au kutandika kitanda nasikia hewa inapita jamani... Wanawake wenzangu huwa mnapaweka nini?
[emoji1] [emoji1] [emoji1] aisee mimi napita tu
 
M
Tulia kwanza usifanye mambo ya wakubwa,patarudi tu,kalia maji ya moto na salt,then bana miguu mda mwingi,inaonekana ulichanika Sana,so jipe likizo one yr hadi upone.
hhh ayakalie kabisa au akae juu ya kifaa chenye maji ya moto yaliyochanganyika na chumvi
 
M

hhh ayakalie kabisa au akae juu ya kifaa chenye maji ya moto yaliyochanganyika na chumvi
hahaaaa,aweke kwenye basin na salt ndio ayakalie,sio ya kuchoma ila maji moto,husaidia Sana.pia kunywa maziwa mgando mengi,husaidia kutengeneza bacteria wazuri huko chini.
 
Hapo nnimekupata.. sema bbesenippanasana aatafute nndooaama kkakopoaakalie hhukuaakifanya kkubanaa na kuachia!!!
hahaaaa,aweke kwenye basin na salt ndio ayakalie,sio ya kuchoma ila maji moto,husaidia Sana.pia kunywa maziwa mgando mengi,husaidia kutengeneza bacteria wazuri huko chini.
 
Yakipanuka sana, kiustaarabu huyo mpenzi wako anatakiwa aijaze! Kwa sisi wazoefu hilo ni swala dogo sanaaaaa! Hamna uke mdogo wala mpana bali ni jinsi jemedari anavyoingia kazini... Mtu wako kachemsha na kibamia chake... Chepuka..
Unaijazaze mpe ushauri mwenzako akamshauri shemeji yetu!
 
Mkuu naangalia sana msosi..... Sina kitambi alafu napenda mazoezi
endelea kujitunza..maumbile yatarudi kawaida tuu,,,swala la mmeo kuchepuka ni hulka yake tuuu,,talking from experience wapo wamama watu wazima kabisa ila mnato wa K upo kama kawaida
 
Mkuu usikute huyu dada hajawahi kuwa na figure ya namba 8. Shape pia hana yupo kama tuta la viazi. Unataka jamaa aendelee kuvumilia tu?
 
Mkuu usikute huyu dada hajawahi kuwa na figure ya namba 8. Shape pia hana yupo kama tuta la viazi. Unataka jamaa aendelee kuvumilia tu?
Mkuu Nina shepu kama LA dadako
 


hahahaha kweli ujinga wako mwenyewe
 
My dear endelea kufanya kegel mi naona inasaidia sana.Muda nao ni tabibu mzuri kadiri muda unavoenda utaona tu mabadiliko.
Na mkiwa faragha epuka kuyawazia maumbile yako manake ukiyawazia hautofurahia tendo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…