Mabadiliko ya uke baada ya kujifungua

Kamuulize mamako kama unadhani ni ishu za utani hizi
Anza ww mwambie mamako huwa anatoa style gani kwa babako kipindi kama hicho then akupe maujuzi sio kutoa puvuuu humu!
 
Sijui watu tunayachukuliaje maisha ya ndoa ila inatakiwa avumilie maana ndiye aliemchagua,na hasa ndivyo ndoa inavyotaka maana binadam lazima jinsi umri unavyosogea tubadilike.hiyo namba 8 niliweka tu sikumaanisha.
 
Anza ww mwambie mamako huwa anatoa style gani kwa babako kipindi kama hicho then akupe maujuzi sio kutoa puvuuu humu!
Busara ni kitu cha bure kabisa..
Kimtokacho MTU ndicho kilichomjaza.
 
Kama anayakata anakosea lakini sio sir baada kuzaa wanawake ladha hupungua k huregea bana inakua haina mvuto ndio mana tunatafuta za kubana zina raha sanaa[emoji2]
Na ye akitafta mshedede mkubwa kuliko wako je. How u feel abt that?.
 
Checking...100%
Searching...100%
Downloading...100%

Network connected !
Near by Uporoto Mbeya.
 
I hope mwanao sasa unamtuma maji ya kunywa na Ushapona tatuzo lako.
Mungu ampe hekima na afya mwanao.

Mungu ni mwema sanaπŸ™‚πŸ™‚
 
Jamani jamani kweli kichwa cha mtoto kipite mara 2 hapo kwe K bado patabaki kama msichana...! Inategemea umbile lako? Ukiwa mrefu na mwembamba hapo ni shida tupu. Kwa wenye expansion joints zao sio tabu sana. Napita tu
 
Miezi ya mwanzo nilikuwa nikiinama kudeki au kutandika kitanda nasikia hewa inapita jamani... Wanawake wenzangu huwa mnapaweka nini?
Astakhafir llah....Wallah [emoji12]
 
I hope mwanao sasa unamtuma maji ya kunywa na Ushapona tatuzo lako.
Mungu ampe hekima na afya mwanao.

Mungu ni mwema sanaπŸ™‚πŸ™‚
Yes mkuu... Mazoezu ya kejeli yanesaidia sana!

Sio tu K. Hata tumbo pia ni flat...


Mungu Fundi.
 
Daah ila Jando ni muhimu sana.

Mwanamke umuoe mwenyewe umlale hadi apate ujauzito halafu uje kumuona hafai mpaka utafute mchepuko kisa tu K imetanuka baada ya kuzaa?

Kule kwetu ikijulikana kuwa hiyo ndio sababu bas huyo Mwanaume atachapwa fimbo 70.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…