J23
Senior Member
- Nov 11, 2016
- 151
- 193
Anza ww mwambie mamako huwa anatoa style gani kwa babako kipindi kama hicho then akupe maujuzi sio kutoa puvuuu humu!Kamuulize mamako kama unadhani ni ishu za utani hizi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anza ww mwambie mamako huwa anatoa style gani kwa babako kipindi kama hicho then akupe maujuzi sio kutoa puvuuu humu!Kamuulize mamako kama unadhani ni ishu za utani hizi
Busara ni kitu cha bure kabisa..Anza ww mwambie mamako huwa anatoa style gani kwa babako kipindi kama hicho then akupe maujuzi sio kutoa puvuuu humu!
Hehe nambie.,Lady.....
Na ye akitafta mshedede mkubwa kuliko wako je. How u feel abt that?.Kama anayakata anakosea lakini sio sir baada kuzaa wanawake ladha hupungua k huregea bana inakua haina mvuto ndio mana tunatafuta za kubana zina raha sanaa[emoji2]
I missed u so much....Hehe nambie.,
Awww,how are you doing though..I missed u so much....
Sawa mkuu!Busara ni kitu cha bure kabisa..
Kimtokacho MTU ndicho kilichomjaza.
Awww,how are you doing though..
Am greaat..Niko poa...sijui wewe?
Juu yakeNa ye akitafta mshedede mkubwa kuliko wako je. How u feel abt that?.
Wana jf
Habari za jumapili.
Nimejifungua mtoto Wa pili miezi 6 iliyopita! Kuna uwezekani wa uke kuendelea kubana hata baada ya kujifungua..
Ninajitahidi sana sana kufanya kegel exercises kila mara.
Nitajuaje kuwa uke wangu sasa umeanza kubana kama awali..
Naombeni msinibeze Bali mnifahamishe namna nzuri ya kudeal na maumbile haya mapya...
Nina uchungu sana shemeji yenu alikuwa akinipenda na kunisifia sana kabla ya mtoto Wa pili,, now days ni michepuko hadi nakoma so nahisi ni sababu ya maumbile ya k yamepanuka sana!
Astakhafir llah....Wallah [emoji12]Miezi ya mwanzo nilikuwa nikiinama kudeki au kutandika kitanda nasikia hewa inapita jamani... Wanawake wenzangu huwa mnapaweka nini?
Yes mkuu... Mazoezu ya kejeli yanesaidia sana!I hope mwanao sasa unamtuma maji ya kunywa na Ushapona tatuzo lako.
Mungu ampe hekima na afya mwanao.
Mungu ni mwema sana🙂🙂